mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Acha uongo.bhana.Wazuri sana
Afu watamu
Basi tuwale afu tusepe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo.bhana.Wazuri sana
Afu watamu
Basi tuwale afu tusepe.
Sawa.Acha uongo.bhana.
Nakula naoa na nazaa nao, watoto safi. Nani aoe wavaa madera.Wazuri sana
Afu watamu
Basi tuwale afu tusepe.
Maji tu inatoshaNdio unapendelea kinywaji gani nikuandalie?!
MuIraq ndiyo Mbulu huyo huyo we naeNi wazuri sana hasa wambulu na wairaq ila tabia zao ni balaa,umalaya+ujeuli n.k
mtawaowaje wakati ninyi wenyewe wengi wenu mashogaTuachieni dada zetu tutawaoa wenyewe, mmekaa kilege lege kama mashoga hamuwezi wanawake wa chuma
OkMuIraq ndiyo Mbulu huyo huyo we nae
Ukweli ni kwamba hapo mlengwa ni Kilimanjaro, Arusha nimewasingizia tu kidogo
Nipe namba zake pls nna shida kidogoIla ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Sawa njoo, unapenda firigisi na nyama ya kuku?!Maji tu inatosha
8m na ndoa kubwa ni maji na mafuta..Umeongea ukweli mtupu, kuna jamaangu sana ilimtokea mwaka juzi demu alitoka arusha akaja dar, jamaa akajipakia akaoa kwa matambo sana ndoa kubwa, akachangisha ndugu na jamaa ili afanikishe jambo lake. 8M ikapatikana wakafunga ndoa,
Ebana eee hata miezi6 haikuisha mchaga akaanza yake unaambiwa waliachana mchana kweupe, mchaga alikomba kila kitu. Ile kupanic jamaa akaanza kuuza vitu oyo. Mpaka leo hii unaambiwa mshikaji hana ham na ndoa na alishafulia vibaya mno
Na hawana lolote la maanaShida wanajua kuact na kujiposition balaa[emoji119][emoji23]
Uandishi wako unaonyesha wazi wewe ni mKaskazini na unajaribu kutetea jamii yako90% ya dadaz kwenye cycle yangu ya maisha wanatoka Kaskazini, they're very beautiful na wana mapenzi ya dhati [[talking from experience]].
wako na mazuri mengi kuliko mabaya in all aspects, ni kawaida sana kwa binadamu kusahau na kufuta mazuri 99 kwa baya 1.
Kama wewe ni MWANAUME ULIYEKAMILIKA huwezi shindwa kuoa Mwanamke kutoka kaskazini kisa izo sababu ulizogeneralize apo juu.
Mdada wa kaskazini AKIKUPENDA ANAKUPENDA KWELI, kama hakupendi atakuchuna na pesa atakua anampatia Barafu Wa Moyo Wake.
Note:
hata uwe na Mali kiasi gani kama hauwezi kumfikisha kunako 6/6 mdada yeyote wa kaskazini then you're finished.!!
Mmmmh wanajiona wajanja kumbe washamba tu hao mademuUandishi wako unaonyesha wazi wewe ni mKaskazini na unajaribu kutetea jamii yako
Sikia hii ... Dada zako ni washenzi tu wasio na maana, nafanya kazi huku Kaskazini mwaka wa 12 sasa, najua mwanzo mwisho wa hawa watu
depends sherehe ni ya watu wangapi.Milion 8 ndogo sana hyo kufanya sherehe haitoshi vinywaji hata mapambo ya ukumbi
Tupe code jiraniIla ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.