Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Wanaume wa siku hizi wanawahofia sana Wanawake wapiga kazi sijui kwa Nini.

No wonder vijana wa kium nao wanatamani kuolewa.
 
90% ya dadaz kwenye cycle yangu ya maisha wanatoka Kaskazini, they're very beautiful na wana mapenzi ya dhati [[talking from experience]].

wako na mazuri mengi kuliko mabaya in all aspects, ni kawaida sana kwa binadamu kusahau na kufuta mazuri 99 kwa baya 1.

Kama wewe ni MWANAUME ULIYEKAMILIKA huwezi shindwa kuoa Mwanamke kutoka kaskazini kisa izo sababu ulizogeneralize apo juu.

Mdada wa kaskazini AKIKUPENDA ANAKUPENDA KWELI, kama hakupendi atakuchuna na pesa atakua anampatia Barafu Wa Moyo Wake.

Note:
hata uwe na Mali kiasi gani kama hauwezi kumfikisha kunako 6/6 mdada yeyote wa kaskazini then you're finished.!!
 
Tumeongea Sana lkn hakuna utafiti was kina kwa nn wako hivyo.Kutakuwa na shida mahali au nature ya maisha yao huko kwao labda hawapendi kuonekana maskini huko kwao hasa miezi yao ya kwenda kutambika.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
the good thing is naupenda uromantique na wenyewe unanipenda Mimi..!!

Halafu ka-mwamposa kananipenda ajabu..?!πŸ˜‚
"Ka-mwamposa kananipenda ajabu" hivi unakatakia maisha mema lakini? We kazana nije nikanyonge.

πŸ˜„
 
Umewatetea dada zako kimtindo
 
Sikiliza wewe ngosha.
Wanawake wa kaskazini kamwe hawapendi wanaume mlenda mlenda na wasio na future, hapo huna bahati.

Wanataka wanaume shap, wenyr future nk.
Vinginevyo utachezea vitasa
 
Sikiliza wewe ngosha.
Wanawake wa kaskazini kamwe hawapendi wanaume mlenda mlenda na wasio na future, hapo huna bahati.

Wanataka wanaume shap, wenyr future nk.
Vinginevyo utachezea vitasa
Unawatetea dada zako. Okay vizuri
 
"Ka-mwamposa kananipenda ajabu" hivi unakatakia maisha mema lakini? We kazana nije nikanyonge.

πŸ˜„
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
you know very well ukikanyonga nitakumbatia ngumi Pa'...!!

Unataka nibaki 'monyewe'..??
 
Wewe huyo sasa kwa kudeka πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Shida ni kudeka basii Deppie wange'..??
Shida ni unamdekea nani..?

Kuna ile unadeka hata kama una kosa linasamehewa..!!
 
Umekaza kweli jamaa! Wamekuelewa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…