Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ndiyo akili za watendaji wa serikali ya CCM.Habari zenu.
Kwa kweli nimeshangazwa sana ktk mabasi yaendayo haraka.
Inakuwaje nakupa pesa yangu ya kutaka kupata tiketi, mfano nakupa 1000Tshs, unatakiwa unirudishie 350Tshs sababu nauli ni 650Tshs, sasa unanipa "CHENJI" shilingi 300 na vocha ya VODA ya 50?
Nimeona wengine wanarudishiwa "CHENJI" ya vocha za voda 100 na 200 bila wao kukubali. Yaani hizo vocha zimegeuka pesa halali kwa kurudishiwa chenji.
Mimi kama situmii mtandao wa voda kwa nini mnanilazimisha nichukue hiyo vocha?? Cha ajabu nikiichukua na kesho kuja hapo hapo kituoni na shilingi 600 na hiyo vocha mliyonipa ya 50, HAMTAKI!!
HUU NI UPUUZI WA HALI YA JUU, sijajua ni kitu kipo ktk majaribio au ni mradi wa mtu kulazimisha vocha zake zinunuliwe, na kwa nini voda tu?
TUSIHARIBIANE BAJETI KWA KULAZIMISHANA KUNUNUA VOCHA ZA VODA.
Ujue mpaka linafanyika limeanzia sehemu husika.hapo hakuna msaada zaidi ya kuzigomea hizo vochaPoleni mnaotumiaa mwendokasi bt fikisheni hili swala sehemu husikaa kwa msaaada zaidi
Ningemtoa miguu walahiJuzi baada ya kubishana na keshia kituo fulani nikaichukia vocha ya 50, jana narudi nayo na kuambatanisha na 600 na namkuta yeye mwenyewe aliyenipa juzi na akanikumbuka fresh, ananiambia hawezi nipa tiketi mpaka nimpe 650, akisema wameambiwa wasizipokee ila watoe tu.
Aya wewe mbuzi kula nyasi usilalamikeChadema mnalalamika sana
Jicho lako halioni mbele ya mipaka ya vyama vya siasa, umelaaniwa mpaka Yesu arudi ndio utaponywa.Hizo ndiyo akili za watendaji wa serikali ya CCM.
Endelea kukata viuno kusherehekea chama kimeshika hatamu.
Mwisho wa siku yeye ni mesenja tu, mesenja hauliwi.Ningemtoa miguu walahi
Hizi unazipata mwendo kasi vituo vya kukatia tiketi tu, kama "chenji".Kweli tuliopo huku zanzibar tunapitwa na mengi. Kumbe wenzetu bara mna vocha za 50 daaah
Sawa sawaHizi unazipata mwendo kasi vituo vya kukatia tiketi tu, kama "chenji".
Chenji.Sasa vocha ya 50 nifanyie nn kwani kuna kifurushi cha sh 50...hiii nchi bana [emoji17] [emoji17]