Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Tayari katibu mkuu wa Chadema Dkt. Slaa ameshawasili uwanjani. Mjumbe wa kamati kuu anatoa maneno ya utangulizi.
Viongozi wengine walioambatana nae ni Mama Kaihula-mbunge, Katibu wa mkoa Mzee Chacha, Mwenyekiti wa Segerea kamanda Mchele na wengine wengi.
Viongozi wengine walioambatana nae ni Mama Kaihula-mbunge, Katibu wa mkoa Mzee Chacha, Mwenyekiti wa Segerea kamanda Mchele na wengine wengi.


