zile ni made in India, yes kama Tata hazina mwendoKibongo bongo niliziona fuso za KT ABRI zinavuta 40ft.
Sio super great, ni TV series zile! Sio comfortable, mwendo ni wa kawaida sana maana ni 380hp.. level zao ni akina TATA novus/daewoo!
Sema hao jamaa wasio na mwendo(TATA, BEIBEN, FUSO, HOWO n.k) nawakubali kwa kitu kimoja tu,zile ni made in India, yes kama Tata hazina mwendo
haha Tata ni shida kwa mwendoSema hao jamaa wasio na mwendo(TATA, BEIBEN, FUSO, HOWO n.k) nawakubali kwa kitu kimoja tu,
Unaweza kuwaacha mbali ukahisi umewapoteza ila ukisimama tu kukojo@, wanakupita [emoji28][emoji28]
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Hii itakuwa kweliMajinja kumbe wako vyema, najuaga ana gari 4 kumbe anazo 22
CDEHii itakuwa kweli
Mfano Kyela stendi naonaga bus linalotoka Dar likifika linapumzika siku 1
Yangekuwa ni ma4 isingewezekana
Hili suala wengi hawalijui....scania hatengenezi body...ye ana deal na engine na chases yake tu.Unajua kwamba scania wao hawatengenezi body
Kuna mdau alikusemea shida yako na jibu likatolewa kiroho safi..Nita amini abood akirudi kwenye scania
Word up broHili suala wengi hawalijui....scania hatengenezi body...ye ana deal na engine na chases yake tu.
Watengeneza mabody ni hao Marcopolo, Dar Coach na wengineo.
Kuna Scania touring ambayo imeundwa in cooperation with Higer.Hili suala wengi hawalijui....scania hatengenezi body...ye ana deal na engine na chases yake tu.
Watengeneza mabody ni hao Marcopolo, Dar Coach na wengineo.
CDE
CWM
CUW
CMQ
CSL
CSL
CSN
CSN
CSN
DCB...
🤣🤣🤣Zilikuja Nissan Diesel UD, zikaenda, zikaja ISUZU CVR, zikaenda. Mchina alianza na yutong, ikafuata song tong, kaleta higer, golden dragon, sunlong lakini Scania ipo palepale. Kuna mtu kapanda Najmunisa toka secondary mpaka kapiga MD 5, Intern na kamaliza Mmed, na yupo kazini miaka mitatu sasa, Najmunisa Scania ipo tu inadunda....
Jamaa ni mtunzaj mzuri pia..bado ni nzuri sanaMacropolo za Abood zipo fresh na zimekula chumvi
Napenda sana kusafiri nazo nikiwa naenda Iringa. Huwa linakuwa ni Basi la mwisho kabisa kuondokaJamaa ni mtunzaj mzuri pia..bado ni nzuri sana
Na leo imetokea dar, kuja kushtuka Iringa inamwaga oil.Mimi nakueleza ukweli kiujumla sauli ana gari 4
1 T226 DPC aka ESCAPE PLAN Hii imepaki huu mwezi wote haipo road Ndio benzi
2 T685 DPN aka IACHE IENDE scania leo inaenda mbeya
3 T300 DRH aka MBEYA BOY Scania leo inatoka mbeya to dar
4 668 DTF aka MJESHI leo imeshida dar jana ilipita na mjamaa wa ulanzi iringa
Mkuu kuna lingine?? Usisite kuuliza chochote nitakujibu hadi utakapotosheka
Hii gari inanifanya nijiulize maswali mengi sana!
Iko shida mahali mkuu...Hii gari inanifanya nijiulize maswali mengi sana!
Napata wasiwasi kwa wasimamizi, Utaalamu wa mafundi wanaoitengeneza, Vipuli wanavyofunga na mwisho ni dereva!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app