Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Na hapo ndio ubaya wa Jf unapokuwaga 😄Huwezi jua, huenda alikufahamu kwa id nyingine, leo anajitambulisha kwa id nyingine. Basi Mologolo😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapo ndio ubaya wa Jf unapokuwaga 😄Huwezi jua, huenda alikufahamu kwa id nyingine, leo anajitambulisha kwa id nyingine. Basi Mologolo😜
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee.maisha safari ndo kuwekeza
Mara nataka I phone mmmh!!
nikakanunulia apple kakatafuna Kisha nikakatafuna.....[emoji4][emoji4][emoji2][emoji2]
Mimi na interact nao. Nao wanalia njaa tu hakuna loloteTwende mbele turudi nyuma
Hao hao mabinti wa kaskazini wanaongoza kuolewa tena kwa sherehe kubwa za gharama
Kabla ya kuendelea kuwashambulia, mabinti wengine wajifunze mazuri ya hawa mabinti wa kaskazini na yale mabaya wayaache
Hata ww mtoa mada una mazuri yako na mabaya yako
Muache huyu binti usimsumbue, ana vision na ndoto kubwa. Acha atimizeBasi kazi imeisha mkuu, ngoja na mie nijaribu kumfahamu kwa namna hiyo. Mi naona kuishi Ar kunamfanyw awe kama wameru tu.[emoji16]
Muda bado. Ukifika muda basi kilio kitakua kikali sanaWengine mbona nyota zetu na hao wachagga zimekuwa kali? Hivi wewe Countrywide kama ni wa kaskazini unashindwaje kuishi na mabinti zetu hawa, mbona wapo bien sana.
Mmh mkuu sio kwa ubaya, huyu binti ningekuwa machepele angeniita baba ujue. Relax!Muache huyu binti usimsumbue, ana vision na ndoto kubwa. Acha atimize
Wee sema kweli??Reality ni hulka ya mtu sio mkoa atokako, wale jamà a walitaka kua na Nchi yao, pardon isingekua Nyerere kungekua na United Republic of Arusha
Sasa kuongea tu ndiyo mpaka ulie?Anamaanisha milenda kama wewe na wanaokuunga mkono, Kaskazini hamwezi ku fit! Kaskazini ya wachapakazi, sio ya washirikina na wapunga pepo, wala ya waganguzi...WACHAPAKAZI, WANAOJITAMBUA, HAWAYUMBISHISHWI, USIPOMUOA WEWE, ANAOLEWA NA mchapakazi[emoji35]
Ni sahihi Mkuu ukweli lazima usemwe, lakini Samaki mmoja akioza sio wote watakaooza.Ukweli usemwe watu wapone
Jaribu uone moto. Wamachame huwa Wanaitwa wapalestina, tena Wanaitwa hivyo na wachagga wenzao.Roma mkatolik zamani kidogo wakati ametoa wimbo.....
"Ndio maana mama alinikataza nisi mchumbie mmachame" quotes from Roma mkatolik
Kipindi icho nilikua na rafik wa kike mmachame alipo sikia icho kipande tukiwa wote alishitukaa na kutetemekaa.. [emoji2][emoji2][emoji2][emoji4][emoji4]
Ewaaaaaah!!!!Kwanza sio wanawake wa Arusha. Arusha by nature haina mchaga nasikia.
Pia wanawake wa kichaga ni watafutaji, so wanamix za mke na mume.
Coca alizungumzia point ya harusi/ masherehe. Mpk hapo utaelewa kwamba hizo pesa wakizimix wanafanya kitu kikubwa
Usinichurie mkuu, maisha ni vile unayachukulia tu, halafu ndoa sio kabila, ni mtu...Muda bado. Ukifika muda basi kilio kitakua kikali sana
DuhLakini wanaoongoza kwa kuolewa ni wao. Ni wanawake wa maana sana
Heko kwa Chagga na Maasai Queens. Kazeni hapo hapo.
Wala nina hii tu. Mimi ni straight, nakupa maua yako ukiwa hai.Na hapo ndio ubaya wa Jf unapokuwaga [emoji1]
Kwan uongo?? Wapo wanawake wa kaskazini wana pesa kuzidi wanaume wa mikoa minginee.Aaaha kwa hio wewe ukasema wanaume wanawaogopa wanawake wa Arusha sababu wanaume hawana Pesa Ila wanawake wa Arusha wana Pesa au nilikuquote vibaya ?
You qouted wrong.Aaaha kwa hio wewe ukasema wanaume wanawaogopa wanawake wa Arusha sababu wanaume hawana Pesa Ila wanawake wa Arusha wana Pesa au nilikuquote vibaya ?
Sawa. Napenda mabinti wa aina yake wakifika mbali zaidi na zaidiMmh mkuu sio kwa ubaya, huyu binti ningekuwa machepele angeniita baba ujue. Relax!