Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Kila mkoa kuna wanawake wenye pesa pia, tena wengi, hasa zama hizi.Ilo ni kweli. Kwasababu wana pesa.. huwezi fananisha na mikoa mingine, mwanaume ndiye ana pesa. Mke apeche alolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mkoa kuna wanawake wenye pesa pia, tena wengi, hasa zama hizi.Ilo ni kweli. Kwasababu wana pesa.. huwezi fananisha na mikoa mingine, mwanaume ndiye ana pesa. Mke apeche alolo
Kama 90% wapo hovyo basi huwa ni wote hovyo. 10% haibadili kitu.Ni sahihi Mkuu ukweli lazima usemwe, lakini Samaki mmoja akioza sio wote watakaooza.
Kuna watu wamepata wake bora kutoka kwenye hayo makabila ambao leo hii wanajivunia.
Tukisema tutoe ushuhuda hapa ya Kabila Malaika nahisi halitatokea, Muhimu utakayempata hakikisha una mvumilia ukitambua hakuna Malaika katikati ya Binadamu
Endelea kulea watoto WA wenzioMimi Ambaye Nipo Kaskazini Nimeoa Na Watoto Tele Hapo Sanya Juu, Lawate, Fuka
Nivunje Ndoa Ama Nivumilie
Bora huko wao mazingira ndio yanawabadilisha, kule kaskazini hii kitu ipo kwenye DNA
Nenda kafuatilie takwimu za talaka mkoa WA arusha halafu urudi hapaLakini wanaoongoza kwa kuolewa ni wao. Ni wanawake wa maana sana
Heko kwa Chagga na Maasai Queens. Kazeni hapo hapo.
Hamna hata ongea yao yani ile ya kichinga kabisa hamna maswala ya kulegezeana sauti,uso mkavu na si mmoja wapo wengi,wewe fika Arusha then ukiwaona waite halafu fanya nao negotiations ndipo utanielewa.Unajuaje papuchi hatembezi? Ungeuliza
Then kua makini na generation yako (watoto wako)Sina chembechembe, na mkoa wangu hauna ukaribu hata kidogo na Kaskazini. Ajira ndiyo ilinileta huku
Watu tu wanageneralize mambo. Mtu na ukabila wake havihusiani na tabia zake.Wengine mbona nyota zetu na hao wachagga zimekuwa kali? Hivi wewe Countrywide kama ni wa kaskazini unashindwaje kuishi na mabinti zetu hawa, mbona wapo bien sana.
Kilimanjaro kuna "cha chuga"?Mlimani wapi huko mkuu ? Kilimanjaro ?
Ila ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
😄😄 kwamba nisiingie uchagani?Then kua makini na generation yako (watoto wako)
Naomba kwa heshima zote Mkuu, utupatie takwimu zako zenye kuonesha ubaya wa hayo Makabila ukifanya comparison na Ubora wa Makabila mengineKama 90% wapo hovyo basi huwa ni wote hovyo. 10% haibadili kitu.
Hata Tanzania tunaposema ni maskini haimaanishi kina MO, GSM au bakhressa nao ni maskini
Plus wameru hapo mount Meru, hao funza wakivuruga kichwa na endapo haupo nyumbani au getto utakuta umeachiwa chupi zako zinaning'inia mlangoni!.Roma mkatolik zamani kidogo wakati ametoa wimbo.....
"Ndio maana mama alinikataza nisi mchumbie mmachame" quotes from Roma mkatolik
Kipindi icho nilikua na rafik wa kike mmachame alipo sikia icho kipande tukiwa wote alishitukaa na kutetemekaa.. 😃😃😃😊😊
kabisa. ..but hii naona km mke niwahuko ndio changamoto kwa mwanamke akiolewa huko shida yake hutapata muda wamapenzi nae atakua busy muda wote kutafuta hela 24x7x365 labda awe anaumwa au anarudi uchagani kuhesabiwa😄😄 kwamba nisiingie uchagani?
Kwahiyo ni huyo ni mchoyo huyo sister? SijaelewaIla ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Hawa mabinti wako wapi? Mbona sisi tupo huku lkn hawapo wenye hizo tabia?Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini
Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini
Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini
Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini
Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu
Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.
Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Wewe ndo unadanganya sasa CocaUongooo maendeleo gani?? Usidanganye hapa.
Kwenye maendeleo ni hao wa kaskazini. Ukweli usemweee.