Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

๐Ÿคฃ๐Ÿคญ!!
 
Punguza ukorofi Mjukuu, huyu Mtoa mada anataka kujifanya hajui ule msemo wetu wa Samaki mmoja akioza anatupwa pembeni ili wengine wabaki salama ๐Ÿคช
Babuu Kwa misemoo tu nakuaminiaaaa!!
Kweli Kabisa babuu atolewe wengine wabaki salama ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!
 
Wengi mnapaparukia watu wa kuoa au kuolewa WACHAGA halisi mapenzi n kupotezea muda Ila kuchakarika na maisha jion sio Mwanamke/mwanaume wote unawakuta bar mezan Kuna safari au konyagi wakati anasubiri kitimoto hapo wanakunywa kwa Machame Yan anakunywa huku wanasoma Raman ya kesho ikifika saa mbili huyo nyumbani kesho mapema yupo road anakomaa na maisha yake.

Kiukweli natafuta Mwanamke wa kichaga sijui nitapata wap
 
kaskazini kuolewa wanaolewa sana na kawaida ila kusema ndoa za mtandaoni baadhi ya sehemu hwanaga mbwembwe ..


Mfano mimi nimekaa mikoa ya pwani asilimia kubwa ya wasichana niliosoma nao walishaolewa yaani 95% kwa ninaowajua wengine sijui ila sio ndoa za kujivunga za mitandaani yaani huwezi kujua mpaka uulize watu wapo kweny ndoa zaidi ya miaka 10..


Masherehe yenu ya ukumbini ni mila jamii kama wahaya ,wachga na wengine wengi huku kwenu ni ushamba wala hatupendelei but ndoa zinafanyika kama kawa.

Hapa ofisini kwangu wapo wengi haswa assistants wa kada tofauti ila sijawahi kuona harusi ya wa huko wengi wamegonga 29 na kuendele. Sio kwamba waliolewa hawapo wapo wengi sema watu wazima sana ila hawa madogo wenye miaka 4 kazini ni wengi mno halafu wanaume
wa huko wameoa sana huko kaskazini kwao.

Sina maana mbaya kwa vile msichana wa sehemu yeyote ile anaweza kuolewa wala hamna shida ila usijaribu kuhesabu hizi harusi za mbwembwe kwani jamii nyingine hatufagilii kwa sana kwenu ni ushamba hatuna time nazo na maisha yanasonga.
 
Sasa wewe kinachokukerekata na wachaga nini. Maana kama sio wivu wa kimaendeleo una wivu gan mwingine wachaga walikulia mkeo au
 
Acheni kuwaonee, hawa huwa ni wapambanaji wanatumwaga na familia kwenda kutafuta!
 
Ukitaka kuoa nenda Rukwa na Katavi vijana wa kaskazini ndiko wameelekea huko. Hao waache wale jeuri yao. Utafikiri wako busy kufanya kazi ila matapeli tu. Dunia ya leo uoe Mchaga, mpare, mmeru? Utakuwa hujitambui, kuna jamaa yangu Msukuma alijaribu mpare ameshakimbia na duka amemwachia. We ushamba wa usukumani unawapelekea mabinti wa kaskazini? Wale siyo wanawake ingawa wana K.
 
Sasa wewe kinachokukerekata na wachaga nini. Maana kama sio wivu wa kimaendeleo una wivu gan mwingine wachaga walikulia mkeo au
Hahaha sasa kibalia anawezaje kula mke? Kibamia ni wa kuliwa tu. Wivu wa maendeleo? Kwa maendeleo yapi hayo? Kama ni hela ninayo. Hoteli ninazo, sheli ninazo unaongelea nini vile? Mpaka tugari twa kuwachinjia malaya wa kutoka huko kwenu ninato.

Acha kuishi miala ya 60 wewe. Kila mtu mpambanaji karne hizi.[emoji23]
 
Naona umeongelea mahusiano yangu we mzee.

Rhumba ninalopitia ni Mungu pekee anajua aisee. Kaskazini ibaki kuitwa kaskazi hahahaha
 
Naona umeongelea mahusiano yangu we mzee.

Rhumba ninalopitia ni Mungu pekee anajua aisee. Kaskazini ibaki kuitwa kaskazi hahahaha
Wewe na mkeo wote wanawake. Sorry ila ndiyo ukweli. Mademu wa kaskazini 'nawatomba' mno na umri huu. Wa kawaida sana. Hakuna maajabu yoyote, na wengi ni jirani zangu. Ni hofu yako na kujishtukia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ