Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mwanzoni si uliziba masikio wewe?baada ya kupigwa na kitu kizito ndo umeamka usingizini.
Hata na hivyo huyo mama Z kuzingua haimanishi wote wako hivo,kilichokugharimu ni ushamba wa mapenzi uliingia na miguu yote miwili
 
8m na ndoa kubwa ni maji na mafuta..

Acha kamba zako na chuki za kijinga.
 
Uandishi wako unaonyesha wazi wewe ni mKaskazini na unajaribu kutetea jamii yako

Sikia hii ... Dada zako ni washenzi tu wasio na maana, nafanya kazi huku Kaskazini mwaka wa 12 sasa, najua mwanzo mwisho wa hawa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…