Mabango yote nchi nzima, sifa zote mitandaoni za Rais Samia, hata kwenye 10 bora kuwa na GDP kubwa hatumo?

Ni kichaa peke yake anayeweza kuamini kwamba tunaye Rais mchapa kazi na mwenye Nia ya dhati kwa Taifa. Hatuwezi kuwa kwenye 10 Bora ili Hali RUSHWA imetaradadi
 
Ni kichaa peke yake anayeweza kuamini kwamba tunaye Rais mchapa kazi na mwenye Nia ya dhati kwa Taifa. Hatuwezi kuwa kwenye 10 Bora ili Hali RUSHWA imetaradadi
Idiots! Kumi bora za nini? Mimi ni Mzigua, nimeoa Uchaggani, naishi Bunju, kwa amani. Hiyo ni top 1 huwezi kuikuta Kenya. Ni Mwalimu wa Chuoni, nafundisha development studies, mshahara mzuri tu. Nilisoma Marekani, kwa helacya TANU, bure. Hiyo ni Top 2. Of course ukitaka top 10 ya wizi au ulabila au mauaji hiyo watapambana Somalia ba Kenya na Kosovo, siye hatumo. Tuna Serengeti, Top 1. Tumezigomboa Msumbiji na Zimbabwe na Afrika ya Kusini na Uganda. Top 1 kwa ugombozi. Then kuna na Ngorongoro the 3rd Wonder of the World, ni Top 1. Kilimanjaro the tallest in the world Everest is a series of hills from Afghanistan ambapo Lukani Route kutokea Jiweni inakufikisha Uhuru Peak moja kwa moja. Shida ya Tanzania tumejaa wasaliti wa Tanzania kuidogosha Nji yetu kwa matusi ya kina fatmakarume na tundulissu na frkitima na askofubagonza. Feel proud! Kifua mbele! Top 1.
 
GDP growth? Takwimu kweli za IMF au article yenye mere opinion za mtu?
Mm nimeshangaa sana hio list yake na watu walivyo mbumbumbu wanakazana kuponda uongozi kisa hio list 🤣🤣🤣🤣🤣

JF is no more home of great thinkers
 
Mm nimeshangaa sana hio list yake na watu walivyo mbumbumbu wanakazana kuponda uongozi kisa hio list 🤣🤣🤣🤣🤣

JF is no more home of great thinkers
Mkuu, mtu ambaye ni great thinkers! Anabishana na takwimu na si hivi unavyolaumu badala ya kuja huo ukweli wa takwimu mbadala wa hizi

Wewe siyo great thinkers
 
A failed regime which has transformed the country into quagmire of moral and financial decandence.

We only have bona fide thugs masquerading in suits as leaders.
 
A failed regime which has transformed the country into quagmire of moral and financial decandence.

We only have bona fide thugs masquerading in suits as leaders.

Noma Sana

Ni Mwendo wa kukopa

Salary zinasoma kwa mafungu

Noma Sana!
 
A failed regime which has transformed the country into quagmire of moral and financial decandence.

We only have bona fide thugs masquerading in suits as leaders.
Tunatabu sisi! Mmh!
 

Mabango ya sa100 nchi hii ni mengi kuzidi hata kazi alizofanya,yani ni upuuzi mtupu.
 
Na huu ndio "mwandiko" wa mwalimu wa DS wa Chuo!!??
Ama kweli umefanikiwa pakubwa sana kuwa zwazwa na kuendelea kuzalisha mazwazwa.
 
Kusifia, na hata kupinga ni rahisi zaidi kuliko kufikiria na kutatua matatizo.

Ndiyo maana hata huku jf great sinkers na great stinkers ni wengi zaidi kuliko great thinkers.

Eti “Mwanamke shupavu”!
 
Mwalimu gani wewe ata kuandika hujui.Umekalia sifa zakijinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ulipojiona uko chuo, haikuwa halisi bali zilikuwa ndoto, na sasa nenda kasome sasa maana elimu haina mwisho mkuu
 
Kuna ule msemo wa kibaya chajiuza umewahi kuusikia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…