[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHiyo kaskazini toa Tanga mkuu, wanawake wa Tanga Ni wakarimu sn wao mapenzi ndio kipaumbele wanakupa hata Kama huna hela na unapewa kweli ujue.
Dar kweli Tanga raha jamani.wasafi, wanajua kujiandaa, Kama hujatosheka unaulizwa, mauno Kama yote, na pole unapewa ukimaliza[emoji848][emoji1][emoji1]
Nimewahi ishi hukoWewe ni wa kaskazini pia?!
Ni tatizo sana wanawake wa mbeya usipokua mbabe utajikuta na wewe una zamu ya kuosha vyombo na bado unamfanyakazi wa ndaniYaan,
Pia nasikiaga watu wanawake wa kutoka Mbeya nao ni shida....
Hatari sana..They fall in love with material things.
Ndiyo maana wanasema, nitakufa na mali, nyumba, magari, ndege nk, lkn siyo mke/mme.
Na hapo bado wana beki tatu alafu wanawake wengi wa mbeya hawako romantic kabisaNagongelea msumari hapa mm sijui kama ningewezana nae...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni tatizo sana wanawake wa mbeya usipokua mbabe utajikuta na wewe una zamu ya kuosha vyombo na bado unamfanyakazi wa ndani
Mimi labda ahakikishe ameniroga.....Kwa shuntama..au Limbwata...Ni tatizo sana wanawake wa mbeya usipokua mbabe utajikuta na wewe una zamu ya kuosha vyombo na bado unamfanyakazi wa ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyieeeMungu nijalie demu mpenda pesa,
Asinipende mimi apende Verossa
Alisikika Countrywide kwenye moja ya chorus ya ngoma yao
Ume andika mambo mazito...Mi wakazaskazini and I don't care kwanza hamna matunzo , jingine unetendwa pole zako, jingine ni kweli ila utafanyaje kaoe kwingine sio lazima uje ukaseme huku , wapare wabaya , washirikina , wanaroho mbaya , wauaji, hawana huruma , wachagga the same thing , waarusha ni kabila Hilo langu ila weh wabaya hawana tofauti na hao na wao ndio wabaya hata hayo makabila mawili yanawaogopa , ila sio kama wameru wanatisha sana Kwa uroho, mmbaya , so ndio maisha , wachache kati ya 30% kati ya 70% ni wazuri sana, wanaheshima ila wanyakyusa niwa abaya sana , ila sio wote ila niliowafahamu mie huyu mama kaua mumewe Kisa Mali so maisha ni kuchagua tu mtu sahihi tu , na umshirikishe Mungu aisee ndio anaweza , kukuoa wakufanana naye .
Nasema ukweli nimetendwa sana so Sina hiyana yakuficha maovuUme andika mambo mazito...
Mchoyo wa niniIla ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Huyo mama Mnyakyusa aliyeua mume kisa mali, vipi mumewe alikuwa na mali nyingi sana au za kawaida? Na alimuendea kwa mganga, alimtumia majambazi au alimtilia sumu?Mi wakazaskazini and I don't care kwanza hamna matunzo , jingine unetendwa pole zako, jingine ni kweli ila utafanyaje kaoe kwingine sio lazima uje ukaseme huku , wapare wabaya , washirikina , wanaroho mbaya , wauaji, hawana huruma , wachagga the same thing , waarusha ni kabila Hilo langu ila weh wabaya hawana tofauti na hao na wao ndio wabaya hata hayo makabila mawili yanawaogopa , ila sio kama wameru wanatisha sana Kwa uroho, mmbaya , so ndio maisha , wachache kati ya 30% kati ya 70% ni wazuri sana, wanaheshima ila wanyakyusa niwa abaya sana , ila sio wote ila niliowafahamu mie huyu mama kaua mumewe Kisa Mali so maisha ni kuchagua tu mtu sahihi tu , na umshirikishe Mungu aisee ndio anaweza , kukupa wakufanana naye .
Mm nimeya shuhudia Kwa ndugu yangu nacho Mpendea shem mm Huwa ana upendo wa Dhati kwangu......Na hapo bado wana beki tatu alafu wanawake wengi wa mbeya hawako romantic kabisa
Kwani yeye mjinga akuamrishe hayo bila kukuroga?![emoji16]Mimi labda ahakikishe ameniroga.....Kwa shuntama..au Limbwata...
[emoji1][emoji4]
Alimuua mwenyewe nyumbani alimkita visu SITA akafa alikuwa na Mali ila sio za kivileHuyo mama Mnyakyusa aliyeua mume kisa mali, vipi mumewe alikuwa na mali nyingi sana au za kawaida? Na alimuendea kwa mganga, alimtumia majambazi au alimtilia sumu?
Sasa kwa nini yupo uraiani? Huenda pia alimvizia usiku akiwa amelala. Je, hawakuwa na ugomvi uliopelekea huyo mama kutumia kisu?!Alimuua mwenyewe nyumbani alimkita visu SITA akafa alikuwa na Mali ila sio za kivile
Mimi nikajua with my conscious mind Kwa kwel tungeshindana early in the morning 🤓Kwani yeye mjinga akuamrishe hayo bila kukuroga?![emoji16]