Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Inabidi tutoe maoni yetu kwa hawa wabunge wetu labda wanaweza badilisha hizi sheria zao za kishamba
 
Inabidi tutoe maoni yetu kwa hawa wabunge wetu labda wanaweza badilisha hizi sheria zao za kishamba
Kama pesa ya kuleta hiyo bus ipo, ilete tu ukizungumza nao vizuri watakuruhusu tu!

Kipindi cha nyuma ilikuwa ni lazima pulling iwe na ekseli 7, semi trailer iwe na ekseli 6 lakini sasa hivi pulling zenye ekseli 8 na semitrailer zenye ekseli saba ni nyingi tu.

Na kuna semi trailer inavuta denglar yenye ekseli mbili (10 ft long).

Hivyo ni swala la wewe umejipangaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlima !! Mimi sio wanna be fan , ni mtu ninayependa sana mechanics na naifuatilia hasa , of all the makes Swedish wako smart sana , Vovlo ni gari nzuri sana Ila sio kwa masikini.

Nikupe mfano tu scania Wana kitu wanaita modular concept , yaani spare moja inaweza kufunga kwenye zaidi ya engine moja , tena kwa kujitegemea , ukipata piston seizure kwa mfano scania unaweza ukadeal na individual cylinder maana Kila cylinder inajitegemea , hivo unaweza kufanya overhaul Kila piston kwa wakati wake , kazi ya kufungua na kufunga cylinder moja kwa scania ni masaa tu na inaweza kufanywa na mtu mmoja, sio kwa Volvo.
Nakuelewa sana kaka! Ila tuliwahi kukwambia hapa hapa kuhusu volvo na ulitukatalia kabisa.

Kuna ile FH16 610hp ya wanalambalamba, waliiuza mahali siku ukiiona utastaajabu sana, imekuwa takataka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuelewa sana kaka! Ila tuliwahi kukwambia hapa hapa kuhusu volvo na ulitukatalia kabisa.

Kuna ile FH16 610hp ya wanalambalamba, waliiuza mahali siku ukiiona utastaajabu sana, imekuwa takataka

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha mlima siikumbuki Kama tuliwahi kuongea habari ya ubora wa Volvo, Ila nafahamu kuwa vovlo ni gari nzuri sana , sema shida yake zikichoka ndo zinasumbua
Kwenye suspension kwa mfano vovlo Wana 4point airbags kwa Kila axle , ndo system hii ipo kwenye daf , strallis , man pamoja na mercedes ,system hii gari ikichoka huwa inasumbua sana

Vovlo zenye horse power kubwa ndio kabisa hazina maisha , lambalamba alikuwa nazo 610 na 660 Kama sikosei , nadhan zote zipo hoi,
Fh 16 ilitabiriwa na wataalamu kuwa isingeweza kuishi maisha marefu , zilikuwa ni mbio za kupambana na scania interms of power , scania alipotoa 580 vovlo akaja na 610, ilipo toka 620 vovlo akaja na 660, ilipotoka R730 vovlo akaja na 750 ,mechanically speaking ni risks sana kutoa HP nyingi kwa idadi ndogo ya cylinders , vovlo fh 16 unazungumzia cc 16000, maana yake Kila cylinder ina ujazo wa cc 2600, put it simple Kila cylinder moja ya fh 16 ni zaidi ya ujazo wa engine ya 1jz ambayo ni 2500cc, challenge kubwa aliyokuwa anapambana nayo vovlo ni excessive vibrations kutokana na ukubwa wa cylinders , na ndio inayouwa engine , ,watu wa scania wao HP kubwa kubwa zote wanadeliver kupitia V8, naturally firing oder tu ya v8 huwa inaondoa vibrations.
Kuna uwezekano hii 770 ikawa king kwa muda mrefu maana reputation ya vovlo 750 ilikuwa mbaya sana na vovlo huenda wameamua kuachana na mpambano na scania
 
Kama pesa ya kuleta hiyo bus ipo, ilete tu ukizungumza nao vizuri watakuruhusu tu!

Kipindi cha nyuma ilikuwa ni lazima pulling iwe na ekseli 7, semi trailer iwe na ekseli 6 lakini sasa hivi pulling zenye ekseli 8 na semitrailer zenye ekseli saba ni nyingi tu.

Na kuna semi trailer inavuta denglar yenye ekseli mbili (10 ft long).

Hivyo ni swala la wewe umejipangaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Saizi Bongo Inter-link trailers zimeanza kuwa nyingi, hizo Dangler wamiliki wa semi-trailer wameanza kuzifunga Kwa fujo.
Ila Specialized Hauliers kavunja anavuta dangler na tela za tipper.
 
Saizi Bongo Inter-link trailers zimeanza kuwa nyingi, hizo Dangler wamiliki wa semi-trailer wameanza kuzifunga Kwa fujo.
Ila Specialized Hauliers kavunja anavuta dangler na tela za tipper.
Hahahaha sipo bongo muda sasa, hizo dangler za spec. Hauliers anasombea makaa au zinabeba nini?

Interlink mlipigwa mkwara mkaleta vifupi vifupi ila trust me, ni swala la muda tu tutaanza kuziona zile ndefu kama za mataifa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha sipo bongo muda sasa, hizo dangler za spec. Hauliers anasombea makaa au zinabeba nini?

Interlink mlipigwa mkwara mkaleta vifupi vifupi ila trust me, ni swala la muda tu tutaanza kuziona zile ndefu kama za mataifa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Special sijajua anabeba nini, maana zinapotoka Dar naziona zinavuta Dangler na zimefunikwa turubai.

Interlink naona Simba Logistics na wakina Salman Transport wanakomaa nazo.
 
Hahahaha sipo bongo muda sasa, hizo dangler za spec. Hauliers anasombea makaa au zinabeba nini?

Interlink mlipigwa mkwara mkaleta vifupi vifupi ila trust me, ni swala la muda tu tutaanza kuziona zile ndefu kama za mataifa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye game la kubeba makaa ya mawe saizi gari zipo kampuni kibao. Mwezi wa 5 nilikuwa Songea nimekutana na gari nyingi za kampuni imeandikwa Dollow Boy/Tuxson huyu na Benz za warwanda. Special itakuwa kapunguza nguvu kule kahamia mazima kazi za Mbagala-Bandari kubeba Bulk cargoes.
 
Haha mlima siikumbuki Kama tuliwahi kuongea habari ya ubora wa Volvo, Ila nafahamu kuwa vovlo ni gari nzuri sana , sema shida yake zikichoka ndo zinasumbua
Kwenye suspension kwa mfano vovlo Wana 4point airbags kwa Kila axle , ndo system hii ipo kwenye daf , strallis , man pamoja na mercedes ,system hii gari ikichoka huwa inasumbua sana

Vovlo zenye horse power kubwa ndio kabisa hazina maisha , lambalamba alikuwa nazo 610 na 660 Kama sikosei , nadhan zote zipo hoi,
Fh 16 ilitabiriwa na wataalamu kuwa isingeweza kuishi maisha marefu , zilikuwa ni mbio za kupambana na scania interms of power , scania alipotoa 580 vovlo akaja na 610, ilipo toka 620 vovlo akaja na 660, ilipotoka R730 vovlo akaja na 750 ,mechanically speaking ni risks sana kutoa HP nyingi kwa idadi ndogo ya cylinders , vovlo fh 16 unazungumzia cc 16000, maana yake Kila cylinder ina ujazo wa cc 2600, put it simple Kila cylinder moja ya fh 16 ni zaidi ya ujazo wa engine ya 1jz ambayo ni 2500cc, challenge kubwa aliyokuwa anapambana nayo vovlo ni excessive vibrations kutokana na ukubwa wa cylinders , na ndio inayouwa engine , ,watu wa scania wao HP kubwa kubwa zote wanadeliver kupitia V8, naturally firing oder tu ya v8 huwa inaondoa vibrations.
Kuna uwezekano hii 770 ikawa king kwa muda mrefu maana reputation ya vovlo 750 ilikuwa mbaya sana na vovlo huenda wameamua kuachana na mpambano na scania
Nimekupata vyema kaka! Naomba nikuulize vitu kadhaa..

Vifuatavyo vinaathari yoyote kwenye horsepower & torque? Kama athari zipo ni kwa namna gani?

- axle configuration (6×6, 6×4, 6/4×2)
Hapa zungumzia R420 tractor.

-driving/propeller shaft (urefu & ufupi)
Hapa zungumzia R420 tractor(shaft fupi) & R420 rigid (shaft ndefu).
Hii tractor na rigid zote ziwe na same axle configuration sana sana 6×4

-hub reduction
Hapa zungumzia R420 rigid 6x4, moja iwe na diff za kawaida na nyingine iwe hub reduction.

-customisation /modification
Mf. R420 4×2 tractor ambayo ni stock, ikarefushwa chassis na shaft then ikaongezwa diff na kuwa 6×4! ile max . torque na hp at a certain rpm zitachange au zitabaki kama ilivyokuwa stock?

Lengo kuu nahitaji kujua max. Torque &hp at a certain rpm haziwezi kuathiriwa na hivyo vikorombwezo hapo juu?

Nakaribisha michango ya wadau wengine pia.
Asante!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye game la kubeba makaa ya mawe saizi gari zipo kampuni kibao. Mwezi wa 5 nilikuwa Songea nimekutana na gari nyingi za kampuni imeandikwa Dollow Boy/Tuxson huyu na Benz za warwanda. Special itakuwa kapunguza nguvu kule kahamia mazima kazi za Mbagala-Bandari kubeba Bulk cargoes.
Hizo benz za TransAfrica, zinapitia dodoma kwenda kwao japo kuna baadhi niliwahi kuziona kajiado kenya!

Dollow boy niliziona kipindi fulani mwanza zikiwa pamoja na wanalizombe walipeleka makaa bandarini pale..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha sipo bongo muda sasa, hizo dangler za spec. Hauliers anasombea makaa au zinabeba nini?

Interlink mlipigwa mkwara mkaleta vifupi vifupi ila trust me, ni swala la muda tu tutaanza kuziona zile ndefu kama za mataifa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlima
Honestly sielewi kwa nn transporters bongo wamezishobokea interlink zenye masharti kibao, ukiacha ufupi pia zimekuwa limited kwenye tani 56, Yani hakuna tofauti kubwa na dolly (pulling)
Sasa unaoperate magari matatu, matairi kibao halafu hakuna tija , southern huko interlink ipo na 70 gvm
 
Unataka kusema nini? Mabasi yote yamefungwa speed limit, barabarani Kuna touch, huo mwendo Ni upi? Issue kubwa hapo Ni unafuu wa manunuzi na uendeshaji wa mabasi ya kichina basi.
unaonekana husafirigi sijajua unaishi wapi wewe ..pamoja na limit na tochi bado kuna watu wanapigwa gape ya masaa mawili
 
Either hujui au haupo makini, gari kukimbia ni kitu kimoja na gari kuhimili kukimbia ni kitu kingine kabisa , mabasi yana speed limit ya 85km/h, lakini wastani wa mwendo hutofautiana kadiri engine inavyokuwa dhaifu milimani.

Mchina basi karibu zote anatumia technology ya euro 1, mechanical injector pump na nozzle , scania za f95 ni euro 5, common rail fuel injection , variable geometry turbocharger etc Ni very efficient, kiasi kwamba waliamua kupunguza cylinder moja , kwa option za mabasi,
F95 Ina uwezo wa kumaintain speed ya 85 kwa kipande kirefu, ndo maana sauli inakuwa ya kwanza kila siku

Sent

Huyo jamaa hasafirigi naona ..nishapanda bus flani gps speedometer ilikuwa inasoma top speed ni 102 tu muda mwngi tulikuwa tunacheza na 88 to 95....ndo siku nilijua kuwahi sio lazima ufike 150kph ..just maintain ile speed tu ....

Kuna kipande kilikuwa na 78km pamoja na bamsi zote kubwa milima ila tulitembea kwa lisaa limoja kamili kitu ambacho hakiwezekani kwa costa yenye abiria hata iwe haina vts ingetumia zaidi ya ule muda

Gari ndogo eg cresta tumetembea nayo zaidi ya kilometa 200 pakinyooka hamna bamsi inawapita kama mmesimama ila sisi tume maintain ile 88 muda wote ..kuna bamsi tulipita na 72kph then within less than 8sec tayari tuko pale pale kwenye 88kph

Ngoma mapema sana mjini stand shangwe za kutosha
 
Nimekupata vyema kaka! Naomba nikuulize vitu kadhaa..

Vifuatavyo vinaathari yoyote kwenye horsepower & torque? Kama athari zipo ni kwa namna gani?

- axle configuration (6×6, 6×4, 6/4×2)
Hapa zungumzia R420 tractor.

-driving/propeller shaft (urefu & ufupi)
Hapa zungumzia R420 tractor(shaft fupi) & R420 rigid (shaft ndefu).
Hii tractor na rigid zote ziwe na same axle configuration sana sana 6×4

-hub reduction
Hapa zungumzia R420 rigid 6x4, moja iwe na diff za kawaida na nyingine iwe hub reduction.

-customisation /modification
Mf. R420 4×2 tractor ambayo ni stock, ikarefushwa chassis na shaft then ikaongezwa diff na kuwa 6×4! ile max . torque na hp at a certain rpm zitachange au zitabaki kama ilivyokuwa stock?

Lengo kuu nahitaji kujua max. Torque &hp at a certain rpm haziwezi kuathiriwa na hivyo vikorombwezo hapo juu?

Nakaribisha michango ya wadau wengine pia.
Asante!!

Sent using Jamii Forums mobile app
For some reason ufupi wa propeller shaft huongeza ufanisi , ndio sababu g series huwa zinakuja na shaft fupi.
Hub reductions ni kwa ajili ya performance pia Ila ni option kwa wale wanataka high torque kutoka kwenye engine ndogo, hub reduction zipo za Aina mbili high speed na low speed , high speed ,
Tukija kwenye axle configuration 6x2 tag ndio the best kwa torque maana hii huja na propeller fupi , 6x4 ni kwa ajili ya off road applications
 
Kwa faida ya wengi, tunaomba ufafanue "drive train" ni Nini na inafanyeje kazi?

Vitu vinavofanya kazi kwa pamoja ili chombo kiende

Eg kwenye baskeli drive train ni jembe la mbele mnyororo na rear sprocket ama free hub/ wheel
 
Nimeingia stand ya mkoa Ubungo last week nikaona Abood amepanga YUTONG kama nane hivi, mchanganyiko wa single na double axle, sasa sijui Abood nae hajui biashara ya magari??

Halafu nikisikia mtu mzima anaongelea sifa ya spidi ya gari nakuona bado hujakomaa, bado infantile...

Vyombo vya biashara , basi, treni, ndege, tanker la mafuta, meli, vinaenda na ratiba iliyopangwa kibiashara na kiserikali, sio kwa sababu havina mbio. Sasa basi la Dar Bukoba likiwahi kufika leo leo ndio litageuza leo, leo jioni??? Litaondoka na mteja usiku??

Aya ya mwsho nimegundua na wewe ni infantile

Sometime bora unyamaze
 
Mkuu kuhusu benz wacha nisiwe makini ila sio kweli kwamba Scania ipo bei juu zaidi ya Benz zikiwa mpya, Scania hapa kwetu ni gari ambayo vipuli vyake vipo vingi na haiwezi kulala porini Man diesel na Benz ndio zenye uwezo wa kupanda mlima na tano huku ikiwa imebeba mzigo Scania hicho kitu hakipo Mimi ni mgonjwa wa Scania ila siwezi kuongea uongo kwa kitu nachokiona na kila siku tupo road...

Hatuangalii gia unayopanda nayo mlima ila ni kwa speed gani unapanda ....

Kila mtu anajua endesha baskeli itakuwa ya gia kila mtu atapanda mlima flan hata katoto cha 12years ila ni kwa speee gan anapanda?

Hio gia yako ya tano ratio zake unaeza kuta kwangu ni ya nne ratio ndo zile zile...

Ni kama honda shadow yenye gia 5 ikiwekwa tatu ikavutwa toyo haifurukuti😁
 
Unataka kusema nini? Mabasi yote yamefungwa speed limit, barabarani Kuna touch, huo mwendo Ni upi? Issue kubwa hapo Ni unafuu wa manunuzi na uendeshaji wa mabasi ya kichina basi.
Hakuna cha speed limiter wala nini. Majuzi nilikua naendesha Dar - Iringa, nikiwa speed 110 nilipitwa na basi kama nimekaa. Nikabaki nashangaa tu iwapo kweli limiter zinafanya kazi
 
Kuna Mabasi sijui yana injini za treni nakumbuka siku moja tunatoka dar tunaenda mbeya tukakuta jam zito lililokuwa linaanzia kwa msuguri mpaka maili moja ikabidi tupite njia ya tegeta totokee kibaha mbele zaidi ya maili moja.

Kabla ya kuibukia barabara kuu kibaha kuna sehemu tulikuta barabara inatengenezwa ipo katika hali vumbi na mvua ilinyesha asubuhi ile kukawa na utelezi ile barabara pia ina kilima kikali Mabasi yakawa yanaserereka likiwemo Marco polo letu.

Mara nikaona basi moja Scania jeupe hivi likiwa linapanda kile kilima kama hamna matope nikashangaa sana maana Mabasi yalikuwa yako kwenye fulani ya kuserereka lenyewe likawa linatuovertake tu.
[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom