Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa mkuu hawa maccm hawana lakusema kabisa,Ukihitaji zaidi useme
![]()
![]()
Acha unafiki wewe, hatuwezi kulia "hovyo" kama unavyotaka kudanganya watu,Nasikia leo kina Yericko walikuwa wanalia ovyo tu walivyomuona Dr.Slaa.
Nasikia leo kina Yericko walikuwa wanalia ovyo tu walivyomuona Dr.Slaa.
Makamanda wa Chadema kila mmoja anaropoka lake.
Molemo, na Mwita Maranya, wanasema Dr.Slaa atakuwepo Gongolamboto.
Yericko Nyerere, anasema Dr.Slaa atakuwepo Segerea.
Yericko Nyerere mkutano wenu mlifanyia wapi? Dar mnatumia helikopta?
Yericko Nyerere mkutano wenu mlifanyia wapi? Dar mnatumia helikopta?
hivi kumbe siku hizi ukishindwa kumshika babu :laser: unabubujikwa na machozi ya furaha, hakika m4c mnawatu adimu duniani kwani hii haijapata tokea toka dunia imeumbwa.
Wote walikuwa sahihi....
Ingalikuwa ngumu kama Dr. SLAA angalikuwa anatembea kwa mkokoteni...
Kwa CHAPO, kila kitu kimewezekana ndo maana kote kumefikiwa....
These people are serious than ever.
Wait and see!
Foleni bado ipo na ujenzi wa njia ya mabasi yaendayo kasi unaendelea.Dr vipi za siku nyingi sijafika Dar muda mrefu. Hivi ili foleni imeisha??.Na ule usafiri wa express umeshaanza?? Ili tumwambie Dr Slaa asitumie CHOPA Dar.
mkutano umefanyika sebuleni kwako huju Dr.hahahhaha pole sana hebu kazana ile barabara ya kuunganisha kibada-feri iishe utarudi jimboni 2015
adolay ndio tatizo lenu CHADEMA yaani vumbi la Helikopta mnapofikicha macho basi watu walilia sana, wasilie Makanisani na Misikitini walilie mtu anateketeza mafuta hewani?Ritz kama ulikuwepo kigamboni, tuhabarishe umeshuhudia nin kwa macho yako na kusikia nini kwa masikio yako
Nasikia leo kina Yericko walikuwa wanalia ovyo tu walivyomuona Dr.Slaa.
adolay Propaganda nyingine mnazidisha sasa, hivi Helkopta ikipaa hayo mavumbi yanayotimka basi watu wakipenga vikamasi, ndio mseme wanalia ? sasa unataka Ritz ashuhudie kwa macho? mbona wenzako wameleta picha ya mkutano wa Kigamboni kupitia web ingine? Kigamboni ndio pako hivyo? michongoma nkRitz kama ulikuwepo kigamboni, tuhabarishe umeshuhudia nin kwa macho yako na kusikia nini kwa masikio yako
adolay ndio tatizo lenu CHADEMA yaani vumbi la Helikopta mnapofikicha macho basi watu walilia sana, wasilie Makanisani na Misikitini walilie mtu anateketeza mafuta hewani?
Propaganda hizo zinavyasambaa hiyo ndio Kigamboni? maana wenzako wametengeneza tena huku
![]()
Nasikia leo kina Yericko walikuwa wanalia ovyo tu walivyomuona Dr.Slaa.
hayo maoni ya wananchi ni miongoni mwa vipengele vya rasimu ya katiba? ama kweli chadema ni wadanganyifu