Mabaraza ya Katiba: Dr. Slaa atikisa Kigamboni na kuacha machozi ya furaha!

Mabaraza ya Katiba: Dr. Slaa atikisa Kigamboni na kuacha machozi ya furaha!

Dr. Slaa chachafya magamba hadi watoke mashimoni kama ilivyo kwa Ritz na Dr. Faustine Ndugulile
 
Magamba mkisikia dr slaa mnaeeweseeeka dah.

Kweli kamanda hawa magamba wanaweweseka,halafu wanajichanganya wenyewe kwa umbeya wao,kimsingi dr Slaa leo ana mikutano mitatu,sasa hivi yuko Vingunguti na yuko jukwaani,anawaeleza waliohudhuria kuwa watanzania wamepigika kwa miaka 50,na leo wanaogopa kutoa maoni yao,anasoma barua ya Tume iliyopokelewa na Chadema.
 
Nadhani ukiondoa Mwalimu, kiongozi anayefuatia kwa charisma Tanzania ni Dr.Slaa

Pole kiongozi wetu mpendwa. Tuko na wewe. Sisi tulio nje we are with you in spirit.
 
Yericko Nyerere mkutano wenu mlifanyia wapi? Dar mnatumia helikopta?
Hahahaa leo tumevamia jimbo lako mkuu bila taarifa,

Tulikuwa mjimwema uwanja wa shule hapa jirani na stendi,

Watu walifurika haijapata kutokea,

Chopa limetua katikati ya uwanja na rais wa mioyo ya Watanzania Daktari W.P.Slaa akaunguruma ipasavyo,

Karibu Chadema mkuu!
 
Wakuu ili kupunguza wingi wa post na kwa kuzingatia kuwa ziara ya Dr Slaa iko kwenye majimvo matatu,naomba niunganishe taarifa za mkutano wa Segerea,sasa hivi dr Slaa ndo anaongea,watu wanamsikiliza kwa makini kama picha zinavyosema.angalia picha.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1377340030994.jpg
    uploadfromtaptalk1377340030994.jpg
    66.3 KB · Views: 918
Km kulia umelia ww na post yk ya kishabiki km mtangazaji mpira semeni na segerea kumejaa hao watoto wa primary..weken picha zenu za kuedit wajazen mwonekane mnawatu..
 
Wakuu ili kupunguza wingi wa post na kwa kuzingatia kuwa ziara ya Dr Slaa iko kwenye majimvo matatu,naomba niunganishe taarifa za mkutano wa Segerea,sasa hivi dr Slaa ndo anaongea,watu wanamsikiliza kwa makini kama picha zinavyosema.angalia picha.

Oooohoo ohooo kweli chopa inarahisisha sana,

Ingekuwa kwa gari angekuwa bado hajavuka feri,

Asante mkuu endelea kutupatia yanayojiri!
 
Mungu ampe afya njema Dr. ali aweze kutukomboa watanzania
 
Km kulia umelia ww na post yk ya kishabiki km mtangazaji mpira semeni na segerea kumejaa hao watoto wa primary..weken picha zenu za kuedit wajazen mwonekane mnawatu..

Inaonyesha unaumia sana mkuu,

Pole sana utapona tu,
 
Mkutano wa Maoni ya
Katiba mpya ulianzaa mida ya Saa nne asubuhi katika uwanja wa mpira
mjimwema stendi,

Watu wamepata fursa ya kuchangia maoni ya Katiba na kuuliza maswali ama
ufafanuzi,

Vile vile Dr amewaeleza makutano kile chadema tunachotaka kiwemo kwenye
katiba,

Maoni ya wananchi:

1) Wamependekeza suala la Ardhi litolewe mikononi mwa rais na liundiwe
chombo maalumu kitakachoundwa na bunge,

2) Matibabu liwe ni haki ya kila mtanzania,

3) Madaraka ya Rais yapunguzwe,

4) Suala la elimu liwe ni haki ya kira raia na iwe elimu bora na ya BURE
kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu,

5)....
6)....
7)...


Mkutano umemalizika salama saa sita mchana, na Helkopta ya Mh Dr Slaa
ndio imepaa mida hii kuelekea Segerea,

Watu walihudhuria wengi sana,

Kivutio cha huzuni ya furaha nipale alipomaliza kuhutubia nakuanza
kutoka ambapo kila mmoja alitaka angalau tu kumgusa mkono, lakini
wakashindwa kumfikia na kuanza kububujikwa na machozi ya furaha,

Wanakigamboni tunawashukuru sana kwakuhuduria kwenu,

Pipoooooooooz Pawaaaaaaaaa!
..........................................

UPDATES kutoka SEGEREA
.....................

hayo maoni ya wananchi ni miongoni mwa vipengele vya rasimu ya katiba? ama kweli chadema ni wadanganyifu
 
Heko DR. wa ukweli. ana maswali mengi ya msingi hayajawahi pata majibu. Hiyo ni changamoto kwa magamba kwani siku zote hoja zao za kumwangamiza DR. USHAURI; Adui yako akikushinda ungana naye ! kwani mzee ana nguvu ya hoja. Big up DR.
 
Mungu ampe maisha marefu shujaa huyu.

Mkuu Molemo, Kwa jinsi watanzania wengi tulivyo na Imani na Kiongozi huyu, nina hakika sala na dua zetu zinafika kwenye kiti cha Enzi cha Mwenyezi Mungu. Kwa sasa Dr.W.Slaa ni sawa na sauti ya mtu aliae nyikani
 
Last edited by a moderator:
Ila kusema kweli watu wa Dar muamko wenu unatupaashaka,
 
Mkuu Molemo, Kwa jinsi watanzania wengi tulivyo na Imani na Kiongozi huyu, nina hakika sala na dua zetu zinafika kwenye kiti cha Enzi cha Mwenyezi Mungu. Kwa sasa Dr.W.Slaa ni sawa na sauti ya mtu aliae nyikani

Mkuu nimeshuhudia leo kwa macho yangu watu wanampenda Dr Slaa zaidi ya watu wanavyofikiri hapa jf,

Wamama wanalia kisa hawajapata bahati ya kumsalimia tu,

Kweli Mungu ampe nguvu Dr Slaa atimize ahadi ya kutuongoza kulikomboa taifa hili
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom