Tena wanataka kupiga marufuku kuongea kilugha kwenye sgr ni kizungu tuBahati yao; tungejaza magimbi na ndizi huko hadi watukome. Afu wengine hatuna hela za bags; tunatia nguo kwa aunt come: tunasepa zetu. Not fair
Mkuu Kimbinyiko na ABC bado zipo hazijapigwa marufuku.Mtu utapokelewa nini na wenyeji wako hapo DSM, tulishazoea kubeba kuku, bata, mahindi mabichi, mchele, maharage, maboga, kisamvu, samaki wakavu n.k. Hii sasa imeshakuwa ngumu kwa kweli.
Kwendeni zenu huko. Mli na matingo fijoTena wanataka kupiga marufuku kuongea kilugha kwenye sgr ni kizungu tu
HakikaLazima kuwe na standard, wamechelewa tu, wangepiga marufuku watu kuvaa madela, ndala na kuongea ongea hovyo
Kuna watu hawana ustaarabu kabisa, unalikuta jitu kubwa jinga linaongea na simu kwa sauti kama vile linatoa muhadhara au linafungulia ma-video bila ya kuvaa earphones, ushamba ni mwingi sana Tanzania
Lini nawe umekuwa msukuma au kututega wasukima aiiiiWasukuma tutateseka sana 😔
Hapo hakuna namna, ngoja tuendelee na saizi zetu tu.Mkuu Kimbinyiko na ABC bado zipo hazijapigwa marufuku.
Wamisha kinehe buraza.....Lini nawe umekuwa msukuma au kututega wasukima aiiii
Kwahiyo kuvaa mini skirt kwako ndio ubora kuliko anayevaa deraLazima kuwe na standard, wamechelewa tu, wangepiga marufuku watu kuvaa madela, ndala na kuongea ongea hovyo
Kuna watu hawana ustaarabu kabisa, unalikuta jitu kubwa jinga linaongea na simu kwa sauti kama vile linatoa muhadhara au linafungulia ma-video bila ya kuvaa earphones, ushamba ni mwingi sana Tanzania
Noop nimesafiri na wasukuma wiki mbili mfululizo Mwanza mbeya Na same root two time hawa wajumbe wamepiga hatua Sana mambo ya kubeba zawadi,shida nyingine please hii imeisha.Wasukuma tutateseka sana 😔
Dar mpaka Morogoro unakula ili iweje? Yani safari ya saa 2 tu unataka ule ule hovyo tu?Tumeanza unyanyapaa mapema mno.
Imagine hata mihogo,mahindi ya kuchemsha na viazi mmekataa tusipande navyo???mnataka tufe njaa jamani,mtu bila kula anaishije???
View attachment 3038625
Na Wanyakyusa nao watateseka.Wasukuma tutateseka sana 😔
Mkuu katazo halijazingatia umbali,limetoka moja kwa moja.Dar mpaka Morogoro unakula ili iweje? Yani safari ya saa 2 tu unataka ule ule hovyo tu?
Hii ya kufungulia video au music bila eaphones ilinikuta siku moja.Lazima kuwe na standard, wamechelewa tu, wangepiga marufuku watu kuvaa madela, ndala na kuongea ongea hovyo
Kuna watu hawana ustaarabu kabisa, unalikuta jitu kubwa jinga linaongea na simu kwa sauti kama vile linatoa muhadhara au linafungulia ma-video bila ya kuvaa earphones, ushamba ni mwingi sana Tanzania
Upande wa wanyama naelewa, ila hapa kwenye shangazi kaja haijaingia akilini kabisa! Kwamba anayetumia begi/mfuko wa shangazi kaja, huo mfuko unahesabika kama silaha? Au mtu akibeba shangazi kaja anakuwa halipi nauli? Yeye siyo mlipa kodi ambaye pesa yake imechangia kwenye kukamilisha ujenzi wa mradi huu? Au yeye ndio hana hadhi ya kutumia usafiri huu?
===
Wazee wa kubeba zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki hii ni ya kwenu, hasa kwa wale mnatumia mabegi/mifuko hii ya shangazi kaja.
Kati ya vitu vilivyopigwa marufuku kwenye usafiri wa treni ya umeme (SGR) ni mabegi ya shangazi kaja, wanyama wakiwemo wa kufungwa (wazee wa kuagiza kitoweo tumefikiwa), mifuko ya plastiki, silaha, chakula, vinywaji, ndoo na mapipa pamoja na mizigo inayozidi kilo 30.
Kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), kila kinachofanyika kinalenga kulinda usalama wa abiria, kadhalika viwango vya ubora wa treni na huduma kwa ujumla.
Kwa sasa treni hiyo tangu ilipoanza kutoa huduma wiki tatu zilizopita, inafanya safari za kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro na kwamba kufikia Julai 25, mwaka huu safari zitaongezwa hadi Dodoma.
Mwananchi
Siyo Wasukuma tu, na Waha!Wasukuma tutateseka sana 😔
Watu hawaijui SHANGAZI KAJA IKIJAA. Kuna watu nimesoma wanasema mbona ndege wanaruhusu. Hawajui mabegi makubwa kwenye ndege yanawekwa sehemu ya chini huko na bag moja halitakiwi kuzidi 30kg. La kuingia nalo kwenye cabin ni 10kg only. Sasa hio treni haina sehemu ya mizigo kama ndege. Imagine kila mtu aingie na begi lake kubwa huko itakuwaje? Wengine waingie na kuku mbuzi viroba vya mahindi au viroba vya mihogo si balaa hioHuo mfuko ukijazwa sawasawa, ni ngumu kuuweka kwenye 'keria' ya ndani ile...
Pili, huu ni mfuko kwa ajili ya lumbesa, huenda imeamriwa hivyo ili kudhibiti usafirishaji wa vitu kama vyakula pasipo kuvifunga vizuri...
🤣🤣🤣🤣Si ndiyo hapo sasa. Ila kama niliona super sokoni vile au nilikuwa nimefurugwa?🤣🤣
Aaah bwana weh! Watuletee lenye kubeba shangazi kaja zetu.Watu hawaijui SHANGAZI KAJA IKIJAA. Kuna watu nimesoma wanasema mbona ndege wanaruhusu. Hawajui mabegi makubwa kwenye ndege yanawekwa sehemu ya chini huko na bag moja halitakiwi kuzidi 30kg. La kuingia nalo kwenye cabin ni 10kg only. Sasa hio treni haina sehemu ya mizigo kama ndege. Imagine kila mtu aingie na begi lake kubwa huko itakuwaje? Wengine waingie na kuku mbuzi viroba vya mahindi au viroba vya mihogo si balaa hio
Lipo lile la reli ya kati linafika hadi Kigoma.Aaah bwana weh! Watuletee lenye kubeba shangazi kaja zetu.