Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Hiyo kaskazini toa Tanga mkuu, wanawake wa Tanga Ni wakarimu sn wao mapenzi ndio kipaumbele wanakupa hata Kama huna hela na unapewa kweli ujue.

Dar kweli Tanga raha jamani.wasafi, wanajua kujiandaa, Kama hujatosheka unaulizwa, mauno Kama yote, na pole unapewa ukimaliza[emoji848][emoji1][emoji1]
 
K

kabisa. ..but hii naona km mke niwahuko ndio changamoto kwa mwanamke akiolewa huko shida yake hutapata muda wamapenzi nae atakua busy muda wote kutafuta hela 24x7x365 labda awe anaumwa au anarudi uchagani kuhesabiwa
😂😂 we ni wa huku? Umeyajuaje hayo?
Unatafuta hela 24/7 na kuzitumia ni saa ngapi?
 
Hiyo kaskazini toa Tanga mkuu, wanawake wa Tanga Ni wakarimu sn wao mapenzi ndio kipaumbele wanakupa hata Kama huna hela na unapewa kweli ujue.

Dar kweli Tanga raha jamani.wasafi, wanajua kujiandaa, Kama hujatosheka unaulizwa, mauno Kama yote, na pole unapewa ukimaliza[emoji848][emoji1][emoji1]
Wasambaa technical unavyoongelea kaskazin lazima na wasambaa uwa include
 
Tabia ya mtu mmoja haiwezi kujumuisha watu wote wa jamii fulani. Kama ni kweli weka ushauri kuwa jamani msioe Kilimanjaro na Arusha nendeni Iringa au Mtwara etc. Kwa sababu kila sehemu ina myth yake au kuna taarifa mbaya zake.
Kigoma - wachawi, wachafu

Dodoma - wachafu, umasikini, ndugu kujazana kwako

Mwanza- hawajui kukata

Iringa - wanajinyonga, hawajui kukataa niangusage

Tanga/Pwani - ulozi, Ngoma, hawajui kukataa

Wamasai/wakurya -FGM

Bukoba /wahaya - malaya

Mbeya - wababe, migogoro

Morogoro/ukerewe -Ulozi
Etc etc

So hayo yote ni mawazo au kulingana na matukio fulani fulani yaliyotokea ktk jamii lakini si kweli kwamba kila unayekutana naye anatabia hizo.

Ukiona huna amani achana nao. Wapo wenye amani nao na wanawaoa kila siku.

Nb

Niko mkoa fulani. Huu mkoa wasichana na wadada wanapenda kupata waume wachagga. Kwao ni prestige. Hata kama yale walioyatazamia wasipoyakuta lakini mtazamo wao ndiyo huo. Ni kama ulivyo mtazamo wako. Hata kama wapo wanawake wachagaa wasio na tabia ulizosema na upo sahihi kwa sababu huo ni mtazamo wako.
 
[emoji15]utarudi unalia,I promise you.Mambo haya hayana formula... Ukibahatika unakuwa umebahatika na ukikosa unakuwa umekosa
[emoji23][emoji23][emoji1787]To yeye. pata kinywa hapo kwa mangi nakuja kulipa[emoji23][emoji23] maana kuna watu na waishi kwa kukaririshwa[emoji23][emoji23]
 
Hiyo kaskazini toa Tanga mkuu, wanawake wa Tanga Ni wakarimu sn wao mapenzi ndio kipaumbele wanakupa hata Kama huna hela na unapewa kweli ujue.

Dar kweli Tanga raha jamani.wasafi, wanajua kujiandaa, Kama hujatosheka unaulizwa, mauno Kama yote, na pole unapewa ukimaliza[emoji848][emoji1][emoji1]
Nimesema hapo Arusha na moshi
 
Tabia ya mtu mmoja haiwezi kujumuisha watu wote wa jamii fulani. Kama ni kweli weka ushauri kuwa jamani msioe Kilimanjaro na Arusha nendeni Iringa au Mtwara etc. Kwa sababu kila sehemu ina myth yake au kuna taarifa mbaya zake.
Kigoma - wachawi, wachafu

Dodoma - wachafu, umasikini, ndugu kujazana kwako

Mwanza- hawajui kukata

Iringa - wanajinyonga, hawajui kukataa niangusage

Tanga/Pwani - ulozi, Ngoma, hawajui kukataa

Wamasai/wakurya -FGM

Bukoba /wahaya - malaya

Mbeya - wababe, migogoro

Morogoro/ukerewe -Ulozi
Etc etc

So hayo yote ni mawazo au kulingana na matukio fulani fulani yaliyotokea ktk jamii lakini si kweli kwamba kila unayekutana naye anatabia hizo.

Ukiona huna amani achana nao. Wapo wenye amani nao na wanawaoa kila siku.

Nb

Niko mkoa fulani. Huu mkoa wasichana na wadada wanapenda kupata waume wachagga. Kwao ni prestige. Hata kama yale walioyatazamia wasipoyakuta lakini mtazamo wao ndiyo huo. Ni kama ulivyo mtazamo wako. Hata kama wapo wanawake wachagaa wasio na tabia ulizosema na upo sahihi kwa sababu huo ni mtazamo wako.
Mkoa upi ebu utaje if u dont mind
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Kwann unawamwagia sumu kali hivyo watoto wa kaskazini.Chuki zako unataka kuwaambukiza wanaume wenzako ili mabinti wawatu wakose upendo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom