Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Yericko Nyerere mkutano wenu mlifanyia wapi? Dar mnatumia helikopta?
Duh! Hata Mbunge hana Habari? Kwanini hamkumualika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yericko Nyerere mkutano wenu mlifanyia wapi? Dar mnatumia helikopta?
Mkuu hapo ni kweli kabisa maana mafuta ya Helkopta bei chee kuliko hayo maV8 30 ya kukimbiza mwenge bado ya kudai Serikali 2 twafaaa lakini unaitwa hukuUkwaju asante kwa picha hii nzuri na inapendeza sana
Chadema wanamanage risks za barabara mbovu kwa miaka hamsini ccm madarakani nitabu tupu -Brabara mbovu na mbaya sana
Chadema inamanage cost kwa waheshimewa wachache tu kusafiri badala ya misafara ya maV8 mengi kama ile ya ccm
Chadema inajitahidi kuepusha shari na polissisisemu kwa kupita angani na kushukia sehemu ya matukio bila bughudha barabarani
Unaweza kuona jinsi chadema walivyowabunifu katika kumanage mambo mbalimbali kitaalam zaid ya lazima na nguvu za kisisiem.
We hii ID ni ya Lumumba au unajitolea?