KERO Mabasi ya Mwendokasi: Hili suala la mimi nakudai chenji wewe unanipa vocha ya VODA, kuna nini hapa?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kama wameamua kuturudisha kwene barter trade basi nao wakubali kuzipokea hizo vocha pale mtu anapokua na 600 na vocha ya 50, waache ushenzi chenji zinauzwa wakanunue pumbavu zao
 
Sasa vocha ya 50 nifanyie nn kwani kuna kifurushi cha sh 50...hiii nchi bana [emoji17] [emoji17]
 
Hizo ndiyo akili za watendaji wa serikali ya CCM.

Endelea kukata viuno kusherehekea chama kimeshika hatamu.
 
Mpka lina
Poleni mnaotumiaa mwendokasi bt fikisheni hili swala sehemu husikaa kwa msaaada zaidi
Ujue mpaka linafanyika limeanzia sehemu husika.hapo hakuna msaada zaidi ya kuzigomea hizo vocha
 
Ningemtoa miguu walahi
 
Hizo ndiyo akili za watendaji wa serikali ya CCM.

Endelea kukata viuno kusherehekea chama kimeshika hatamu.
Jicho lako halioni mbele ya mipaka ya vyama vya siasa, umelaaniwa mpaka Yesu arudi ndio utaponywa.

Chama kimeshika hatamu na hatamu imeshikwa ma chama.

26.04.2018 IS A NATIONAL KEYBOARDS DAY, usisahau! Tell your friends to go tell their friends down the line.
 
Kama vile yule nesi alivokamatwa anauza nguo hospitali basi naomba na hawa makonda akawakamate wanafanya biashara ya vocha mahala pa kazi...

Hapo kuna faida wanapata kwa sababu hizo vocha hawazichukui kwa bei kamili huko Voda.
Huenda hiyo ya 50 ikawa 45, ya 100 kwa 90 na 200 kwa 180 hivo kuna faida kubwa watakuwa wanapata..
 
Wonders shall never ends. .
Yani jamaa wame amua kuwawekea vocha ya 50?? Ndio mbadala wa chenji! !!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…