Mabingwa wa Afrika Wydad Casablanca watuma ofa Simba SC

Mabingwa wa Afrika Wydad Casablanca watuma ofa Simba SC

Mie naona km pesa inalipa wamuuze afu tutafute wachezaji wenginee, pia waangalie mchezaji mwenyewe anatakaje. Huku maslahi yakiwa kipaumbelee zaidi.

Simba ni daraja la mafanikio ya mtu.
Good idea... umetoa options mbili nzuri kabisa..
 
Iliyotoa offer ya Dola laki 8 ni Ile Wydad ya Matombo Morogolo.
 
Auzwe tu maana Sakho kuna muda anaweza igharimu timu kwa uchoyo au vile vibaiskeli vyake vya kutaka asepe na kijiji
Mpira hautabiriki na madili kama haya huwa hayaji mara mbili, kama vipi auzwe...
 
Bora aisee Mo anarudisha hasara aliyopata.
Kama Sakho akiuzwa hapo ni sawa Simba SC imeshafika robo fainali klabu bingwa Afrika, bado tena wakipambana uwanjani wafike robo fainali wanapata bilioni 1.5, ukijumlisha hapo Simba inaingiza bilioni 3 faster..

Nyienasubiri mikataba ya NBC tu, ndio maana hata pale Uturuki pamewashinda..
 
Taarifa nilizozipata muda huu zinasema mabingwa wa Afrika, Wydad Casablanca, wametuma ofa ya dola laki nane za kimarekani [bilioni 1.8 za kitanzania] ili wamnase Pape O. Sakho raia wa Senegal.

Hali ya mambo inaonekana kuwavuruga mabosi wa Simba SC, huku wengine wakitaka asiuzwe, na wengine wakisema auzwe.

Wale wanaotaka asiuzwe wanakuja na hoja kwamba, kwa umri mdogo wa Sakho, miaka 25, bado ana muda wa kutosha kuongezewa mkataba na Simba SC, ili kama wakija kumuuza mbele ya safari wamuuze kwa bei kubwa zaidi.

Wengine wakisema, dili kama hili haliji kila wakati, hivyo wameishauri klabu ya Simba SC wasirembe, wabebe huo mzigo wa waarabu "faster" wakautumie kuimarisha kikosi kwenye maeneo mengine.

Vipi wewe mdau wa JF, Pape O. Sakho, mshindi wa goli bora la mwaka CAF, auzwe au asiuzwe?
Mkuu hizo herufi mbili za mwanzo kwenye jina lako huwa zinanichanganya na yule jamaa wa Utopolo yaani..
 
Biashara mzuri..supu inakunywa ikiwa ya moto..
 
Kama Sakho akiuzwa hapo ni sawa Simba SC imeshafika robo fainali klabu bingwa Afrika, bado tena wakipambana uwanjani wafike robo fainali wanapata bilioni 1.5, ukijumlisha hapo Simba inaingiza bilioni 3 faster..

Nyienasubiri mikataba ya NBC tu, ndio maana hata pale Uturuki pamewashinda..
Mo anajilipa hasara alizopata
 
Pamoja na yote, unaweza kataa huo mzigo waliouweka mezani?
Tuangalie kwanza malengo yetu. Tuliuza Kondeboy na Chama kwa tamaa ya hela matokeo yake si unaona tulivyopoteza focus. Hawa wana agenda ya siri, wanataka waendelee ku dominate soka la Africa sasa kwa vile ni matajiri wanaweza kuchukua mchezaji yoyote toka huku kwetu hata kama hawamuhitaji kivile. Mfano hai ni huyu Kondeboy. Waarabu wana hila sana.
 
Back
Top Bottom