t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Torque ndio Kila kitu kwenye haulage industry, their more you have on wheels the top on the road you become, power ni mbwembwe tu , hutumii 750hp kubeba tani 30 unless uwe unataka kuwakoga watu tu, 3550Nm ya Volvo inapatikana katika 1100rpm , swedish low rev philosophy at its best.Kutokana na kuwa na high torque ya 3550Nm na 750HP ni wazi katika ku climb milima ina better perfomance mkuu? Au pia itagemeana na power train yake?