mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Hawachelewi kuleta ule mzani wa kuhamisha! Kuna mahali ilikuwa inasombwa dust na kokoto, watu walikuwa wanabeba hadi tani 60..Bongo sheria zimebana sana.
Ukitaka usisumbuane nao unaipeleka kule Kilombero ikavute matela ya kubeba miwa kule unaweza ukavuta hata tela 3.Na hakuna mzani gari inatoka shamba unaenda Kiwandani.
Haikuchukua round wakaleta mzani wa kuhamisha! Noma sana mzee