Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kamwambie mwenyekiti wenuHabari zenu.
Kwa kweli nimeshangazwa sana ktk mabasi yaendayo haraka.
Inakuwaje nakupa pesa yangu ya kutaka kupata tiketi, mfano nakupa 1000Tshs, unatakiwa unirudishie 350Tshs sababu nauli ni 650Tshs, sasa unanipa "CHENJI" shilingi 300 na vocha ya VODA ya 50?
Nimeona wengine wanarudishiwa "CHENJI" ya vocha za voda 100 na 200 bila wao kukubali. Yaani hizo vocha zimegeuka pesa halali kwa kurudishiwa chenji.
Mimi kama situmii mtandao wa voda kwa nini mnanilazimisha nichukue hiyo vocha?? Cha ajabu nikiichukua na kesho kuja hapo hapo kituoni na shilingi 600 na hiyo vocha mliyonipa ya 50, HAMTAKI!!
HUU NI UPUUZI WA HALI YA JUU, sijajua ni kitu kipo ktk majaribio au ni mradi wa mtu kulazimisha vocha zake zinunuliwe, na kwa nini voda tu?
TUSIHARIBIANE BAJETI KWA KULAZIMISHANA KUNUNUA VOCHA ZA VODA.
Aliyekuambia voda ni kampuni ya Tanzania nani? Kupenda ndo ulazimishwe??Kwanini usitumie mtandao huo, vipende viwanda vya nyumbani, kama hutumii kampe mkeo au mmeo, watanzania tunao ndugu vijijini wanazihitaji hizo vocha, kawape.
Upo shamba wewe ungekua unakaa dar usingeropoka hivo...Sasa wewe Kama hautaki vocha ya Tsh.50 c uwe unaenda na pesa kamili. kwani tatizo liko wapi mkuu
Huko nyie si mpo busy na Kiringo banaKweli tuliopo huku zanzibar tunapitwa na mengi. Kumbe wenzetu bara mna vocha za 50 daaah
Mwenye picha ya hyo vocha tuione. Maana vocha ya 50 hakuna.Yeah, mwendo kasi vituoni wanazo. 50, 100 ma 200.
Yaani zile hamsini hamsini tulizokuwa tunalalamika tunaziacha sababu "hawana" chenji sasa wanatupatia vocha ya 50 tena wametuchagulia na mtandao wa voda tu.
SawaHuko nyie si mpo busy na Kiringo bana
Habari zenu.
Kwa kweli nimeshangazwa sana ktk mabasi yaendayo haraka.
Inakuwaje nakupa pesa yangu ya kutaka kupata tiketi, mfano nakupa 1000Tshs, unatakiwa unirudishie 350Tshs sababu nauli ni 650Tshs, sasa unanipa "CHENJI" shilingi 300 na vocha ya VODA ya 50?
Nimeona wengine wanarudishiwa "CHENJI" ya vocha za voda 100 na 200 bila wao kukubali. Yaani hizo vocha zimegeuka pesa halali kwa kurudishiwa chenji.
Mimi kama situmii mtandao wa voda kwa nini mnanilazimisha nichukue hiyo vocha?? Cha ajabu nikiichukua na kesho kuja hapo hapo kituoni na shilingi 600 na hiyo vocha mliyonipa ya 50, HAMTAKI!!
HUU NI UPUUZI WA HALI YA JUU, sijajua ni kitu kipo ktk majaribio au ni mradi wa mtu kulazimisha vocha zake zinunuliwe, na kwa nini voda tu?
TUSIHARIBIANE BAJETI KWA KULAZIMISHANA KUNUNUA VOCHA ZA VODA.
Kijana, baki kijijini, usije mjini!Mwenye picha ya hyo vocha tuione. Maana vocha ya 50 hakuna.
Akili ndogo haioni logic ya uzi huu.Kijana ya Lumumba analilia sh 50! Hali ni tete
Basi usiwaongopee watu kama huna hyo picha. iweke hapa kama ushahidi.Kijana, baki kijijini, usije mjini!
Nimesema vocha za 50, 100 na 200 zinapatikana ktk vituo vya mwendo kasi tu, huzipati ktk maduka ya vocha na sio kwamba wanauza, ni 'chenji' mbadala ya 50, 100 na 200.
Ndio,wanaume wa dar wana maisha magumu mpk voda imewapelekea vocha ya 50,hahahKuna vocha za sh 50?