Mabingwa wa kutunga nyuzi za uongo uongo

Mabingwa wa kutunga nyuzi za uongo uongo

Wakuu habari?

Natumaini wote mko wazima huku mkijiandaa kusherehekea ufufuko wa bwana.

Humu ndani kuna mabingwa wa kutunga nyuzi za uongo uongo; ukisoma mstari wa kwanza mpaka wa mwisho, unakuta hakuna uhalisia wowote.

Ebu tuwataje hawa mabingwa, ikiwezekana wapate pepsi kwa gharama ya mifuko yao.

Nipo pale, napata gahawa.

Twende kazi :CarltonPls:
Nilidhani umetaja angalau mmoja
 
Wakuu habari?

Natumaini wote mko wazima huku mkijiandaa kusherehekea ufufuko wa bwana.

Humu ndani kuna mabingwa wa kutunga nyuzi za uongo uongo; ukisoma mstari wa kwanza mpaka wa mwisho, unakuta hakuna uhalisia wowote.

Ebu tuwataje hawa mabingwa, ikiwezekana wapate pepsi kwa gharama ya mifuko yao.

Nipo pale, napata gahawa.

Twende kazi​

JF
432778923_7244931658935978_6406116063775789920_n.jpg

 
Mzee mi Nita fanya Ninacho ona sawa, I do shit kwa mtu as long kashindwa kuji heshimu.

Kisa kumuambia asi nizoee, ndo ana Anza kuni taja taja kila saa.halafu mbona hata Ile siku kaongea ila Nika vunga, these time acha niende kwa style yake.

Akiona katumia Sana, tukutane location ya live live hata saa hii,
Yeye kakutaja wewe hajagusia wazazi wako🤔🤔mtukane yy mfate PM toa gesi yote kifuani ila usifike kwa wazazi, wazazi wake ni wazazi wako jaribu kuweka mipaka bro kwa wazaz unafika mbali mazeee
 
Back
Top Bottom