Yani hii tabia inabidi niache,, sometimes tunauliza tu sio kwa nia mbaya jamani😃😃😃Kwann Wadada mnapendaga kuuliza mwanaume anafanya kazi gani?? Yaani ile umemwona tu unamwuliza anafanya kazi gani..
Ni kwasababu baadhi yetu mnaontuona tuna sura mbaya ivo mnaona hatuna cha kuwapa zaidi ya hela? Leejay49
Hii ni sahihi kabisa mkuu🤝Kijana wa kiume anapokutana na binti kwa mara ya kwanza, swali la kwanza ambalo binti huuliza ni:
"Unafanya kazi wapi?" Jamaa akisema anafanya kazi kwenye kampuni ya mafuta, binti huyo atakubali haraka kudate na kijana huyo.
Lakini kama kijana huyo akisema yeye ni saidia fundi kwenye shughuli za ujenzi, binti huyo atakunja sura yake na baada ya wiki moja atakata mawasiliano.
Tusiwalaumu watu wanaosema uongo.
Mabinti ndio sababu ya vijana wengi kusema uongo.
Kijana atamdanganya binti kwamba anafanya kazi benki ili tu kumfanya binti huyo akubali kuwa nae. Lakini hii ni mbaya sana..
Mabinti, usiingie kwenye mahusiano na mtu kutokana na kazi yake. Usianzishe mahusiano na kijana kwa sababu anafanya kazi kwenye kampuni kubwa na usimkatae mwanaume kwa sababu hafanyi kazi kwenye kampuni kubwa.
Aina ya kazi yake haijalishi. Kilicho muhimu ni tabia ya mtu mwenye upendo na kujali na maono.
Unaweza kudate na mtu wa benki na akawa bahili na anaweza asikuhudumie vizuri. Lakini kijana aliye na kazi duni anaweza kukutunza ipasavyo kwa mshahara wake mdogo zaidi ya yule wa benki.
Kwa hiyo sio suala la kazi, ni suala la upendo, kujali, kuthamini na kujitoa.
Anakuhurumia.Anaogopa simu yako itaisha chaji.
Wanawake wenye sifa za kuolewa ni wachache sana mmoja kwa kumiBado najiuliza hivi hawa makapuku waliooa na wanaooa kila siku wanaoa viumbe gani🙆🙆🙆🙆
😃before ulimdanganya je.Hii imenikuta juz tu,baada ya bint kujua sina kaz ya kueleweka hapokei tn cm yng
Mna target hela bna na sifa kwa mashoga zenu kuwa unabonge la bwana.Yani hii tabia inabidi niache,, sometimes tunauliza tu sio kwa nia mbaya jamani😃😃😃
Kabisa mkuuWanawake wenye sifa za kuolewa ni wachache sana mmoja kwa kumi
Sio kweli 🤣🤣🤣Mna target hela bna na sifa kwa mashoga zenu kuwa unabonge la bwana.
Childhood mates Walimu mmemshindwa kabisa Mpwayungu Village hadi asiwaheshimu namna hii ilihali bila Walimu asingejua kuandika, kusoma wala kuhesabu chapaa?Ukisema wewe ni mwalimu hapo atakutemea mpaka mate usoni
Ilikuwa unashusha au ilikuwa unasimamia washushaji?Shemeji/wifi yenu nilimpata nikiwa nashusha matofai kwenye site ya babaake alikuja kuhesabu yaani kuhakiki mzigo uloshushwa, alifanya kosa kubwa sana kunipa namba zake, swali la kuulizwa kazi yangu halikuwepo sababu alishaifaham na kuiona live nikiifanya, mwaka jana nilimwagiza akahakiki matofali yanayoshushwa kwenye site yetu over:
Ongezaa sautiii.Umesema kweli kabisaa kuna watu wana pesa ndogo lakin wanajali hatari kuliko wenye pesa mingi
Nilikuwa kibarua mpakiaji kwenye tipa na mshushajiIlikuwa unashusha au ilikuwa unasimamia washushaji?
Kuna vitu 2 hapo,labda aliona wewe ndio meneja unasimamia washushaji.