Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Dar Songea

Zimejaa Yutong, Zhongtong, Sunlong kibao tu

Kwa maoni yako hiyo route ina shida gani?
Milima, nunuwa siku moja Scania na Youtong, zianze kazi siku moja route hiyo halafu tuzikaguwe hizo gari after 2 years.

Kuna kitu mnachanganya, hata bajaji inao uwezo wa kwenda Dar Songea ila kwa miaka mingapi na je bado hiyo bajaji itakuwa tena bajaj au screpa?
 
Mpaka mbishi dar express kadaka Zhongtong Climber[emoji38][emoji38][emoji38]
Umeona eeehe. Sisi wengine tunabaki ushabiki tu wakati walioko kwenye game wanasanda kwa mchina.

Ila mchina anakimbiza kila kona. Nina simu hapa Huawei P30 Pro naona kabisa mchina anapoelekea kufanya maangamizi nilinunua USD 670 Dubai, Pia nina macho matatu so i know them all
 
Speed limit, kuna time flame kwa kila route expected arrival time.
Sio swali nililo uliza

Nimeuliza kwann tunarud nyuma .. speed limit hapo n tayar usharud nyuma , kwann kuwe na speed limit? Labda niweke swali hivyo
 
Sio swali nililo uliza

Nimeuliza kwann tunarud nyuma .. speed limit hapo n tayar usharud nyuma , kwann kuwe na speed limit? Labda niweke swali hivyo
Tunarudi nyuma kwenye usahihi, mwanzo hatukuthamini roho za watu.

Hakuna kitu kisichoendeshwa kwa regulations.

Hata gari yako binafsi sijui Prado au IST kuna mwongozo wa speed barabarani, kuna sehemu utaoneshwa speed 30, sehemu nyingine 50 na sehemu iko clear unaachiwa free ujiuwe mwenyewe.
 
Tunarudi nyuma kwenye usahihi, mwanzo hatukuthamini roho za watu.

Hakuna kitu kisichoendeshwa kwa regulations.

Hata gari yako binafsi sijui Prado au IST kuna mwongozo wa speed barabarani, kuna sehemu utaoneshwa speed 30, sehemu nyingine 50 na sehemu iko clear unaachiwa free ujiuwe mwenyewe.
So hao wenzetu ambao wanajitahid kuja na suluhisho mbadala muda wa kukaa barabaran uzid kupungua wao ndio wanapotea zaid au? Kwamba hawajali roho za watu??

Tuna akili za ajabu sisi , hakuna mwezi unapita bus haijalamba chini au kuua watu hapa nchini,

Tatizo halikimbiwi , tatizo linatatuliwa, kuweka ratiba sijui nn huko n kukimbia tatizo , weka miundombinu sahihi watu wapepee

Enzi hizo waliweza fika saa nane Mbeya na wala hakukua na tatizo lolote na miundombinu ilikua mibovu kuliko sasa
 
So hao wenzetu ambao wanajitahid kuja na suluhisho mbadala muda wa kukaa barabaran uzid kupungua wao ndio wanapotea zaid au? Kwamba hawajali roho za watu??

Tuna akili za ajabu sisi , hakuna mwezi unapita bus haijalamba chini au kuua watu hapa nchini,

Tatizo halikimbiwi , tatizo linatatuliwa, kuweka ratiba sijui nn huko n kukimbia tatizo , weka miundombinu sahihi watu wapepee

Enzi hizo waliweza fika saa nane Mbeya na wala hakukua na tatizo lolote na miundombinu ilikua mibovu kuliko sasa
Unaruhusiwa kuongea hisia zako ila uhalisia haupo hivyo.

Wakati Wajerumani wanatangaza zawadi kwa atakayeweza kupinduwa Mercedes benz 500cc haikuwa na maana hiyo gari haiwezi kupinduka kabisa, lakini kama utaendesha kama gari inavyotakiwa kuendesha huwezi kupinduka na gari hiyo.

Siku moja panda gari zinazopeleka magazeti mikoani ndio utaleta ushuhuda hapa.
 
Unaruhusiwa kuongea hisia zako ila uhalisia haupo hivyo.

Wakati Wajerumani wanatangaza zawadi kwa atakayeweza kupinduwa Mercedes benz 500cc haikuwa na maana hiyo gari haiwezi kupinduka kabisa, lakini kama utaendesha kama gari inavyotakiwa kuendesha huwezi kupinduka na gari hiyo.

Siku moja panda gari zinazopeleka magazeti mikoani ndio utaleta ushuhuda hapa.
Hakuna uhusiano na ulicho andika hapa

Dunia inaenda speed, hakuna taifa linazorudi kwenye miaka ya 80 huko, ni sisi tu

Kwasababu wakubwa wameviweka haimaanishi kua ni sahihi, kwasababu serikal imepitisha kitu haimaniishi kua ni sahihi

Sio sawa 2021 et gari itembee speed km 50 kwa saa ,

Regulations zipo dunia nzima, kwann basi nao wasorud nyuma?

Elimu, ufahamu na uelewa wa mambo unavyokua hatupaswi kupingana nao kwa kurud nyuma , tujielishe tuelimike tusonge mbele, tutumie technology kwa manufaa , turahisishe mambo ni sio ku complicate

Dunia nzima ni nchi tatu tu zina hizi speed za konokono alafu zote Masikini

Tanzania
Vietnam
Macau

Na wastan wa dunia hizi highway/express way/ motorways ni speed 110 , Huo ni wastan wa dunia
Karibu 85% ya mataifa dunia wana 100 hadi 130


Tumewekea speed 50 mwisho 85 , sawa.. lakn haiko sahihi
 
Hakuna uhusiano na ulicho andika hapa

Dunia inaenda speed, hakuna taifa linazorudi kwenye miaka ya 80 huko, ni sisi tu

Kwasababu wakubwa wameviweka haimaanishi kua ni sahihi, kwasababu serikal imepitisha kitu haimaniishi kua ni sahihi

Sio sawa 2021 et gari itembee speed km 50 kwa saa ,

Regulations zipo dunia nzima, kwann basi nao wasorud nyuma?

Elimu, ufahamu na uelewa wa mambo unavyokua hatupaswi kupingana nao kwa kurud nyuma , tujielishe tuelimike tusonge mbele, tutumie technology kwa manufaa , turahisishe mambo ni sio ku complicate

Dunia nzima ni nchi tatu tu zina hizi speed za konokono alafu zote Masikini

Tanzania
Vietnam
Macau

Na wastan wa dunia hizi highway/express way/ motorways ni speed 110 , Huo ni wastan wa dunia
Karibu 85% ya mataifa dunia wana 100 hadi 130


Tumewekea speed 50 mwisho 85 , sawa.. lakn haiko sahihi
Malizia na Rwanda
 
Tunarudi nyuma kwenye usahihi, mwanzo hatukuthamini roho za watu.

Hakuna kitu kisichoendeshwa kwa regulations.

Hata gari yako binafsi sijui Prado au IST kuna mwongozo wa speed barabarani, kuna sehemu utaoneshwa speed 30, sehemu nyingine 50 na sehemu iko clear unaachiwa free ujiuwe mwenyewe.
Mkuu
Mimi ni moja ya watu wanaoamini kuwa hatukutakiwa kuchukua route ya speed limit kuzuia ajali .tulitakiwa tuboreshe miundombinu kuzuia ajali.
Tuna tatizo kubwa la miundombinu bahati mbaya hili lipo mikononi mwa serikali na kama kawaida katika kutuzuga wanatupa input nyingine na kutupoteza maboya wananchi .
Speed limit kwa sasa zinakinzana serikali inasema limit ni 80km/h latra wao limit ni 85km/h south africa basi ipo limited to100km/h
Ajali za basi bado zipo nyingi tu na zinaua watu sana , shida ni kuwa hazipewi airtime kama zamani, juzi tu hapa isamilo imetoka kuua , kwa waliopita barabara ya iringa dodoma hivi karibuni huwezi kushangaa ajali kama ile kutokea maeneo kama yale , barqbara. Ni mbovu kupindukia licha ya kuwa bado ni mpya tu
Chukukulia kipande kama chalinze to mlandizi, pale hata uweke speed limit ya 40km/h bado ajali zitatokea na kuua watu,
 
Mkuu
Mimi ni moja ya watu wanaoamini kuwa hatukutakiwa kuchukua route ya speed limit kuzuia ajali .tulitakiwa tuboreshe miundombinu kuzuia ajali.
Tuna tatizo kubwa la miundombinu bahati mbaya hili lipo mikononi mwa serikali na kama kawaida katika kutuzuga wanatupa input nyingine na kutupoteza maboya wananchi .
Speed limit kwa sasa zinakinzana serikali inasema limit ni 80km/h latra wao limit ni 85km/h south africa basi ipo limited to100km/h
Ajali za basi bado zipo nyingi tu na zinaua watu sana , shida ni kuwa hazipewi airtime kama zamani, juzi tu hapa isamilo imetoka kuua , kwa waliopita barabara ya iringa dodoma hivi karibuni huwezi kushangaa ajali kama ile kutokea maeneo kama yale , barqbara. Ni mbovu kupindukia licha ya kuwa bado ni mpya tu
Chukukulia kipande kama chalinze to mlandizi, pale hata uweke speed limit ya 40km/h bado ajali zitatokea na kuua watu,
Isamilo imeua, Ally's imedondoka, JMC uso kwa uso.. ni vile hazipei airtime tu

Fuso ndio zinachinja balaa , huko kwenye ma group ya fuso WhatsApp hua ni misiba daily
 
Ile ya isamilo juzi nimeshudhudia , na media zimeripoti tofauti na uhalisia
Kuna lori ilianguka kabla ya ajali , ile lori aliyoigonga isamilo ilikuwa imesimama na jamaa walukuwa wanawasaidia wenzao waliopata ajali ya kuchochora , isamilo imekuja kugonga lori liliosimama .
Isamilo imeua, Ally's imedondoka, JMC uso kwa uso.. ni vile hazipei airtime tu

Fuso ndio zinachinja balaa , huko kwenye ma group ya fuso WhatsApp hua ni misiba daily
 
Inawezekana najibushana na mtu wa enzi hizi
Tawaqal amewahi kuwa na isuzu , na nimepanda basi hiyo mara kadhaa, nakumbuka nilikuwa siipendi kwa sababu haikuwa na mwendo ilikuwa inafika dar kwa kuchelewa saa tisa alasiri, kama sikosei namba TZJ 7110,

Enzi hizo Masia bus inaingia mnazi mmoja saa nane alasiri kutokea mbeya .
Mkuu mi wa kitambo enzi za kwacha,nyota,miyuji,kabwe na mbeya,Iringa na Dar nimekaa sana tu ukisema isuzu haikuwa na mwendo si kweli kuna basi za lucky star,matema beach(mv utelezi)meridian(akikua ataacha au ni utoto tu zilikuwa balaa ukiipita mlimani tegemea kuachwa tambarare kuhusu tawaqal inawezekana sikuiona maana hata matema alikuwa nayo moja lkn ilikuwa maarufu balaa.
 
Mkuu mi wa kitambo enzi za kwacha,nyota,miyuji,kabwe na mbeya,Iringa na Dar nimekaa sana tu ukisema isuzu haikuwa na mwendo si kweli kuna basi za lucky star,matema beach(mv utelezi)meridian(akikua ataacha au ni utoto tu zilikuwa balaa ukiipita mlimani tegemea kuachwa tambarare kuhusu tawaqal inawezekana sikuiona maana hata matema alikuwa nayo moja lkn ilikuwa maarufu balaa.
Haha kwa hizo basi unazotaja we kweli mzee mwenzangu
Isuzu si kwamba haikua na mwendo , bali haikuwa na ule mwendo sisi wanazi tulikua tunaupenda !! Isuzu za mbeya zilikuwa zinaingia mnazi mmoja na basi la Embakassy!! One of the weakest link kwa miaka hiyo , hii ilikuwa inaudhi sana

Thanks tough kwa kumbukumbu murua
 
Haha kwa hizo basi unazotaja we kweli mzee mwenzangu
Isuzu si kwamba haikua na mwendo , bali haikuwa na ule mwendo sisi wanazi tulikua tunaupenda !! Isuzu za mbeya zilikuwa zinaingia mnazi mmoja na basi la Embakassy!! One of the weakest link kwa miaka hiyo , hii ilikuwa inaudhi sana

Thanks tough kwa kumbukumbu murua
Angalau Isuzu kidogo ila nissan diesel mlimani zilikuwa zinakera sana.
 
Ile ya isamilo juzi nimeshudhudia , na media zimeripoti tofauti na uhalisia
Kuna lori ilianguka kabla ya ajali , ile lori aliyoigonga isamilo ilikuwa imesimama na jamaa walukuwa wanawasaidia wenzao waliopata ajali ya kuchochora , isamilo imekuja kugonga lori liliosimama .
Aiseee!

Hao ni wamesimama kutoa msaada, gari yao imepitiwa!

Imagine gari inaharibika maeneo ambayo ni nje ya miji inabidi ulale kwenye gari..

Kuna mdogo wangu huwa anasema gari ikiharibikia huko maporini, ye analala juu ya turubai lililofunika mzigo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom