Mabango yenye alama ya upinde wa mvua pale uwanja wa ndege DSM yamewekwa na nani?


Hawa jamaa bana wana visa tu. Badala ya kubuni nembo yao, wanaenda kuuchukua upinde wa mvua aliyouumba Mwenyezi Mungu.
 
Maneno tu hamna picha. Wakazi wa Gongo la Mbotto kupita pale Airport mnajionaga mmetusua.
 
LGBT
 
Picha ?
 
Swali jengine tafadhali
 
Ushoga ni sawa lakini kushawishi watoto na wengine kwa vishawishi nao wawe mashoga hiyo hapana. Malezi yako nyumbani kwa wazazi lakini ushoga uko shuleni na kwenye jamii.
.unapoona bango la ushoga kwenye lango kuu la kuingia na kutokea nchini (airport) tafsiri ya kawaida ni kuwaambia wageni kuwa ushoga ni ruksa hapa, upo, na unafundishwa sawa na mabago mengine ya matumizi na vitu kama VISA, Mastercard, Halal Bank au huduma nyingine zinazopatikana nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…