Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
washakupa buku 5 yako
Unafikiri kila mtu ni wa buku tano???
mmhhh....mbona majanga , je waweza kunithibitishia kuwa "moderator" wa hiyo kitu kuwa atakuwa "impartial?" ili kuondoa unnecessary "biasness"
COZ kwani wananchi wanatakiwa kuwa huru kutoa mawazo yaliyopo vichwani mwao na sio yaliyopo kichwani mwa babu zilipendwa. ni hayo tu.
tena wewe una njaa mbaya manake umepost na hakuna comment hewani umebaki wewe mwenyewe au hujajiona kama sio cheap labour ni nini sasa