Inaonyesha unaumia sana mkuu,
Pole sana utapona tu,
Mngekuwa kweli mnakubalika na ni chama cha watu sawa bt nyie cha ukoo..na sera nyepesi wazee wa matusi.mwisho wenu upo karibu jifunzen siasa kwanza kwasasa bado hamnauwezo hata wakuongoza familia zenu.