Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unatamani dunia ipasuke ujifiche lakini ndio hivyo tena mjomba , kuna aibu zaidi zinakuja endelea kutega sikioIngekuwa vema muanze kupambana kuimarisha chama chenu kipo nyuma sana...
Kwenye ofisi za serikali ni lazima yaondolewe ili kupisha picha ya Rais mpya!! Ila huyo anayeyaondoa Kama anavyoonekana kwenye clip amekosa adabu!! Hakutumwa ayaondoe kwa chuki hivyo! Inabidi achukuliwe hatua!! Ameonesha chuki ya binafsi!Kweli kufa kufaana! Haya mabango yalitarajiwa kudumu mpaka 2025! Na hakuna ambaye alijaribu hata kuyagusa tu na mkono! Ila leo yanatolewa kwa kutupwa tu chini!
hayaheshimiki wala kuogopwa tena!
Mswalieni Mtume basi jamani , Khaaa !!Ulitaka wasemeje?
Mngeruhusu watu waseme toka huko nyuma leo maneno yangesema machache na ya kawaida
Mmesababisha watu kurundika maneno mioyoni wakiogopa kumiminiwa risasi
Ofisi za serikali tayari ameshaondolewa,na deadline imewekwa.Maisha yanakwenda kasi kama vifurushi vipya vileeeeeeTutawafungulia kesi za kuhujumu uchumi hawa.
Leo mabango yenye picha ya Magufuli mnayaita Takataka [emoji1787][emoji1787]Mods mna kazi, maana kila mwenye takataka yake anakuja kuitupa huku
Nakuhakikishia hizo picha zitaondolewa kwenye maofisi tu na barabarani lakini kamwe hazitaondoka Facebook, Instagram na majumbani mwa watuView attachment 1742435
Hii siyo namna nzuri ya kuondoa mabango ya Dr Magufuli , wala haikubaliki na ninaipinga hata kama mimi si mwanaccm .
View attachment 1742435
mhh! mama D ni wewe unaye yasema haya dah! yani mpaka wewe looh!!!Kwani hayo mambango yana kazi gani?
Mbona Yalitakiwa kuondolewa mara tuu baada ya uchaguzi kwisha?
Wewe sawa na mimi yaan yalikuwa yananichefua basi tuNilikuwa siyapendi kabisa mimi
Gia angani ? Hata wewe haya mabango yalitakiwa yajengewe temple kila yalipo ili waimba mapambio ya kusifu na kuabudu , wewe na kundi lako mpate pa kuabudia jamani , mbona mapema hivi ?Kwani hayo mambango yana kazi gani?
Mbona Yalitakiwa kuondolewa mara tuu baada ya uchaguzi kwisha?
Mbona sioni " maendleo hayana vyama"????? Imekuaje tenaaAma kwa hakika tenda wema uende zako usingoje shukrani!
Dunia haihtaji watawala inahitaji viongozi yule mwendazake alikuwa mtawalaMbona sioni " maendleo hayana vyama"????? Imekuaje tenaa
Huyu alitenda mema gani?Ama kwa hakika tenda wema uende zako usingoje shukrani!
[emoji2][emoji2]Daah Jamaa anayeshusha mabango mbona ana hasira sana? Check alivyolitupa hilo bango 😳😳😳.