Kama pesa ya kuleta hiyo bus ipo, ilete tu ukizungumza nao vizuri watakuruhusu tu!Inabidi tutoe maoni yetu kwa hawa wabunge wetu labda wanaweza badilisha hizi sheria zao za kishamba
Nakuelewa sana kaka! Ila tuliwahi kukwambia hapa hapa kuhusu volvo na ulitukatalia kabisa.Mlima !! Mimi sio wanna be fan , ni mtu ninayependa sana mechanics na naifuatilia hasa , of all the makes Swedish wako smart sana , Vovlo ni gari nzuri sana Ila sio kwa masikini.
Nikupe mfano tu scania Wana kitu wanaita modular concept , yaani spare moja inaweza kufunga kwenye zaidi ya engine moja , tena kwa kujitegemea , ukipata piston seizure kwa mfano scania unaweza ukadeal na individual cylinder maana Kila cylinder inajitegemea , hivo unaweza kufanya overhaul Kila piston kwa wakati wake , kazi ya kufungua na kufunga cylinder moja kwa scania ni masaa tu na inaweza kufanywa na mtu mmoja, sio kwa Volvo.
Haha mlima siikumbuki Kama tuliwahi kuongea habari ya ubora wa Volvo, Ila nafahamu kuwa vovlo ni gari nzuri sana , sema shida yake zikichoka ndo zinasumbuaNakuelewa sana kaka! Ila tuliwahi kukwambia hapa hapa kuhusu volvo na ulitukatalia kabisa.
Kuna ile FH16 610hp ya wanalambalamba, waliiuza mahali siku ukiiona utastaajabu sana, imekuwa takataka
Sent using Jamii Forums mobile app
Saizi Bongo Inter-link trailers zimeanza kuwa nyingi, hizo Dangler wamiliki wa semi-trailer wameanza kuzifunga Kwa fujo.Kama pesa ya kuleta hiyo bus ipo, ilete tu ukizungumza nao vizuri watakuruhusu tu!
Kipindi cha nyuma ilikuwa ni lazima pulling iwe na ekseli 7, semi trailer iwe na ekseli 6 lakini sasa hivi pulling zenye ekseli 8 na semitrailer zenye ekseli saba ni nyingi tu.
Na kuna semi trailer inavuta denglar yenye ekseli mbili (10 ft long).
Hivyo ni swala la wewe umejipangaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha sipo bongo muda sasa, hizo dangler za spec. Hauliers anasombea makaa au zinabeba nini?Saizi Bongo Inter-link trailers zimeanza kuwa nyingi, hizo Dangler wamiliki wa semi-trailer wameanza kuzifunga Kwa fujo.
Ila Specialized Hauliers kavunja anavuta dangler na tela za tipper.
Special sijajua anabeba nini, maana zinapotoka Dar naziona zinavuta Dangler na zimefunikwa turubai.Hahahaha sipo bongo muda sasa, hizo dangler za spec. Hauliers anasombea makaa au zinabeba nini?
Interlink mlipigwa mkwara mkaleta vifupi vifupi ila trust me, ni swala la muda tu tutaanza kuziona zile ndefu kama za mataifa mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye game la kubeba makaa ya mawe saizi gari zipo kampuni kibao. Mwezi wa 5 nilikuwa Songea nimekutana na gari nyingi za kampuni imeandikwa Dollow Boy/Tuxson huyu na Benz za warwanda. Special itakuwa kapunguza nguvu kule kahamia mazima kazi za Mbagala-Bandari kubeba Bulk cargoes.Hahahaha sipo bongo muda sasa, hizo dangler za spec. Hauliers anasombea makaa au zinabeba nini?
Interlink mlipigwa mkwara mkaleta vifupi vifupi ila trust me, ni swala la muda tu tutaanza kuziona zile ndefu kama za mataifa mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupata vyema kaka! Naomba nikuulize vitu kadhaa..Haha mlima siikumbuki Kama tuliwahi kuongea habari ya ubora wa Volvo, Ila nafahamu kuwa vovlo ni gari nzuri sana , sema shida yake zikichoka ndo zinasumbua
Kwenye suspension kwa mfano vovlo Wana 4point airbags kwa Kila axle , ndo system hii ipo kwenye daf , strallis , man pamoja na mercedes ,system hii gari ikichoka huwa inasumbua sana
Vovlo zenye horse power kubwa ndio kabisa hazina maisha , lambalamba alikuwa nazo 610 na 660 Kama sikosei , nadhan zote zipo hoi,
Fh 16 ilitabiriwa na wataalamu kuwa isingeweza kuishi maisha marefu , zilikuwa ni mbio za kupambana na scania interms of power , scania alipotoa 580 vovlo akaja na 610, ilipo toka 620 vovlo akaja na 660, ilipotoka R730 vovlo akaja na 750 ,mechanically speaking ni risks sana kutoa HP nyingi kwa idadi ndogo ya cylinders , vovlo fh 16 unazungumzia cc 16000, maana yake Kila cylinder ina ujazo wa cc 2600, put it simple Kila cylinder moja ya fh 16 ni zaidi ya ujazo wa engine ya 1jz ambayo ni 2500cc, challenge kubwa aliyokuwa anapambana nayo vovlo ni excessive vibrations kutokana na ukubwa wa cylinders , na ndio inayouwa engine , ,watu wa scania wao HP kubwa kubwa zote wanadeliver kupitia V8, naturally firing oder tu ya v8 huwa inaondoa vibrations.
Kuna uwezekano hii 770 ikawa king kwa muda mrefu maana reputation ya vovlo 750 ilikuwa mbaya sana na vovlo huenda wameamua kuachana na mpambano na scania
Salman zamani waliitwa sengerema motors, wananunua trailer zilizochongwa kwa simba, ndo hizo fupi fupiSpecial sijajua anabeba nini, maana zinapotoka Dar naziona zinavuta Dangler na zimefunikwa turubai.
Interlink naona Simba Logistics na wakina Salman Transport wanakomaa nazo.
Hizo benz za TransAfrica, zinapitia dodoma kwenda kwao japo kuna baadhi niliwahi kuziona kajiado kenya!Kwenye game la kubeba makaa ya mawe saizi gari zipo kampuni kibao. Mwezi wa 5 nilikuwa Songea nimekutana na gari nyingi za kampuni imeandikwa Dollow Boy/Tuxson huyu na Benz za warwanda. Special itakuwa kapunguza nguvu kule kahamia mazima kazi za Mbagala-Bandari kubeba Bulk cargoes.
MlimaHahahaha sipo bongo muda sasa, hizo dangler za spec. Hauliers anasombea makaa au zinabeba nini?
Interlink mlipigwa mkwara mkaleta vifupi vifupi ila trust me, ni swala la muda tu tutaanza kuziona zile ndefu kama za mataifa mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
unaonekana husafirigi sijajua unaishi wapi wewe ..pamoja na limit na tochi bado kuna watu wanapigwa gape ya masaa mawiliUnataka kusema nini? Mabasi yote yamefungwa speed limit, barabarani Kuna touch, huo mwendo Ni upi? Issue kubwa hapo Ni unafuu wa manunuzi na uendeshaji wa mabasi ya kichina basi.
Either hujui au haupo makini, gari kukimbia ni kitu kimoja na gari kuhimili kukimbia ni kitu kingine kabisa , mabasi yana speed limit ya 85km/h, lakini wastani wa mwendo hutofautiana kadiri engine inavyokuwa dhaifu milimani.
Mchina basi karibu zote anatumia technology ya euro 1, mechanical injector pump na nozzle , scania za f95 ni euro 5, common rail fuel injection , variable geometry turbocharger etc Ni very efficient, kiasi kwamba waliamua kupunguza cylinder moja , kwa option za mabasi,
F95 Ina uwezo wa kumaintain speed ya 85 kwa kipande kirefu, ndo maana sauli inakuwa ya kwanza kila siku
Sent
For some reason ufupi wa propeller shaft huongeza ufanisi , ndio sababu g series huwa zinakuja na shaft fupi.Nimekupata vyema kaka! Naomba nikuulize vitu kadhaa..
Vifuatavyo vinaathari yoyote kwenye horsepower & torque? Kama athari zipo ni kwa namna gani?
- axle configuration (6×6, 6×4, 6/4×2)
Hapa zungumzia R420 tractor.
-driving/propeller shaft (urefu & ufupi)
Hapa zungumzia R420 tractor(shaft fupi) & R420 rigid (shaft ndefu).
Hii tractor na rigid zote ziwe na same axle configuration sana sana 6×4
-hub reduction
Hapa zungumzia R420 rigid 6x4, moja iwe na diff za kawaida na nyingine iwe hub reduction.
-customisation /modification
Mf. R420 4×2 tractor ambayo ni stock, ikarefushwa chassis na shaft then ikaongezwa diff na kuwa 6×4! ile max . torque na hp at a certain rpm zitachange au zitabaki kama ilivyokuwa stock?
Lengo kuu nahitaji kujua max. Torque &hp at a certain rpm haziwezi kuathiriwa na hivyo vikorombwezo hapo juu?
Nakaribisha michango ya wadau wengine pia.
Asante!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa faida ya wengi, tunaomba ufafanue "drive train" ni Nini na inafanyeje kazi?
Nimeingia stand ya mkoa Ubungo last week nikaona Abood amepanga YUTONG kama nane hivi, mchanganyiko wa single na double axle, sasa sijui Abood nae hajui biashara ya magari??
Halafu nikisikia mtu mzima anaongelea sifa ya spidi ya gari nakuona bado hujakomaa, bado infantile...
Vyombo vya biashara , basi, treni, ndege, tanker la mafuta, meli, vinaenda na ratiba iliyopangwa kibiashara na kiserikali, sio kwa sababu havina mbio. Sasa basi la Dar Bukoba likiwahi kufika leo leo ndio litageuza leo, leo jioni??? Litaondoka na mteja usiku??
Mkuu kuhusu benz wacha nisiwe makini ila sio kweli kwamba Scania ipo bei juu zaidi ya Benz zikiwa mpya, Scania hapa kwetu ni gari ambayo vipuli vyake vipo vingi na haiwezi kulala porini Man diesel na Benz ndio zenye uwezo wa kupanda mlima na tano huku ikiwa imebeba mzigo Scania hicho kitu hakipo Mimi ni mgonjwa wa Scania ila siwezi kuongea uongo kwa kitu nachokiona na kila siku tupo road...
Hakuna cha speed limiter wala nini. Majuzi nilikua naendesha Dar - Iringa, nikiwa speed 110 nilipitwa na basi kama nimekaa. Nikabaki nashangaa tu iwapo kweli limiter zinafanya kaziUnataka kusema nini? Mabasi yote yamefungwa speed limit, barabarani Kuna touch, huo mwendo Ni upi? Issue kubwa hapo Ni unafuu wa manunuzi na uendeshaji wa mabasi ya kichina basi.
[emoji119][emoji119][emoji119]Kuna Mabasi sijui yana injini za treni nakumbuka siku moja tunatoka dar tunaenda mbeya tukakuta jam zito lililokuwa linaanzia kwa msuguri mpaka maili moja ikabidi tupite njia ya tegeta totokee kibaha mbele zaidi ya maili moja.
Kabla ya kuibukia barabara kuu kibaha kuna sehemu tulikuta barabara inatengenezwa ipo katika hali vumbi na mvua ilinyesha asubuhi ile kukawa na utelezi ile barabara pia ina kilima kikali Mabasi yakawa yanaserereka likiwemo Marco polo letu.
Mara nikaona basi moja Scania jeupe hivi likiwa linapanda kile kilima kama hamna matope nikashangaa sana maana Mabasi yalikuwa yako kwenye fulani ya kuserereka lenyewe likawa linatuovertake tu.