Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu, majiji si makubwa na vituo vipo karibukaribu

Toeni siasa na muache science ichukue mkondo wake, kama kwenye majiji mengine duniani imewezekana, kwanini hapa kwetu ishindikane??
 
Kwa kumuongezea maarifa kuna trams (zina njia zake kama train) na kuna electric buses ni basi la kawaida kama haya maBRT yanakuwa na mkono wa umeme kwa juu umeungwa kwenye line ya umeme "trolleybuses" , haya yanakatiza kwenye barabara kawaida kama public cars tu...aina hii ya pili siku wamezimodernize wametoa hayo mamikono kwa juu, halafu gari inakuwa inaenda mahali inacharge then inapiga route, charge ikiisha linaenda tena charging station kucharge

 
Tulia kidogo aisee maana Mara mabasi ya umeme, Mara SGR Mara Tanesco wapo hopeless, kwani vipi jamaa yangu?
 
Wataalamu wa ndege kubwa njooni huku mjibu Dakika saba Boeing yaweza ruka straight Dar to Zanzibar bila kuzurura angani kuipa momentum kabla kutua?
Mkuu, Ndege ZNZ to Dar Mboa Boing zetu ziku za nyuma zilikuwa zinaruka .... Hakuna cha ajabu hapo. Ni dakika 12 kwa uzoefu wangu.
 
Ingawa nazo ni ndoto mama alikuwa anaongelea TRAMS
View attachment 2126095
Na sio hizo Supersonic Trains unazosiongelea wewe (kwahio ili twende sawa badilisha kidogo content yako sababu inaongelea wrong premises)
Ok umeeleweka sio mabasi ya mwendo kasi hayo hizo ni train za mjini ambazo badala ya kutumia mafuta hutumia umeme

Train za mjini Dar tunazo zinaitwa Train za mwakyembe sio mabasi ya mwakyembe

Correct definiton ziitwe train zinazotumia umeme kusafirisha abiria mjini zisizotumia mafuta

Issue je kipi rahisi usafiri mijini kutumia treni zinazotumia mafuta za Mwakyembe au treni zinazotumia umeme ? Wataalamu karibuni
 
Unaonekana una exposure ndogo sana na hauna aibu kuongea pumba, umeshindwa hata kugoogle tu au kuuliza ukaambiwa.

Hayo mabasi ya umeme ni tram mbayo hayana speed yoyote nenda Oslo utayakuta na miji kibao tu Marekani na Ulaya.

Hayo sio speed train/ bullet train, uwage unauliza dah
 
Hakuna mabasi ya umeme wewe ziko train za umeme

Hayo unaita mabasi ni Train Daladala zinazotumia umeme kubeba abiria mijini.Za kutumia mafuta tunazo Dar zinaitwa Train za Mwakyembe
 
Electric Cars / Vehicles tends to be cheaper will lower maintanance..., tatizo initial cost ya miundombinu na adaptability huenda ikawa tatizo ni vigumu kuhamisha hilo vehicle kutoka hapa na kwenda kule ambapo hakuna njia zake....

Unless otherwise tubadilishe magari yetu badala ya kutumia mafuta yatumie battery (teknolojia bado na inahitaji battery bank kubwa na charging takes time) au tutumie Compressed Natural Gas ambayo tunayo ya kumwaga....
 
Hakuna mabasi ya umeme wewe ziko train za umeme

Hayo unaita mabasi ni Train Daladala zinazotumia umeme kubeba abiria mijini.Za kutumia mafuta tunazo Dar zinaitwa Train za Mwakyembe
umeme ni nishati kama ilivyo petroli kwahio hata basi / magari / pikipiki za umeme pia zinaweza kuwepo so long as zinatumia battery na sio mafuta / petrol
 
Ni Train sio mabasi tusahihishane kwanza kuita mabasi ni Wrong

Copy kwa waandishi wa habari na vituo vya radio na Tv pamoja na wewe unajitia una exposure kuita Train bus? Train na basi vitu viwili tofaiti train inatumia reli bus halitumii reli
 
Hakuna mabasi ya umeme wewe ziko train za umeme

Hayo unaita mabasi ni Train Daladala zinazotumia umeme kubeba abiria mijini.Za kutumia mafuta tunazo Dar zinaitwa Train za Mwakyembe

Hahah naona bado unaonesha ulimbukeni, ngoja nikipata nafasi nikuwekee picha...

Huwa mara nyingi naandika kitu najua, especially kwenye mijadala kama hii...

Subiri hapo hapo nikuwekee picha
 
Hahah naona bado unaonesha ulimbukeni, ngoja nikipata nafasi nikuwekee picha...

Huwa mara nyingi naandika kitu najua, especially kwenye mijadala kama hii...

Subiri hapo hapo nikuwekee picha
Wenzio walishaweka picha kitambo
 
Wenzio walishaweka picha kitambo

Hili hapa chini unaliona ni train???



Kwa kukusaidia pitia hii link hapa chini...

 
Sina hakika kama kuna jambo hata moja unalojua technically kuhusu gari za umeme, maana unahusisha gari za umeme na umeme kukatika as if gari zinahitaji kuwa connected na live terminal ya Tanesco. Gari zinaendeshwa kwa betri ambazo zinachajiwa au kubadilishwa umeme ukipungua

Gari za umeme tayari zipo Nairobi na zinasafirisha abiria kituo hadi kituo. Kuenda kwa speed kubwa sio sifa ya gari za umeme, zinaenda taratibu kuliko gari ya mafuta. Advantage yake ni gharama ya uendeshaji na pollution prevention
 
Kwani mabasi ya umeme na mabasi ya kawaida yana tofauti gani?
Nishati..., Kawaida mabasi yanatumia Petrol / Diesel inagawa pia yanaweza kutumia Gesi...

Umeme ndio hivyo either direct connected kwenye power au kwa kutumia battery...
 
Ok kwa hiyo kuweka mambo sawa gari zinazotumia umeme sio za mwendokasi kama tulizonazo sasa hivi za mafuta hivyo si sahihi kuwa zaweza kuwa mbadala wa mabasi ya mwendo kasi tuliyonayo kwa sasa
 
Nafikiri kuna kitu unatakiwa kujifunza. Mimi nimewahi kutumia hayo mabasi ya umeme jijini London UK kwa jina maarufu "Trum". Ni aina ya mabasi kama mabasi ya "Ikarus" yaliyowahi kutumika jiji Dar es salaam miaka 80s na 90s! Ni mabasi yanayotumia njia kama za treni lkn yanatumia umeme na mwendo wake ni kama mabasi ya kawaida sio kwamba yanaspeed kubwa sana. Hivyo basi yanaweza kutumika katika miji yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…