Mabinti ndio sababu ya vijana wengi kusema uongo

Kwann Wadada mnapendaga kuuliza mwanaume anafanya kazi gani?? Yaani ile umemwona tu unamwuliza anafanya kazi gani..

Ni kwasababu baadhi yetu mnaontuona tuna sura mbaya ivo mnaona hatuna cha kuwapa zaidi ya hela? Leejay49
Yani hii tabia inabidi niache,, sometimes tunauliza tu sio kwa nia mbaya jamani😃😃😃
 
Hii ni sahihi kabisa mkuu🤝
 
Shemeji/wifi yenu nilimpata nikiwa nashusha matofai kwenye site ya babaake alikuja kuhesabu yaani kuhakiki mzigo uloshushwa, alifanya kosa kubwa sana kunipa namba zake, swali la kuulizwa kazi yangu halikuwepo sababu alishaifaham na kuiona live nikiifanya, mwaka jana nilimwagiza akahakiki matofali yanayoshushwa kwenye site yetu over:
 
Kama una mpango wa kuhit n run danganya kuwa wewe ni mshauri mkuu wa bakhresa kumbe ni fundi tiles ili upate mbususu kirahisi usepe.

Kama unatafuta mke danganya kuwa wewe ni fundi tiles kumbe ni mshauri mkuu wa Bakhresa na mwanamke atakayekukubali bila kujali umasikini wako huyo ndie mke.

Mnawadanganya ndio mana ndoa zenu zinaishia na kuchomana na magunia ya mikaa sbb misingi ya ndoa zenu haijajengwa kwa UPENDO bali UONGO na TAMAA za mali.



Ciao
 
Mwanaume mwenzangu usije ukamwambia ukweli Mwanamke.
Wanawake 99% wamejaa na tamaa za mali,mudanganye OSHA lungu-chapa lapa.
Kama unatafuta kwa ajili ya kuoa mdanganye pia,kama una kipato cha 1M mwambie una 400K kama 2M mwambie una 800K.
 
Ilikuwa unashusha au ilikuwa unasimamia washushaji?
Kuna vitu 2 hapo,labda aliona wewe ndio meneja unasimamia washushaji.
 
Kuna. Mmoja juzi kaja ofisini kadanganywa wajeda wanapewa kilo3 kama allowance ya BIA. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] TULICHEKA ila yeye aliamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…