KERO Mabasi ya Mwendokasi: Hili suala la mimi nakudai chenji wewe unanipa vocha ya VODA, kuna nini hapa?

KERO Mabasi ya Mwendokasi: Hili suala la mimi nakudai chenji wewe unanipa vocha ya VODA, kuna nini hapa?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ndio, inanitoa povu.
Naona harufu ya upuuzi ktk hii kitu. Inakuwaje mimi niwadai 50 wao wanilazimishe nichukue vocha ya 50??
Tikisema vyuma vimebana mnatuona wqpiga dili sisi hamsini hatuna kazi nazo kumbe ccm ndo mnateseka mnajifanya kusifia utawala mmbovu kumbe ndani mnavuja damu...
 
Sasa wewe Kama hautaki vocha ya Tsh.50 c uwe unaenda na pesa kamili. kwani tatizo liko wapi mkuu
Na daladala wakiamua kurudisha chenji kwa vocha za Tigo, utawakatalia vipi? Inanikumbusha kipindi Kile cha miaka ya ujamaa, ilikuwa ukinunua sukari kilo Sharti ununue na unga wa njano kilo. Ukinunua bia sharti thamani ileile ununue nyama choma.unarudi nyumbani umeshiba nyama badala ya bia .
 
Kumbe na wewe unayemsifia bwana yule unakumbana na haya mambo.

Pole, nunua line ya voda ili mambo yawe sawa ukipewa hiyo vocha.

Hii mbinu ya kutuchuna kiaina sana walioianzisha.
Hahahaaaaa
 
Habari zenu.
Kwa kweli nimeshangazwa sana ktk mabasi yaendayo haraka.
Inakuwaje nakupa pesa yangu ya kutaka kupata tiketi, mfano nakupa 1000Tshs, unatakiwa unirudishie 350Tshs sababu nauli ni 650Tshs, sasa unanipa "CHENJI" shilingi 300 na vocha ya VODA ya 50?
Nimeona wengine wanarudishiwa "CHENJI" ya vocha za voda 100 na 200 bila wao kukubali. Yaani hizo vocha zimegeuka pesa halali kwa kurudishiwa chenji.

Mimi kama situmii mtandao wa voda kwa nini mnanilazimisha nichukue hiyo vocha?? Cha ajabu nikiichukua na kesho kuja hapo hapo kituoni na shilingi 600 na hiyo vocha mliyonipa ya 50, HAMTAKI!!
HUU NI UPUUZI WA HALI YA JUU, sijajua ni kitu kipo ktk majaribio au ni mradi wa mtu kulazimisha vocha zake zinunuliwe, na kwa nini voda tu?

TUSIHARIBIANE BAJETI KWA KULAZIMISHANA KUNUNUA VOCHA ZA VODA.
Mimi nikajua Wewe ni mteule mwenye V8 yake, kumbe kapuku tu unaeshindana na walalahoi kupanda mwendokasi, dume zima unalilia, shubamit swain kabisa.
 
Tikisema vyuma vimebana mnatuona wqpiga dili sisi hamsini hatuna kazi nazo kumbe ccm ndo mnateseka mnajifanya kusifia utawala mmbovu kumbe ndani mnavuja damu...
Kwa hiyo unataka niwaachie 50, wamenisaidia kuitafuta??
 
Mimi nikajua Wewe ni mteule mwenye V8 yake, kumbe kapuku tu unaeshindana na walalahoi kupanda mwendokasi, dume zima unalilia, shubamit swain kabisa.
Hopeless kabisa, maisha yangu sio theatrical! Ni purely ya mtanzania wa kawaida. Kama wewe umezaliwa na silver spoon, good for you!! Kuupinga kwangu upinzani wa Dj na kumkubali kwangu JPM kusikutoe kwenye reli kufumbia macho yanayoonekana hayako sawa.
Up yours!
 
Na hata ukiwa na VodaCom sasa hicho 50 utakipeleka wapi jaman
 
....
....
Mimi kama situmii mtandao wa voda kwa nini mnanilazimisha nichukue hiyo vocha?? Cha ajabu nikiichukua na kesho kuja hapo hapo kituoni na shilingi 600 na hiyo vocha mliyonipa ya 50, HAMTAKI!!
HUU NI UPUUZI WA HALI YA JUU, sijajua ni kitu kipo ktk majaribio au ni mradi wa mtu kulazimisha vocha zake zinunuliwe, na kwa nini voda tu?

TUSIHARIBIANE BAJETI KWA KULAZIMISHANA KUNUNUA VOCHA ZA VODA.
Sio Upuuzi tu Mkuu,
Huu ni WIZI wa hali ya juu
 
Hahahahah kutetetea kote huko sisiemu hadi leo hujapata hela ya kumiliki hata vespa heheheh.inamaana umeshindwa kumeki buku sabasaba zako ili upate usafiri?.pole sana.
 
Yeah, mwendo kasi vituoni wanazo. 50, 100 ma 200.
Yaani zile hamsini hamsini tulizokuwa tunalalamika tunaziacha sababu "hawana" chenji sasa wanatupatia vocha ya 50 tena wametuchagulia na mtandao wa voda tu.
Hao jamaa vipi, voda ni mtandao wa taifa lazima kila mtu atumie?!
 
Jicho lako halioni mbele ya mipaka ya vyama vya siasa, umelaaniwa mpaka Yesu arudi ndio utaponywa.

Chama kimeshika hatamu na hatamu imeshikwa ma chama.

26.04.2018 IS A NATIONAL KEYBOARDS DAY, usisahau! Tell your friends to go tell their friends down the line.
Povu la kijani hili linakutoka puani na mdomoni.
 
Back
Top Bottom