Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Hayo ni mawazo yakoMbona umekasirika sana na watumia nguvu kubishana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo yakoMbona umekasirika sana na watumia nguvu kubishana?
nmecheka mno [emoji23][emoji23][emoji23] wakati wenzao wakinaWatu wana assume fomula one hizo.....
Kwani Sauli yalimkuta yepi?Mzee scania ipe heshima yake tupa geuka kila siku sio jambo la kubeza cha muhimu awe makini yasimkute ya Sauli.
Na wanavaa helmet... Itabd na sie tuwe tunapanda na helmet na mavaz magumu kwny mabusnmecheka mno [emoji23][emoji23][emoji23] wakati wenzao wakina
Lewis Hamilton wanavuna pesa huko wao wanabet roho za watu
wanazidi kuwapa umaarufu tuView attachment 2662535
Uamuzi huo umetolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA) baada ya kubaini Mabasi hayo kuchezea Mfumo wa Kufuatilia Mwendo (VTS) kwa lengo la kusafiri kwa Mwendokasi ili kushindana kufika Stendi.
Kwa mujibu wa LATRA, watoa huduma hao wamekuwa wakitumia fursa ya kuanza safari mapema (Saa 9 Usiku hadi 11 Alfajiri) kwa kufanikisha malengo ya kufanya mashindano huku kukiwa na wanaobashiri Basi linalofika mapema wakipata ushindi kwenye Kamari.
Mabasi 6 ya Allys Star na Matatu ya Katarama yamerudishwa kwenye ratiba ya ya kuanza safari Saa 12:00 Asubuhi kuanzia Juni 21, 2023. Aidha Kampuni ya Isamilo imepewa onyo kali la mwisho kabla ya kuchukuliwa hatua stahiki.
--
View attachment 2662579View attachment 2662580View attachment 2662581
wasukuma toka wazaliwe hawajawahi kuliona g7 so sishangai wanavyolisifia ni sawa na kule mbeya hawakuwahi kuliona g7 mpaka sauli alipolipeleka.....Hii ligi huwa inanishangaza kitu kimoja tu, hizo katarama ukikuta wanazi wanavozifia alafu kaangalie mikeka sasa utashangaa mwenyewe.
Yaani kwenye mikeka ni tofauti na wanavozisifia,
Mikeka ya mwezi mzima ally's ndo huwa inafungua geti mara nyingi kuliko gari zote ila sasa wanazi wakute wanasifia katarama!
Kuna jamaa anasema katarama anafika dodoma saa 3 asubui kama vile ni jambo la ajabu!! Wakati hao wote wanatoka saa 9 usiku dodoma wanapitaga wote saa 3
hawa jamaa sijui wanamchukuliaje yule mhaya kataramaNani kakwambia biashara ya mabasi unarudisha pesa ndani ya miezi 3?
Si mjinga kulipa Bima ya zaidi ya milioni 180 kwa mabasi 3
Ukiona hivyo hana hela za mawazo
nasikia mzungu huyu... na dereva ukikutwa hata na spana tu kazi hunaYule jamaa katisha ana Number A zimesimama sana
Yeye na World Oil ni balaa
Number A yake kama DSA
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza😂, halafu katika watu ambao hutakiwi kuwasifia kwa ustaarabu ni watu wa mabus coz wanaweza kukushangaza anytimeSatco nimewapenda sana Dodoma- Kagera madereva kama wale wa Diplomatic ,
Nimepata mrejesho toka Kwa jamaa zangu wa karibu wana wakubali sana kwa kuendesha kiusalama,
Yaani abiria hadi analala bila kuwa roho juu wala mkononi.
Mwendo wa usalama kabisa,
Hawana break za kustukiza, hawana papara Yaani kama uko kwenye utalii wa ndani vile.
Isijekuwa ni coincidence tu bali iwe ni lifestyle yenu .
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza[emoji23], halafu katika watu ambao hutakiwi kuwasifia kwa ustaarabu ni watu wa mabus coz wanaweza kukushangaza anytime
blasto makundi mchaga mmoja ivi yupo hapo kwenye mashamba ya miwa morogoroHivi mmiliki wa Mabasi ya BM ni nani !
[emoji120]
Wanatoka mwanza SAA 2 usiku na wanaingia DAR SAA 3-4.Naona siku hizi Katarama inaingia Dar saa nne asubuhi na saa kumi na moja jioni. Sijui huwa anaondoka Mwanza saa ngapi.