Wakuu kamanda Mbogoro wakili msomi yuko jukwaani muda si mrefu nitaweka picha humu.
Wakuu to be honest mimi si mtaalamu sana wa kupiga picha,hivyo mtaniwia radhi nitaweka picha kwa kadri ya uwezo wangu,namshukuru Mwita Maranya anatupia kilekile anachokiongea Wakili Msomi Edson Mbogoro.updates za picha kupitia mchina wangu ni hizi chini.