cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachezaji wameonesha kiwango, wanatakiwa na club za mbeleee, why wasiende? Kila mtu anatafuta mafanikio.Mabingwa pesa inakataje sasa?
Mo ndiyo pesa imekata ndiyomaana anauza wachezaji wote wa gharama kubwa.
Na sio Sakho tyuuh hadi Kanoute pia. Simba ni chuo cha mpira wa miguu Tanzania, bm3 alishasema, tatizo yeye kadisco.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Byuti byuti.