Mabango yote nchi nzima, sifa zote mitandaoni za Rais Samia, hata kwenye 10 bora kuwa na GDP kubwa hatumo?

Mabango yote nchi nzima, sifa zote mitandaoni za Rais Samia, hata kwenye 10 bora kuwa na GDP kubwa hatumo?

Nadhani watanzania wenzangu kuna mambo mengi ya kujadiri kuhusu inchi ila siyo hili
Sifa zipo tu sikuzote. Ila tunazani Rais asimame kidete kuanza kupiga sifa wanazo mpa . Hapa kuna mambo ya kumwambia mama kufanya siyo kujadili kwa sifa zake nyingi ..
 
Nenda Nzega ukashangae ujinga wa Bashe. Kila mia 200 bango la mama na Bashe. Lengo ni kumpumbaza mama ili yeye na marafiki zake waendelee kupiga mabilioni ya kilimo.

Contractor mmoja hadi katamka kuwa Waziri hawezi kumnyima tenda za hiyo miradi ya upigaji pesa za watanzania eti kwa sababu kila akilipwa huwa anamkumbuka waziri!

Watu wamemjulia Mama. Wewe kazana sana kumsifia, hawezi kuona ubaya wako.
 
Business Insider Africa presents 10 African countries with the lowest GDP projection for 2023 as the year rounds off.

This is according to the International Monetary Fund’s World Economic Output report for October.

The IMF's basic case assumes that inflation keeps declining.

GDP projections play an important role in defining the economic strategies and policies of governments throughout the world.

These projections are particularly essential for African countries since they provide insight into the continent's overall development trajectory, growth potential, and economic health.

As Africa navigates its economic terrain, leveraging insights from GDP estimates will be critical in crafting a sustainable and inclusive future.

Kampala Capital City of Uganda
Markets Kampala for Ugandans reportedly has the most expensive housing in the world Top 10 African governments with the highest general revenues.

Markets Top 10 African governments with the highest general revenues
the-russia-africa-summit-and-black-sea-grain-31-07-2023-18-05-09
Markets Russia commences free grain deliveries to Africa.

The International Monetary Fund detailed each country's real GDP (annual percentage change) in its World Economic Output (WEO) report for October.

As long as central banks maintain their restrictive stance, inflation will continue to decline under the IMF's baseline scenario. The worldwide real GDP per capita loss that often happens during a global recession is not included in the baseline scenario.

See also: Top 10 African countries with the highest GDP projection for 2023 as the year rounds off.

The first half of 2023 saw more robust growth and employment than anticipated by the WEO in April.

Although the global average prediction has mostly not changed from the July 2023 WEO Update, different countries have different growth and inflation projections.

Having said that, the top 10 African nations with the highest GDP predictions for 2023 are shown below as the year draws to a close.

Rank Country GDP projection
1. Equatorial Guinea -6.2%
2. São Tomé and Príncipe 0.5%
3. South Africa 0.9%
4. Central African Republic 1.0%
5. Ghana 1.2%
6. Tunisia 1.3%
7. Angola 1.3%
8. Malawi 1.7%
9. Lesotho 2.1%
10. Morocco 2.4%
Mkuu wala usipate shida.
Nchi yetu imejaa wapumbavu wwngi sana kuliko wazalenso na weledi. Utakuta walitoa wazp hili ni wale wale wanaotegemewa na nchi iweze kusonga mbele.

LIberia inatupa somo
 
Sema tu basi, lakini yaliyotokea Liberia, yanapaswa kutokea hapa kwetu pia....
Mijitu iko kwenye ofisi za Umma, lakini inawaza kuiba tu badala ya kuutumikia Umma!
Aisee serikalini ni kinamama vilaza watupu wamejaa kazi kujipodoa tu ndo maana hii nchi ni maskini aisee sijui wanaingizwaje kwenye kazi. Leo hii ifanyike hesabu utashangaa staff wanawake 70% na wanaume 30% tu ambao wengi ni mabosi na ndio maana ni ngumu kujua kama kinamama wamejazana na wakistaafu wanapewa tena mikataba , vibibi vimejaa makazini! Na wengi wao ni wagalatia wenye DNA za wizi!!

Uwiano serikalini ni Galatia 10 kwa Hamas 1, anaebisha afanye sensa Leo hii jumapili kama hataumbuka, sijui wanapataje kazi wao tu na nadhani wanafundishwa kuiba huko wanakosali au vipi!!
Hili ni janga la Taifa honorari kila kazi!!!

Bimkubwa Samia tusaidie mambo mawili tu SGR Dar-Mwanza/Kigoma iishe na Nyerere Dam ianze uzalishaji basi nchi itafunguka yenyewe nasi tutakuimba na kukuandika kwenye vitabu, achana na mambo mengine hutaweza sababu tunaongezeka kila kukicha, hata ujenge shule milioni hazitoshi na hata ujenge hospital milioni hazitatosha ila reli na umeme nakuhakikishia tutatoboa! Nchi za ulaya ni reli na umeme tu vimeleta mapinduzi ya viwanda na utajiri na sio nimesikia bali kwa kuishi na kuona kwa macho mtu unakaa Dar kazini Gairo dakika 40 tu umefika!
 
Business Insider Africa presents 10 African countries with the lowest GDP projection for 2023 as the year rounds off.

This is according to the International Monetary Fund’s World Economic Output report for October.

The IMF's basic case assumes that inflation keeps declining.

GDP projections play an important role in defining the economic strategies and policies of governments throughout the world.

These projections are particularly essential for African countries since they provide insight into the continent's overall development trajectory, growth potential, and economic health.

As Africa navigates its economic terrain, leveraging insights from GDP estimates will be critical in crafting a sustainable and inclusive future.

Kampala Capital City of Uganda
Markets Kampala for Ugandans reportedly has the most expensive housing in the world Top 10 African governments with the highest general revenues.

Markets Top 10 African governments with the highest general revenues
the-russia-africa-summit-and-black-sea-grain-31-07-2023-18-05-09
Markets Russia commences free grain deliveries to Africa.

The International Monetary Fund detailed each country's real GDP (annual percentage change) in its World Economic Output (WEO) report for October.

As long as central banks maintain their restrictive stance, inflation will continue to decline under the IMF's baseline scenario. The worldwide real GDP per capita loss that often happens during a global recession is not included in the baseline scenario.

See also: Top 10 African countries with the highest GDP projection for 2023 as the year rounds off.

The first half of 2023 saw more robust growth and employment than anticipated by the WEO in April.

Although the global average prediction has mostly not changed from the July 2023 WEO Update, different countries have different growth and inflation projections.

Having said that, the top 10 African nations with the highest GDP predictions for 2023 are shown below as the year draws to a close.

Rank Country GDP projection
1. Equatorial Guinea -6.2%
2. São Tomé and Príncipe 0.5%
3. South Africa 0.9%
4. Central African Republic 1.0%
5. Ghana 1.2%
6. Tunisia 1.3%
7. Angola 1.3%
8. Malawi 1.7%
9. Lesotho 2.1%
10. Morocco 2.4%
Wewe utakuwa ni mpumbavu na mbumbumbu wa mwisho.

Unajua ulichoandika kweli? Hicho ulichoweka ni highest GDP predictions au Lowest 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Tanzania haijawahi na haitakuja kuwahi kukosa kwenye top 10 ya Uchumi Afrika.

Nyie machadomo ,mambo ya uchumi Yako Nje ya uwezo wenu,nyie ni wabobezi kwenye kesi,kutukana,kuponda Kila kitu na siasa za matukio ila uchumi achia ccm na act Wazalendo
 
Wewe utakuwa ni mpumbavu na mbumbumbu wa mwisho.

Unajua ulichoandika kweli? Hicho ulichoweka ni highest GDP predictions au Lowest [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tanzania haijawahi na haitakuja kuwahi kukosa kwenye top 10 ya Uchumi Afrika.

Nyie machadomo ,mambo ya uchumi Yako Nje ya uwezo wenu,nyie ni wabobezi kwenye kesi,kutukana,kuponda Kila kitu na siasa za matukio ila uchumi achia ccm na act Wazalendo
Aibu kubwa sana. Yaani GDP ya Tanzania ni karibu nusu ya ile ya Kenya. Bado tuna safari ndefu.

Ivory Coast walikuwa katika vita kwa muda mrefu, lakini wapo juu yetu!

Top 10 Richest African Countries by Overall GDP (current US$ - World Bank)*:

Nigeria — $440,834 million

South Africa — $419,015 million

Egypt — $404,143 million

Algeria — 163,044 million

Morocco — $142,866 million

Ethiopia — $111,271 million

Kenya — $110,347 million

Ghana — $77,594 million

Ivory Coast — $70,043 million

Tanzania — $67,404 million


Lakini ukija kwenye GDP per capita, ambacho ndiyo kipimo kizuri cha maendeleo, Tanzania haimo hata kwenye top 20 ya nchi ambazo zina kipato kizuri.

The top 10 richest African countries are:

Seychelles – $14,540.

Mauritius – $9,920.

Libya – $8,700.

South Africa – $6,530.

Gabon – $6,440.

Botswana – $6,430.

Equatorial Guinea – $5,150.

Namibia – $4,650

. Algeria - $3,700

. Eswatin - $3,600

NB: GDP per capita ya Tanzania ni $1,100
 
Wewe utakuwa ni mpumbavu na mbumbumbu wa mwisho.

Unajua ulichoandika kweli? Hicho ulichoweka ni highest GDP predictions au Lowest 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Tanzania haijawahi na haitakuja kuwahi kukosa kwenye top 10 ya Uchumi Afrika.

Nyie machadomo ,mambo ya uchumi Yako Nje ya uwezo wenu,nyie ni wabobezi kwenye kesi,kutukana,kuponda Kila kitu na siasa za matukio ila uchumi achia ccm na act Wazalendo
Si kila mtu aweza kuwa kwenye mavyama yenu hayo!


Unachopaswa kufanya, ni upinge kwa data na siyo maneno yako haya

Na usipende saana kutetea hoja zako kwa matusi, tetea kwa data
 
Si kila mtu aweza kuwa kwenye mavyama yenu hayo!


Unachopaswa kufanya, ni upinge kwa data na siyo maneno yako haya

Na usipende saana kutetea hoja zako kwa matusi, tetea kwa data
Hata kama hauko kwenye mavyama,haiondoi ukweli kwamba wewe ni mpumbavu na mbumbumbu.

Unakijua ulichoandika?
 
Hata kama hauko kwenye mavyama,haiondoi ukweli kwamba wewe ni mpumbavu na mbumbumbu.

Unakijua ulichoandika?
Dogo, siyo kila siku inaweza kuwa jana, huwa si kila ukaamka na kwenda kazini na ukarudi salama!

Namaanisha, unaeeza kuwa fundi wa kutukana watu na ikajihisi uko salama siku zote kwa sababu ni huruka yako

Lakini elewa, si kila siku unaweza kuwa salama kwa kuendelea kuwatukana watu pasina sababu yoyote na ukawa salama

Najua, hapa utasema nitakufanya nini! Ila nakusihi kwamba, endelea kutukana na taji yako iko karibu utaipata punde!

Narudia tena, dhihirisha ujinga wangu kwa data na siyo matusi dogo
 
Business Insider Africa presents 10 African countries with the lowest GDP projection for 2023 as the year rounds off.

This is according to the International Monetary Fund’s World Economic Output report for October.

The IMF's basic case assumes that inflation keeps declining.

GDP projections play an important role in defining the economic strategies and policies of governments throughout the world.

These projections are particularly essential for African countries since they provide insight into the continent's overall development trajectory, growth potential, and economic health.

As Africa navigates its economic terrain, leveraging insights from GDP estimates will be critical in crafting a sustainable and inclusive future.

Kampala Capital City of Uganda
Markets Kampala for Ugandans reportedly has the most expensive housing in the world Top 10 African governments with the highest general revenues.

Markets Top 10 African governments with the highest general revenues
the-russia-africa-summit-and-black-sea-grain-31-07-2023-18-05-09
Markets Russia commences free grain deliveries to Africa.

The International Monetary Fund detailed each country's real GDP (annual percentage change) in its World Economic Output (WEO) report for October.

As long as central banks maintain their restrictive stance, inflation will continue to decline under the IMF's baseline scenario. The worldwide real GDP per capita loss that often happens during a global recession is not included in the baseline scenario.

See also: Top 10 African countries with the highest GDP projection for 2023 as the year rounds off.

The first half of 2023 saw more robust growth and employment than anticipated by the WEO in April.

Although the global average prediction has mostly not changed from the July 2023 WEO Update, different countries have different growth and inflation projections.

Having said that, the top 10 African nations with the highest GDP predictions for 2023 are shown below as the year draws to a close.

Rank Country GDP projection
1. Equatorial Guinea -6.2%
2. São Tomé and Príncipe 0.5%
3. South Africa 0.9%
4. Central African Republic 1.0%
5. Ghana 1.2%
6. Tunisia 1.3%
7. Angola 1.3%
8. Malawi 1.7%
9. Lesotho 2.1%
10. Morocco 2.4%
Hizo ASILIMIA zisikudanganye sana. Usipojuwa ku interpret unaweza ukajiona au ni mjinga sana au ni maskini sana. Hiyo metric ya growth rate inapima ongezeko la uchumi kutoka 2022 kwenda 2023/24 kwa nchi moja moja.

Kwa akili yako unaona kabisa Malawi au Lesotho ikiwa juu ya Tanzania kiuchumi?

Angalia economies 10 kubwa kabisa kwa Adrica by 2022, Tz ni ya 9 hapa;
Screenshot_20231211_123044_Chrome.jpg
 
Unazalisha Machawa ili wakusifie hata Mvua ikinyesha wanasema tumshukuru Mama.
 
Wapo pia wachawi wanaoishi kwa kuponda watu.

Mama zao walishindwa kuwapeleka shule za million kwa mwaka.

Kusema "baba" zao itakuwa ni uongo. Maana wachawi wengi hawawajuwi "baba" zao.
Wewe una bahati umekuja kushibia Tanganyika, ungeendelea kukaa kwenu urojo usingekuacha salama na ndiyo maana wengi mnapakimbia. Samia alisoma shule zipi za mamillion? Issue ni kwamba kama kiongozi mpeni sifa zinazomstahili, hii ya kutia chumvi kwa uchawa wenu wakati uchumi unadolora mnaliumiza taifa. Anaweza kuwa anawajaza matumbo yenu ndiyo, lakini fikirieni umma wa waliowengi. Chumeni dhambi lakini kuna siku ya adhabu mbele yenu.
 
Back
Top Bottom