Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
WakenyaHivi mwasisi wa jina mwenda zake ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WakenyaHivi mwasisi wa jina mwenda zake ni nani?
Jamaa alichofanikiwa nikuwashika akili akawaachia miguu ndo ikawa inafanya kaziMATAGA watakuwa wanayachukua kwa ajili ya kumbukumbu kama sikosei, maana sio kwa mapambio waliyokuwa wanashusha kila kona.
Tayari. Mama ameshamfunika kama chungu cha maji. Mungu alisema "YAMETOSHA"Katika watu wanaoweza kupotea haraka "Their legacy" ,ni pamoja na Jiwe!
Nyumba yangu ina picha ya baba wa Taifa. Ya Pili itakuwa ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan. Huyu ndiye Mungu alimteua baada ya kuandika "YATOSHA" kwa watanzania. Imetuasa kuwa usilitaje Bure jina la Mungu wako kama unalitaja kuficha uovu wako. Mungu hadhihakiwi kabisa. Na iwe fundisho.H
Nakuhakikishia hizo picha zitaondolewa kwenye maofisi tu na barabarani lakini kamwe hazitaondoka Facebook, Instagram na majumbani mwa watu
View attachment 1742435
Hii siyo namna nzuri ya kuondoa mabango ya Dr Magufuli , wala haikubaliki na ninaipinga hata kama mimi si mwanaccm .
wakuu mbona nkiClick ktk VIEW ATTACHMENT..inanirudisha upya jamii forum..yaani nakua naanza upya inagoma kufungua picha..na nimetoka kuupdate sasa hv... Mshana JrView attachment 1742435
Hii siyo namna nzuri ya kuondoa mabango ya Dr Magufuli , wala haikubaliki na ninaipinga hata kama mimi si mwanaccm .
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1742435
Hii siyo namna nzuri ya kuondoa mabango ya Dr Magufuli , wala haikubaliki na ninaipinga hata kama mimi si mwanaccm .
Kwanza ilikuwa ni uvunjifu wa sheria za uchaguzi, mabango ya kampeni kuwepo maeneo hayo siku ya uchaguzi. Miaka yote, tulikuwa tukishuhudia hayo mabango, kuondolewa siku ya mkesha wa uchaguzi. Lakini kwa vile Nchi ilikuwa inaendeshwa KI-MAGUFULI, na kwa vile ilikuwa ni faida kwake, TUME YA UCHAGUZI haikusema chochote kuhusiana uvunjaji huo wa taratibu za uchaguzi!Aisee , mkuu unataka wayaondoe Kwa mizinga na salute🤣 unajua Abeli alipofariki Adam na mkewe Hawa walikaa mda mrefu wakiishangaa maiti ya mtoto wao wakifikr ataamka, Mungu akasema zikeni nyie acheni ushamba huyo amebaki kopo tuu..... Ukweli JPM hayupo na imebak historia tu kuwa alikuwa Raisi ..nothing to wait
cocochanel unalipi la kutuambia kuhusu hii tabia iliyozuka ghafla baada ya Magufuli kufariki?
View attachment 1742435
Hii siyo namna nzuri ya kuondoa mabango ya Dr Magufuli , wala haikubaliki na ninaipinga hata kama mimi si mwanaccm .
😆😆😆😆Tena naona wamechelewa Kuyaondoa.
Yachukue ukayaweke nyumbani kwakoView attachment 1742435
Hii siyo namna nzuri ya kuondoa mabango ya Dr Magufuli , wala haikubaliki na ninaipinga hata kama mimi si mwanaccm .
Kweli kabisa, awe anayaangaliaKwanini usiyaokote wewe ukayapambe chumbani mwako.
Nani anataka kupeleka nukso kwake ?Yachukue ukayaweke nyumbani kwako
Tusiokuwa na akili tuliambiwa huyu na yule ni kitu kimoja. Sasa hili sijui namna yake!Kwani hayo mambango yana kazi gani?
Mbona Yalitakiwa kuondolewa mara tuu baada ya uchaguzi kwisha?
Kwahiyo ?Tusiokuwa na akili tuliambiwa huyu na yule ni kitu kimoja. Sasa hili sijui namna yake!