Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Hahah jua bado halijazama bado kabisa nakataa [emoji28][emoji28]
At that age nakumbuka bf wangu aliniomba sana nimzalie na nilikataa mpaka ukawa ugomvi baada ya kama miezi miwili akampa mimba dada mwingine nimekuja kujua mtoto ana miezi minne ndio tukaachana na dada mpaka leo hajaolewa na mwanaume ananisumbua mpaka kesho turudiane aisee wanaume akili zenu mnazijua wenyewe kwaio I could have been a single mama pia
Namshukuru Mungu sana ever since huwa najiuliza mwanaume akitaka nimzalie so I fit to be a baby mama and not a wife!?kwaio sijawahi kuwaza hivyo kabisa

Wanaume ni viumbe wenye simplicity tofauti na nyie wanawake.

Mbona huyo EX-BF wako anaeleweka kabisa anahitaji nini kutoka kwako, jamaa anakuelewa since kitambo, yaani wewe ndio chaguo lake na anapenda familia yake aitengeneze na wewe.

Kitendo tu cha yeye kudate na mtu wa pembeni hdi kufikia hatua ya kumzalisha pasipo wewe kufahamu kinaonesha jinsi gani jamaa alikuwa anakuheshimu.

Na siku zote wanaume kwenye suala zima la mahusiano tunawaheshimu wanawake waliopo ndani ya mioyo yetu.

Yaani pamoja na kupata mtoto kutoka kwa mwanamke mwingine lakini bado jamaa anajisogeza sogeza kwako, haloo huyo jamaa anakuelewa mbayaaa!!❣️!!

Acha roho mbaya Brenda, usimtese mtoto wa mwanamke mwenzio!! fungua moyo wako kwa kijana wa watu. Wewe kwake utakuwa ni zaidi ya baby mama nakuhakikishia.
 
Wanaume ni viumbe wenye simplicity tofauti na nyie wanawake.

Mbona huyo EX-BF wako anaeleweka kabisa anahitaji nini kutoka kwako, jamaa anakuelewa since kitambo, yaani wewe ndio chaguo lake na anapenda familia yake aitengeneze na wewe.

Kitendo tu cha yeye kudate na mtu wa pembeni hdi kufikia hatua ya kumzalisha pasipo wewe kufahamu kinaonesha jinsi gani jamaa alikuwa anakuheshimu.

Na siku zote wanaume kwenye suala zima la mahusiano tunawaheshimu wanawake waliopo ndani ya mioyo yetu.

Yaani pamoja na kupata mtoto kutoka kwa mwanamke mwingine lakini bado jamaa anajisogeza sogeza kwako, haloo huyo jamaa anakuelewa mbayaaa!!❣️!!

Acha roho mbaya Brenda, usimtese mtoto wa mwanamke mwenzio!! fungua moyo wako kwa kijana wa watu. Wewe kwake utakuwa ni zaidi ya baby mama nakuhakikishia.

Hahah huwezi kumlia yamin mwanaume as I said akili na maamuzi yenu huwa yananifurahisha sana...
Good news ni juzi juzi ameongeza mtoto wa pili kutoka kwa dada yule yule,inamaana wakati ananyonyesha mimba ya pili chwii ikaingia
So muda wote ananisumbua tayari baby no 2 was on board [emoji1]
Hebu mtetee na hapo tena
 
Wanaume ni viumbe wenye simplicity tofauti na nyie wanawake.

Mbona huyo EX-BF wako anaeleweka kabisa anahitaji nini kutoka kwako, jamaa anakuelewa since kitambo, yaani wewe ndio chaguo lake na anapenda familia yake aitengeneze na wewe.

Kitendo tu cha yeye kudate na mtu wa pembeni hdi kufikia hatua ya kumzalisha pasipo wewe kufahamu kinaonesha jinsi gani jamaa alikuwa anakuheshimu.

Na siku zote wanaume kwenye suala zima la mahusiano tunawaheshimu wanawake waliopo ndani ya mioyo yetu.

Yaani pamoja na kupata mtoto kutoka kwa mwanamke mwingine lakini bado jamaa anajisogeza sogeza kwako, haloo huyo jamaa anakuelewa mbayaaa!!❣!!

Acha roho mbaya Brenda, usimtese mtoto wa mwanamke mwenzio!! fungua moyo wako kwa kijana wa watu. Wewe kwake utakuwa ni zaidi ya baby mama nakuhakikishia.
Kama anampenda si aoe
 
Hahah huwezi kumlia yamin mwanaume as I said akili na maamuzi yenu huwa yananifurahisha sana...
Good news ni juzi juzi ameongeza mtoto wa pili kutoka kwa dada yule yule,inamaana wakati ananyonyesha mimba ya pili chwii ikaingia
So muda wote ananisumbua tayari baby no 2 was on board [emoji1]
Hebu mtetee na hapo tena

Sasa hauoni hadi hapo chanzo cha yote hayo bado ni wewe!?[emoji45][emoji45]

jamaa ana kisonono cha hali ya juu na huyo dada ndio pumziko lake baada ya kukukosa wewe. Na kwa bahati mbaya sana stress zake anaona azimalizie kwenye ngono! na bahati mbaya zaidi huyo dada(babies mama wake) hana kauli kwa jamaa.

Twende mbele turudi nyuma! huyo jamaa yuko destined kuwa na wewe! na ndio maana pengine hadi leo hii bado hujampata mr.charming mwingine huku mawio yakipiga hodi.[emoji12][emoji12]
 
Sasa hauoni hadi hapo chanzo cha yote hayo bado ni wewe!?[emoji45][emoji45]

jamaa ana kisonono cha hali ya juu na huyo dada ndio pumziko lake baada ya kukukosa wewe. Na kwa bahati mbaya sana stress zake anaona azimalizie kwenye ngono! na bahati mbaya zaidi huyo dada(babies mama wake) hana kauli kwa jamaa.

Twende mbele turudi nyuma! huyo jamaa yuko destined kuwa na wewe! na ndio maana pengine hadi leo hii bado hujampata mr.charming mwingine huku mawio yakipiga hodi.[emoji12][emoji12]

Maisha ni maamuzi na yeye ameshachagua fungu lake,aoe tu hapo wajenge familia
Mimi sijakosa mr charming
 
Maisha ni maamuzi na yeye ameshachagua fungu lake,aoe tu hapo wajenge familia
Mimi sijakosa mr charming

Halafu unajua ni heri uolewe na mwanaume anayekupenda hata kama humpendi kuliko kuolewa na unayempenda?? sasa endelea ku buy time tu utakuja kulia lia humu shauri lako.
 
Halafu unajua ni heri uolewe na mwanaume anayekupenda hata kama humpendi kuliko kuolewa na unayempenda?? sasa endelea ku buy time tu utakuja kulia lia humu shauri lako.

🤣🤣unamtetea sana huyo jamaa kama ndugu yako aisee
 
Huku kwetu ndio usisemee nakwambia wapo majumbani kwao wanahangaika sana. Ukiwaona wamezeeka wananizid mpaka mm Dada yaoo inaumiza sana hawana future yeyote wamedanganya na wakipewa mimba wanakimbiwa .

Wanaume wanaowafanyia hivi mabinti sio vizuri.
Wacheni wavune walichopanda, Ukiwaona sasa wanavyojifanya wajanja hawaambiliki, wanakuona wewe mshamba.
 
Hahah huwezi kumlia yamin mwanaume as I said akili na maamuzi yenu huwa yananifurahisha sana...
Good news ni juzi juzi ameongeza mtoto wa pili kutoka kwa dada yule yule,inamaana wakati ananyonyesha mimba ya pili chwii ikaingia
So muda wote ananisumbua tayari baby no 2 was on board [emoji1]
Hebu mtetee na hapo tena
Dada ilo ni bomu kimbia litakulipukia
 
Back
Top Bottom