Mabingwa wa kutunga nyuzi za uongo uongo

Hivi kuna mtu anakuzidi wewe kwa chai humu.?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nikisoma uzi nikiona ni ww naendelea na mambo mengine najua fix tyuuu hapa..!!!
ha ha ha pata balimi kwa hisani ya mkoba wako
 
Nilidhani umetaja angalau mmoja
 

JF
 
Yeye kakutaja wewe hajagusia wazazi wako๐Ÿค”๐Ÿค”mtukane yy mfate PM toa gesi yote kifuani ila usifike kwa wazazi, wazazi wake ni wazazi wako jaribu kuweka mipaka bro kwa wazaz unafika mbali mazeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ