Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Wamlipe kwanza msuva Bilion zake ndo waje mezani, wazurumaji sana hawa warabu
Waafrika wasiende kwenye hiyo timu
hiyo bei kama imefikiwa auzwe mara moja,Sakho ni upepo tu hana chemistry simbaAuzwe then watuletee Konde boy wetu
Ndio hao hao mbwa
Good idea... umetoa options mbili nzuri kabisa..Mie naona km pesa inalipa wamuuze afu tutafute wachezaji wenginee, pia waangalie mchezaji mwenyewe anatakaje. Huku maslahi yakiwa kipaumbelee zaidi.
Simba ni daraja la mafanikio ya mtu.
Kama Sakho akiuzwa hapo ni sawa Simba SC imeshafika robo fainali klabu bingwa Afrika, bado tena wakipambana uwanjani wafike robo fainali wanapata bilioni 1.5, ukijumlisha hapo Simba inaingiza bilioni 3 faster..Bora aisee Mo anarudisha hasara aliyopata.
Mkuu hizo herufi mbili za mwanzo kwenye jina lako huwa zinanichanganya na yule jamaa wa Utopolo yaani..Taarifa nilizozipata muda huu zinasema mabingwa wa Afrika, Wydad Casablanca, wametuma ofa ya dola laki nane za kimarekani [bilioni 1.8 za kitanzania] ili wamnase Pape O. Sakho raia wa Senegal.
Hali ya mambo inaonekana kuwavuruga mabosi wa Simba SC, huku wengine wakitaka asiuzwe, na wengine wakisema auzwe.
Wale wanaotaka asiuzwe wanakuja na hoja kwamba, kwa umri mdogo wa Sakho, miaka 25, bado ana muda wa kutosha kuongezewa mkataba na Simba SC, ili kama wakija kumuuza mbele ya safari wamuuze kwa bei kubwa zaidi.
Wengine wakisema, dili kama hili haliji kila wakati, hivyo wameishauri klabu ya Simba SC wasirembe, wabebe huo mzigo wa waarabu "faster" wakautumie kuimarisha kikosi kwenye maeneo mengine.
Vipi wewe mdau wa JF, Pape O. Sakho, mshindi wa goli bora la mwaka CAF, auzwe au asiuzwe?
Kwamba akirudi ndo atakuwa mkali?Auzwe then watuletee Konde boy wetu
Umesikiliza na upande wa pili?Wydad ni washenzi fulani hivi kitendo walichomfanyia Msuva nimewachukia sana. Hao nia yao ni kuvunja nguvu vilabu vya huku kwetu
Mo anajilipa hasara alizopataKama Sakho akiuzwa hapo ni sawa Simba SC imeshafika robo fainali klabu bingwa Afrika, bado tena wakipambana uwanjani wafike robo fainali wanapata bilioni 1.5, ukijumlisha hapo Simba inaingiza bilioni 3 faster..
Nyienasubiri mikataba ya NBC tu, ndio maana hata pale Uturuki pamewashinda..
Gsm hajazira[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] GSM yake atauzaa nani ili arudishe hasara yake?? Yacouba mkopo kwa Geita FC??
Byuti byuti.
Tuangalie kwanza malengo yetu. Tuliuza Kondeboy na Chama kwa tamaa ya hela matokeo yake si unaona tulivyopoteza focus. Hawa wana agenda ya siri, wanataka waendelee ku dominate soka la Africa sasa kwa vile ni matajiri wanaweza kuchukua mchezaji yoyote toka huku kwetu hata kama hawamuhitaji kivile. Mfano hai ni huyu Kondeboy. Waarabu wana hila sana.Pamoja na yote, unaweza kataa huo mzigo waliouweka mezani?