Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Niwie radhi Mkuu wangu, nilidhani unatupa somo sisi wengine baada ya wewe kuwa muhanga wa jambo lenyewe.

Kumbe nawe umehadithiwa ubaya wa hao watu bila kuwa na ushahidi nao?

Nashauri kama haujawahi kupigwa nao tukio basi huu uzi ufutwe, manake inakuwa tunawapaka ubaya watu wasiohusika
🤣🤭!!
 
Punguza ukorofi Mjukuu, huyu Mtoa mada anataka kujifanya hajui ule msemo wetu wa Samaki mmoja akioza anatupwa pembeni ili wengine wabaki salama 🤪
Babuu Kwa misemoo tu nakuaminiaaaa!!
Kweli Kabisa babuu atolewe wengine wabaki salama 🤣🤣!
 
Wengi mnapaparukia watu wa kuoa au kuolewa WACHAGA halisi mapenzi n kupotezea muda Ila kuchakarika na maisha jion sio Mwanamke/mwanaume wote unawakuta bar mezan Kuna safari au konyagi wakati anasubiri kitimoto hapo wanakunywa kwa Machame Yan anakunywa huku wanasoma Raman ya kesho ikifika saa mbili huyo nyumbani kesho mapema yupo road anakomaa na maisha yake.

Kiukweli natafuta Mwanamke wa kichaga sijui nitapata wap
 
Yaan kila siku huwa nashangaa mie, maana mitandaoni wanawake wa kaskazini wanakandiwa ila huku uraiani kila kukichaa utaona appearance tag kutoka kwa Gara B, huwa anaweka na tribes bas utaona mchaga, mpare, mmasai, mmeru, yaan na unakuta hapo mlimani city, na ndoa imefana balaaa afu ya gharamaa.

Mwezi uliopitaa Madame wangu wa field alinikuta 4m 3, aseeeh bonge la ndoa, niliona kwa Gara B, ni mmasai yeye. Na mumewe mnyaturu,

Afu hapa wanasemwa vibayaa naonaga, wanaume husika wanashindwa kuendana na hao wanawake, wanaamua kuwa dis, ila ukweli wanawapenda tatizo uwezo wao hauruhusu kuwa nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kaskazini kuolewa wanaolewa sana na kawaida ila kusema ndoa za mtandaoni baadhi ya sehemu hwanaga mbwembwe ..


Mfano mimi nimekaa mikoa ya pwani asilimia kubwa ya wasichana niliosoma nao walishaolewa yaani 95% kwa ninaowajua wengine sijui ila sio ndoa za kujivunga za mitandaani yaani huwezi kujua mpaka uulize watu wapo kweny ndoa zaidi ya miaka 10..


Masherehe yenu ya ukumbini ni mila jamii kama wahaya ,wachga na wengine wengi huku kwenu ni ushamba wala hatupendelei but ndoa zinafanyika kama kawa.

Hapa ofisini kwangu wapo wengi haswa assistants wa kada tofauti ila sijawahi kuona harusi ya wa huko wengi wamegonga 29 na kuendele. Sio kwamba waliolewa hawapo wapo wengi sema watu wazima sana ila hawa madogo wenye miaka 4 kazini ni wengi mno halafu wanaume
wa huko wameoa sana huko kaskazini kwao.

Sina maana mbaya kwa vile msichana wa sehemu yeyote ile anaweza kuolewa wala hamna shida ila usijaribu kuhesabu hizi harusi za mbwembwe kwani jamii nyingine hatufagilii kwa sana kwenu ni ushamba hatuna time nazo na maisha yanasonga.
 
Nimeuliza swali ila hujajibu kutokana na maelezo ya swali. Hivyo basi nahitimisha yafuatayo;
1. You are not civilized, huna uungwana.
2. Ni mshamba kwa damu
3. Natoa pole kwa bosi wako.

Mwisho, mimi mbona naona Kilimanjaro ni pa kishamba mno? Yaani hata mshipa haushtuki, nawaona pia na hao wanawake wenu wa kawaida mno.

NB: huna sababu ya kuniambia nije Kilimanjaro ukiacha Mlima Kilimanjaro ambao si kila mtu anapenda milima.

Got that you pimp?
Sasa wewe kinachokukerekata na wachaga nini. Maana kama sio wivu wa kimaendeleo una wivu gan mwingine wachaga walikulia mkeo au
 
Acheni kuwaonee, hawa huwa ni wapambanaji wanatumwaga na familia kwenda kutafuta!
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Ukitaka kuoa nenda Rukwa na Katavi vijana wa kaskazini ndiko wameelekea huko. Hao waache wale jeuri yao. Utafikiri wako busy kufanya kazi ila matapeli tu. Dunia ya leo uoe Mchaga, mpare, mmeru? Utakuwa hujitambui, kuna jamaa yangu Msukuma alijaribu mpare ameshakimbia na duka amemwachia. We ushamba wa usukumani unawapelekea mabinti wa kaskazini? Wale siyo wanawake ingawa wana K.
 
Sasa wewe kinachokukerekata na wachaga nini. Maana kama sio wivu wa kimaendeleo una wivu gan mwingine wachaga walikulia mkeo au
Hahaha sasa kibalia anawezaje kula mke? Kibamia ni wa kuliwa tu. Wivu wa maendeleo? Kwa maendeleo yapi hayo? Kama ni hela ninayo. Hoteli ninazo, sheli ninazo unaongelea nini vile? Mpaka tugari twa kuwachinjia malaya wa kutoka huko kwenu ninato.

Acha kuishi miala ya 60 wewe. Kila mtu mpambanaji karne hizi.[emoji23]
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Naona umeongelea mahusiano yangu we mzee.

Rhumba ninalopitia ni Mungu pekee anajua aisee. Kaskazini ibaki kuitwa kaskazi hahahaha
 
Naona umeongelea mahusiano yangu we mzee.

Rhumba ninalopitia ni Mungu pekee anajua aisee. Kaskazini ibaki kuitwa kaskazi hahahaha
Wewe na mkeo wote wanawake. Sorry ila ndiyo ukweli. Mademu wa kaskazini 'nawatomba' mno na umri huu. Wa kawaida sana. Hakuna maajabu yoyote, na wengi ni jirani zangu. Ni hofu yako na kujishtukia tu
 
Back
Top Bottom