Mabasi ya utalii yatua Dar, mabilioni ya fedha yatengwa

Mabasi ya utalii yatua Dar, mabilioni ya fedha yatengwa

Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imepitisha Sh75 bilioni za bajeti kwa mwaka 2018/2019 huku kipaumbele kikiwekwa kwenye utalii.

View attachment 701231

Kati ya fedha hizo, Sh65 bilioni ni za maendeleo ambazo zitahusisha miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi Louis, madarasa na vibanda vidogo vya biashara eneo la Gongo la Mboto.

Ndani ya bajeti hiyo zimetengwa fedha kwa ajili ya kununua mabasi makubwa ya kitalii ambayo yatakuwa yakizunguka katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar es Salaam kuwazungusha watalii.

Meya wa jiji hilo, Isaya Mwita alisema tayari mabasi mawili yameshawasili na yanasubiriwa mengine ili biashara ya utalii ndani ya jiji ianze mapema iwezekanavyo.

“Nadhani madiwani kwa pamoja tumeona imefika wakati kuweka nguvu kubwa kwenye utalii katika jiji letu kama ilivyo katika miji mingine mikubwa barani Afrika mfano majirani zetu Mombasa na Lamu,” alisema.

Mjumbe wa baraza la madiwani la halmashauri hiyo na mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea alisema ni hatua kubwa kwa jiji na ilipaswa kuwa hivyo muda mrefu.

“Ukitembea katika nchi mbalimbali wenzetu wamezingatia mno suala la utalii wa ndani ya mji, naweza kusema tumechelewa ilitakiwa tufike huko muda mrefu ndiyo sababu suala hili lilipokuja kwetu tumeliridhia,” alisema.


Chanzo: Mwananchi


Huo mradi wa mabasi ya utalii ni biahsara kichaa na hayo mabasi yatakufa baada ya muda mfupi.

Tatizo la utalii kuwa mdogo Dar siyo kukosekana kwa mabasi, bali kukosekana kwa product ya utalii per se. Kama ingekuwepo hiuo product, usingekuta yale ma coster mazuri yanapaki bure pale biafra yakisubiri kupeleka misiba moshi.

Hauwezi uka force eti kitu kiwe cha kitalii kwa sababu tu umekula maharage sijui ya wapi. Halafu ukaleta miundo mbinu ya kulazimisha watu waende huko. Hii supply side strategy is bound to fail miserably.
 
Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imepitisha Sh75 bilioni za bajeti kwa mwaka 2018/2019 huku kipaumbele kikiwekwa kwenye utalii.

View attachment 701231

Kati ya fedha hizo, Sh65 bilioni ni za maendeleo ambazo zitahusisha miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi Louis, madarasa na vibanda vidogo vya biashara eneo la Gongo la Mboto.

Ndani ya bajeti hiyo zimetengwa fedha kwa ajili ya kununua mabasi makubwa ya kitalii ambayo yatakuwa yakizunguka katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar es Salaam kuwazungusha watalii.

Meya wa jiji hilo, Isaya Mwita alisema tayari mabasi mawili yameshawasili na yanasubiriwa mengine ili biashara ya utalii ndani ya jiji ianze mapema iwezekanavyo.

“Nadhani madiwani kwa pamoja tumeona imefika wakati kuweka nguvu kubwa kwenye utalii katika jiji letu kama ilivyo katika miji mingine mikubwa barani Afrika mfano majirani zetu Mombasa na Lamu,” alisema.

Mjumbe wa baraza la madiwani la halmashauri hiyo na mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea alisema ni hatua kubwa kwa jiji na ilipaswa kuwa hivyo muda mrefu.

“Ukitembea katika nchi mbalimbali wenzetu wamezingatia mno suala la utalii wa ndani ya mji, naweza kusema tumechelewa ilitakiwa tufike huko muda mrefu ndiyo sababu suala hili lilipokuja kwetu tumeliridhia,” alisema.


Chanzo: Mwananchi
Kitu mlichokosea Dar nikubomoa majumba ya kale yaliokuwa na historia za maana ambazo zingeingiza mabilioni ya $$$ mkakimbilia kuyabomoa nakujenga magorofa ya vioo na frames za maduka! Kijiji cha makumbusho ni very fake hakiuziki kirahisi! Storm brains zinahitajika ku plan kuhusu utalii hapo Dar. Nitafuteni nitawashauri bure
 
sina matatizo kama mmeamua hivyo kununua hayo mabasi,ila naomba kuuliza hakuna vitu ambavyo ni important kushinda hayo mabasi?
 
Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imepitisha Sh75 bilioni za bajeti kwa mwaka 2018/2019 huku kipaumbele kikiwekwa kwenye utalii.

View attachment 701231

Kati ya fedha hizo, Sh65 bilioni ni za maendeleo ambazo zitahusisha miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi Louis, madarasa na vibanda vidogo vya biashara eneo la Gongo la Mboto.

Ndani ya bajeti hiyo zimetengwa fedha kwa ajili ya kununua mabasi makubwa ya kitalii ambayo yatakuwa yakizunguka katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar es Salaam kuwazungusha watalii.

Meya wa jiji hilo, Isaya Mwita alisema tayari mabasi mawili yameshawasili na yanasubiriwa mengine ili biashara ya utalii ndani ya jiji ianze mapema iwezekanavyo.

“Nadhani madiwani kwa pamoja tumeona imefika wakati kuweka nguvu kubwa kwenye utalii katika jiji letu kama ilivyo katika miji mingine mikubwa barani Afrika mfano majirani zetu Mombasa na Lamu,” alisema.

Mjumbe wa baraza la madiwani la halmashauri hiyo na mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea alisema ni hatua kubwa kwa jiji na ilipaswa kuwa hivyo muda mrefu.

“Ukitembea katika nchi mbalimbali wenzetu wamezingatia mno suala la utalii wa ndani ya mji, naweza kusema tumechelewa ilitakiwa tufike huko muda mrefu ndiyo sababu suala hili lilipokuja kwetu tumeliridhia,” alisema.


Chanzo: Mwananchi
Nadhani haya mabasi yatatembezwa Kawe ukwamani,Mwananyamala kwa kopa, buguruni mnyamani, tandika Sokoni Tandale kwa mtogole mazense Uwanja wa fisi na mbagala mbande
 
siungi mkono.
wajenge vituo vya afya kwanza
waimatishe elimu na miundo mbinu yake
wajenge masoko makubwa na ya kisasa.
wajenge vituo vya michezo ikiwezekana kila kata kama kile cha jk na pia vya sanaa ili kukuza vipaji vya ngoma na mziki.
nk
Mku wanatunisha Miradi ya kuingiza fedha ya harakaharaka
kwanza then ninaamini hayo yote ndiyo malengo yao
 
Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imepitisha Sh75 bilioni za bajeti kwa mwaka 2018/2019 huku kipaumbele kikiwekwa kwenye utalii.

View attachment 701231

Kati ya fedha hizo, Sh65 bilioni ni za maendeleo ambazo zitahusisha miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi Louis, madarasa na vibanda vidogo vya biashara eneo la Gongo la Mboto.

Ndani ya bajeti hiyo zimetengwa fedha kwa ajili ya kununua mabasi makubwa ya kitalii ambayo yatakuwa yakizunguka katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar es Salaam kuwazungusha watalii.

Meya wa jiji hilo, Isaya Mwita alisema tayari mabasi mawili yameshawasili na yanasubiriwa mengine ili biashara ya utalii ndani ya jiji ianze mapema iwezekanavyo.

“Nadhani madiwani kwa pamoja tumeona imefika wakati kuweka nguvu kubwa kwenye utalii katika jiji letu kama ilivyo katika miji mingine mikubwa barani Afrika mfano majirani zetu Mombasa na Lamu,” alisema.

Mjumbe wa baraza la madiwani la halmashauri hiyo na mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea alisema ni hatua kubwa kwa jiji na ilipaswa kuwa hivyo muda mrefu.

“Ukitembea katika nchi mbalimbali wenzetu wamezingatia mno suala la utalii wa ndani ya mji, naweza kusema tumechelewa ilitakiwa tufike huko muda mrefu ndiyo sababu suala hili lilipokuja kwetu tumeliridhia,” alisema.


Chanzo: Mwananchi
DAB ataingilia kati kuvuruga hili au kuta ionekane yeye ndio yuko ontop
 
Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imepitisha Sh75 bilioni za bajeti kwa mwaka 2018/2019 huku kipaumbele kikiwekwa kwenye utalii.

View attachment 701231

Kati ya fedha hizo, Sh65 bilioni ni za maendeleo ambazo zitahusisha miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi Louis, madarasa na vibanda vidogo vya biashara eneo la Gongo la Mboto.

Ndani ya bajeti hiyo zimetengwa fedha kwa ajili ya kununua mabasi makubwa ya kitalii ambayo yatakuwa yakizunguka katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar es Salaam kuwazungusha watalii.

Meya wa jiji hilo, Isaya Mwita alisema tayari mabasi mawili yameshawasili na yanasubiriwa mengine ili biashara ya utalii ndani ya jiji ianze mapema iwezekanavyo.

“Nadhani madiwani kwa pamoja tumeona imefika wakati kuweka nguvu kubwa kwenye utalii katika jiji letu kama ilivyo katika miji mingine mikubwa barani Afrika mfano majirani zetu Mombasa na Lamu,” alisema.

Mjumbe wa baraza la madiwani la halmashauri hiyo na mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea alisema ni hatua kubwa kwa jiji na ilipaswa kuwa hivyo muda mrefu.

“Ukitembea katika nchi mbalimbali wenzetu wamezingatia mno suala la utalii wa ndani ya mji, naweza kusema tumechelewa ilitakiwa tufike huko muda mrefu ndiyo sababu suala hili lilipokuja kwetu tumeliridhia,” alisema.


Chanzo: Mwananchi

MI naujua Utalii, Hapa they will surely fail... labda ingefanywa na mtu binafsi! watch
 
Mku wanatunisha Miradi ya kuingiza fedha ya harakaharaka
kwanza then ninaamini hayo yote ndiyo malengo yao

Huo ndiuo ukweli ni upuzi kwenda kununua mibasi china hela yote inaishia china, wakatio wageweza kufanya ubunifu hela yote ikabaki hapa dar.
 
Copy and Paste at its best. Another tax payer money thrown down the drain!
 
Huo ndiuo ukweli ni upuzi kwenda kununua mibasi china hela yote inaishia china, wakatio wageweza kufanya ubunifu hela yote ikabaki hapa dar.
Walibuni mradi tena wa msaada kuletewa mashine ya kuchakata takataka lakini hilo figusu walilopigwa ww fuatilua utajua nini kilikwamisha
 
Kwahiyo hao watalii huko kwao walikotoka hakuna majiji mpaka waje kulishangaa la Dar?! Labda itakuwa ni kuzunguka kushuhudia uchafu na ubovu wa miundombinu.
 
Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imepitisha Sh75 bilioni za bajeti kwa mwaka 2018/2019 huku kipaumbele kikiwekwa kwenye utalii.

View attachment 701231

Kati ya fedha hizo, Sh65 bilioni ni za maendeleo ambazo zitahusisha miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi Louis, madarasa na vibanda vidogo vya biashara eneo la Gongo la Mboto.

Ndani ya bajeti hiyo zimetengwa fedha kwa ajili ya kununua mabasi makubwa ya kitalii ambayo yatakuwa yakizunguka katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar es Salaam kuwazungusha watalii.

Meya wa jiji hilo, Isaya Mwita alisema tayari mabasi mawili yameshawasili na yanasubiriwa mengine ili biashara ya utalii ndani ya jiji ianze mapema iwezekanavyo.

“Nadhani madiwani kwa pamoja tumeona imefika wakati kuweka nguvu kubwa kwenye utalii katika jiji letu kama ilivyo katika miji mingine mikubwa barani Afrika mfano majirani zetu Mombasa na Lamu,” alisema.

Mjumbe wa baraza la madiwani la halmashauri hiyo na mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea alisema ni hatua kubwa kwa jiji na ilipaswa kuwa hivyo muda mrefu.

“Ukitembea katika nchi mbalimbali wenzetu wamezingatia mno suala la utalii wa ndani ya mji, naweza kusema tumechelewa ilitakiwa tufike huko muda mrefu ndiyo sababu suala hili lilipokuja kwetu tumeliridhia,” alisema.


Chanzo: Mwananchi
heading MAGARI YA UTALII YATUA DAR content Fedha metengwa?? duh
 
Hivi chadema muna akili timamu kweli? Hili ndo mumeona la maana? Huko mwananyamala temeke na ilala hospital kuna vifaa tiba? Hizi pesa simungejenga mawodi ya kujifungulia wajawazito ya kisasa yenye CT scan na MRI za kisasa, simgepeleka madaktari wa upasuaji nje ya nchi kujifunza mbinu za kisasa! Haya mambo ya hovyo sijui yataisha lini hii nchi?
 
Walibuni mradi tena wa msaada kuletewa mashine ya kuchakata takataka lakini hilo figusu walilopigwa ww fuatilua utajua nini kilikwamisha

naujua huo mradi vizuri sana, kilichowauma ni kuwa msaada ulitoka german kwa chama rafiki cha CDM.
 
naujua huo mradi vizuri sana, kilichowauma ni kuwa msaada ulitoka german kwa chama rafiki cha CDM.
Mfano angalia chama changu kinakokosea yaani zimetolewa fedha za mkopo kwa kila wilaya hapa jijini wanaopewa ni makada tuu vyama pinzani hawapewi sasa utawashawishi vipi ili wakuchague kwa ubaguzi wa aina hii.
Watu hawajajiandaa kwa miradi yoyote unampa mkopo alafu utegemee uurudisha huo mkopo kweli japokuwa hauna riba
 
Video : Jiji letu la Dar-es-Salaam ni sehemu nzuri kwa utalii
Jiji la Dar es Salaam (1857-2018) lenye utajiri na urithi wa kitamaduni, historia, burudani, utalii, makumbusho, Pan africanism na shughuli nyingi za kiuchumi na kibiashara endelea kutazama video hii

Source: Salum Hamisi
c.c real G , Moderator ongezea ktk ufunguzi wa uzi
 
Magufuli kaanza kuwapa akili na wameanza kuzungumza maendeleo badala ya Siasa....
Ni jambo zuri ikiwa lilikuwepo kwenye mipango ya JJ la Dar!
Napenda kujua mradi huo wa mabasi unamilikiwa na nani?
 
Back
Top Bottom