"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

Great ...we have to work hard...
 
Mkuu naona kumbukumbu zako ni dhaifu sana
Mwembe Chai killings happened 1998 and you know who was president
Mzee Ruksa ilikua ni wakati mababda ya kiti moto yalivyo vunjwa Hakuna damu ya Binadamu iliyomwagika
Kuhusu masheikh wa uamsho walikamatwa na SMZ na wakapelekwa Tanganyika wakati wa Jakaya na kesi zao zilikua zinasikilizwa mahakamani
Ilikua imebakia hukumu akaingia madarakani huyu ######
Kuanzia aingie Hakuna kufikishwa mahakamani tena
Nasikitika sana muandishi muandamizi anasahanu Mambo ya juzi juzi.... Je unaweza kukumbuka Mambo yaliotokea stone ages uliofundishwa shuleni?
Ndio maana mzee Ruksa mpaka Leo anakaa kwenye vijiwe vya kahawa bila body guard
Na Jakaya anafanya jodging uwanjani peke yake
Kama sio chuki za kidini masheikh wa uamsho siku nyingi wangehukumiwa mahakamani lakini ### anatuchukia sana...

Baada ya mapinduzi kweli palitokea machafuko kama vile nchi zingine za kimapinduzi lakini tulikuwa hatunyanyasiki kama sasa
 
Wanaonewa wengi bila kujali dini yao, usijielekeze kwenye dini ambayo ni easier defence, tafuta angle nyingine uiegemee.
But as Zanzibarian I am trying to ask myself why Jakaya was a president for 10 years hatukuzika hata paka Mwinyi as well
Why mkapa and Magufuli?
Hizi pair mbili zinatofautiana nini?
Jibu unalo
 
Mku ww umeelewaje labda unieleweshe.
Kwani hata Prof Kabudi aliitolea kauli sijui ww unamaanisha nini.
Asante siku njema
Huyu Mzee Kabudi watamuua kwa stress watu wanatoa makauli ya ajabu yeye akasafishe mess zao yaani toka aingie madarakani hicho cheo cha uwaziri yeye kazi yake ni kujitetea kama ni mechi ya mpira kapaki basi, na hii miaka 5 inaponekana kazi itakuwa ni kujitetea maana ahata akiweka kitu sawa kesho analipuka mtu anaropoka huku karekodiwa, imagine kama ile kauli ya Kheri James kule Arusha kuhusu Lissy kuchomwa sidano kwamba safari hii hatutakosea, za mapolisi, kama OCD wa Hai... jamani nyieee dah
 
Hahahhahaa. Hivi wewe unajuwa hata kinachoendelea ulimwenguni kweli zaidi ya kufahamu kuwa Magufuli Ni RaisπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mku mlinzi wa dunia afunge nini.
Kumbuka kauli aliyoitoa baada Malim Seif kukamatwa na Police nini kilitokea baada ya balozi kutoa Kauli.
Hata kwa akina Mbowe maana walishapewa tuhuma za ugaidi hadi TBC nilimuona mambosasa akisema walipanga kulipua petrol stations akiwa jamaa anasema ana ushahidi ghafla wakapewa dhamana halafu kimya, nilishangaa sana kesi ya ugaidi watu wanapewa dhamana kumbe mkwara wa beberu balozi alisema lazima waachiwe
 
Sisi raia tumwombe Mungu atunusuru lolote kutoka kwa wenye dunia yao.
 
Wazungu sio watu wazuri... usipoendana na tune yao... lazma wakubadilikie.... Kama ulimsikia gwajima Jana bungeni, utakuwa umenielewa.
 
Kwanini msimfukuze kabisa?
Mku siku zote mbabe huwa anafanya jambo kama hayuko siriazi nalo ili ujikwae kwake ili apate fimbo ya kukuchapia vizuri.
Zamani huku kitaa kuna wale watu walioshindikana kama akikutafuta kwa njia zozote kwa uchokozi mwisho anajikwa miguuni makusudi ili aonge apate njia ya kumwadhibu.
Kwa hiyo usitegemee mlinzi wa dunia afunge ubalozi.
Bezi ya jeshi la marekani kwa afrika unajua liliko Nyambizi zao zipo kila duniani kote hizo zote zinalinda dunia.
Kuna watu walikuwa wanateka meli unajua waliishia wapi
 
I think for the past five years this has been the talk. The worse is over. Investment will need the government to show and appreciate the contribution of the investors. Siasa hazina msaada kwenye hilo. China kusingekuwa na investment
Have you then questioned your brain why such investment directed and happened in China but not Cameron, Togo or Guatemala? Yes, all are equal but SOME are more equal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…