Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanasema, wanawake wa Kaskazini ni wachoyo.Kwahiyo ni huyo ni mchoyo huyo sister? Sijaelewa
Makanisa na misikiti kila siku inazidi kujengwa, lakini kwa nini waganga wanaongezeka?Afu cha kushangaza kupondwa kote huku Ndio wanazid kuolewa haha
Hivyo eeh? Babi mimi siku zote najua wewe mtu wa Arusha by originSina chembechembe, na mkoa wangu hauna ukaribu hata kidogo na Kaskazini. Ajira ndiyo ilinileta huku
😂😂 we ni wa huku? Umeyajuaje hayo?K
kabisa. ..but hii naona km mke niwahuko ndio changamoto kwa mwanamke akiolewa huko shida yake hutapata muda wamapenzi nae atakua busy muda wote kutafuta hela 24x7x365 labda awe anaumwa au anarudi uchagani kuhesabiwa
Sio we pekee.Hivyo eeh? Babi mimi siku zote najua wewe mtu wa Arusha by origin
Jamani uzee huu napitwa na mengi. Kumbeeee... cha kujiuliza wengi wauza vipodozi na viduka vya nguo kwa Dar huwa na makalio makubwa. Why?Hajui kua hio ni bosheni tu hata Dar wapo wauza vipodozi Ila wanauza Chini pia,
Wasambaa technical unavyoongelea kaskazin lazima na wasambaa uwa includeHiyo kaskazini toa Tanga mkuu, wanawake wa Tanga Ni wakarimu sn wao mapenzi ndio kipaumbele wanakupa hata Kama huna hela na unapewa kweli ujue.
Dar kweli Tanga raha jamani.wasafi, wanajua kujiandaa, Kama hujatosheka unaulizwa, mauno Kama yote, na pole unapewa ukimaliza[emoji848][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji1787]To yeye. pata kinywa hapo kwa mangi nakuja kulipa[emoji23][emoji23] maana kuna watu na waishi kwa kukaririshwa[emoji23][emoji23][emoji15]utarudi unalia,I promise you.Mambo haya hayana formula... Ukibahatika unakuwa umebahatika na ukikosa unakuwa umekosa
Kwa hiyo wewe wa mkoa gani? Au siri ya kambi!Sio we pekee.
Watu wengi wanadhani ukishaishi mkoa fulani basi nawe ni wa huko.
Basi na mie uwa naflow na beat lao 😂
Nimesema hapo Arusha na moshiHiyo kaskazini toa Tanga mkuu, wanawake wa Tanga Ni wakarimu sn wao mapenzi ndio kipaumbele wanakupa hata Kama huna hela na unapewa kweli ujue.
Dar kweli Tanga raha jamani.wasafi, wanajua kujiandaa, Kama hujatosheka unaulizwa, mauno Kama yote, na pole unapewa ukimaliza[emoji848][emoji1][emoji1]
Saaana saaana aiseeeeIla ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Mkoa upi ebu utaje if u dont mindTabia ya mtu mmoja haiwezi kujumuisha watu wote wa jamii fulani. Kama ni kweli weka ushauri kuwa jamani msioe Kilimanjaro na Arusha nendeni Iringa au Mtwara etc. Kwa sababu kila sehemu ina myth yake au kuna taarifa mbaya zake.
Kigoma - wachawi, wachafu
Dodoma - wachafu, umasikini, ndugu kujazana kwako
Mwanza- hawajui kukata
Iringa - wanajinyonga, hawajui kukataa niangusage
Tanga/Pwani - ulozi, Ngoma, hawajui kukataa
Wamasai/wakurya -FGM
Bukoba /wahaya - malaya
Mbeya - wababe, migogoro
Morogoro/ukerewe -Ulozi
Etc etc
So hayo yote ni mawazo au kulingana na matukio fulani fulani yaliyotokea ktk jamii lakini si kweli kwamba kila unayekutana naye anatabia hizo.
Ukiona huna amani achana nao. Wapo wenye amani nao na wanawaoa kila siku.
Nb
Niko mkoa fulani. Huu mkoa wasichana na wadada wanapenda kupata waume wachagga. Kwao ni prestige. Hata kama yale walioyatazamia wasipoyakuta lakini mtazamo wao ndiyo huo. Ni kama ulivyo mtazamo wako. Hata kama wapo wanawake wachagaa wasio na tabia ulizosema na upo sahihi kwa sababu huo ni mtazamo wako.
Kwann unawamwagia sumu kali hivyo watoto wa kaskazini.Chuki zako unataka kuwaambukiza wanaume wenzako ili mabinti wawatu wakose upendo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini
Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini
Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini
Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini
Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu
Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.
Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Watu wote hawa kweli wawe wanawasingizia wao tu?
Hawawez kosa kwa upumbavu wa mtu mmojaKwann unawamwagia sumu kali hivyo watoto wa kaskazini.Chuki zako unataka kuwaambukiza wanaume wenzako ili mabinti wawatu wakose upendo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]