Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR

Hakika
 
Kwahiyo kuvaa mini skirt kwako ndio ubora kuliko anayevaa dera
 
Kuna mtu kafungulia redio yake ndogo anasikiliza kwenye train hana wasiwasi SGR ikiianza kwenda mwanza na kigoma wasipoweka standard itakuwa shida.
 
Hii ya kufungulia video au music bila eaphones ilinikuta siku moja.
Nimepanda zangu bus luxury..kijana kakaa nyuma yangu anasikiliza music wake kwa sauti ya juu. Kumbuka hapo kuna Tvs zipo on.

Nilivumilia uzalendo ukanishinda maana niliona kichwa kinadata kwa makelele mchanganyiko.
Nikamwita yule dada konda nikamwambia huyo mtu hapo nyuma anapiga kelele either azime mziki wake au avae eaphones. Nilikereka sana..
 
Huo mfuko ukijazwa sawasawa, ni ngumu kuuweka kwenye 'keria' ya ndani ile...

Pili, huu ni mfuko kwa ajili ya lumbesa, huenda imeamriwa hivyo ili kudhibiti usafirishaji wa vitu kama vyakula pasipo kuvifunga vizuri...

 
Huo mfuko ukijazwa sawasawa, ni ngumu kuuweka kwenye 'keria' ya ndani ile...

Pili, huu ni mfuko kwa ajili ya lumbesa, huenda imeamriwa hivyo ili kudhibiti usafirishaji wa vitu kama vyakula pasipo kuvifunga vizuri...
Watu hawaijui SHANGAZI KAJA IKIJAA. Kuna watu nimesoma wanasema mbona ndege wanaruhusu. Hawajui mabegi makubwa kwenye ndege yanawekwa sehemu ya chini huko na bag moja halitakiwi kuzidi 30kg. La kuingia nalo kwenye cabin ni 10kg only. Sasa hio treni haina sehemu ya mizigo kama ndege. Imagine kila mtu aingie na begi lake kubwa huko itakuwaje? Wengine waingie na kuku mbuzi viroba vya mahindi au viroba vya mihogo si balaa hio
 
Aaah bwana weh! Watuletee lenye kubeba shangazi kaja zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…