Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Ilo ni kweli. Kwasababu wana pesa.. huwezi fananisha na mikoa mingine, mwanaume ndiye ana pesa. Mke apeche alolo
Kila mkoa kuna wanawake wenye pesa pia, tena wengi, hasa zama hizi.
 
kama wewe ni wakaskazini kama wao basi ndo unaweza ishi nao tunajuana kwa vilemba
 
Ni sahihi Mkuu ukweli lazima usemwe, lakini Samaki mmoja akioza sio wote watakaooza.

Kuna watu wamepata wake bora kutoka kwenye hayo makabila ambao leo hii wanajivunia.

Tukisema tutoe ushuhuda hapa ya Kabila Malaika nahisi halitatokea, Muhimu utakayempata hakikisha una mvumilia ukitambua hakuna Malaika katikati ya Binadamu
Kama 90% wapo hovyo basi huwa ni wote hovyo. 10% haibadili kitu.

Hata Tanzania tunaposema ni maskini haimaanishi kina MO, GSM au bakhressa nao ni maskini
 
Wengine mbona nyota zetu na hao wachagga zimekuwa kali? Hivi wewe Countrywide kama ni wa kaskazini unashindwaje kuishi na mabinti zetu hawa, mbona wapo bien sana.
Watu tu wanageneralize mambo. Mtu na ukabila wake havihusiani na tabia zake.

Kama inavyosemekana wapare hela zao zimeshikana na ngozi. Hazitoki kizembe, me ukiniambia hivyo nakataa.
 
Kwahiyo vijana wakaoe wahaya huko bukoba au tuwashauri waendelee kutafuta wabena wa njombe
 
Kama 90% wapo hovyo basi huwa ni wote hovyo. 10% haibadili kitu.

Hata Tanzania tunaposema ni maskini haimaanishi kina MO, GSM au bakhressa nao ni maskini
Naomba kwa heshima zote Mkuu, utupatie takwimu zako zenye kuonesha ubaya wa hayo Makabila ukifanya comparison na Ubora wa Makabila mengine
 
Roma mkatolik zamani kidogo wakati ametoa wimbo.....

"Ndio maana mama alinikataza nisi mchumbie mmachame" quotes from Roma mkatolik

Kipindi icho nilikua na rafik wa kike mmachame alipo sikia icho kipande tukiwa wote alishitukaa na kutetemekaa.. 😃😃😃😊😊
Plus wameru hapo mount Meru, hao funza wakivuruga kichwa na endapo haupo nyumbani au getto utakuta umeachiwa chupi zako zinaning'inia mlangoni!.
 
K
😄😄 kwamba nisiingie uchagani?
kabisa. ..but hii naona km mke niwahuko ndio changamoto kwa mwanamke akiolewa huko shida yake hutapata muda wamapenzi nae atakua busy muda wote kutafuta hela 24x7x365 labda awe anaumwa au anarudi uchagani kuhesabiwa
 
Ila ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Kwahiyo ni huyo ni mchoyo huyo sister? Sijaelewa
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Hawa mabinti wako wapi? Mbona sisi tupo huku lkn hawapo wenye hizo tabia?
Au kuna Arusha na Moshi nyingine?
 
Back
Top Bottom