Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Moja kati ya uongo mkubwa kutokea Tanzania eti kuna wanawakw wapambanaji , kaskazini nimekaa hakuna hata huyo tajiri wa kike hata wamiliki wa biashara labda ziwe za urithi na kudanga


Wanawake niliwahi kuona wanamiliki pesa binafsi na nyumba labda Mwanza.
 
Ushamba ni mzigo.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] kumbe ndio wewe bs imeisha hyooo,amewai niadithia kuhusu ww kwa sasa nipo nae hapa na tumeiona comment yako.
 
wameru ni kabila dogo sana wako kwenye tarafa km 3 tu hawajazi hata wilaya moja. Kweli hawatoki na hawazai sana ndiyo maana wachache sana. Siyo watu wa kujichanhanya na watanzania. Wanawake zao ni hatari usijaribu kuoa utajuta.
Ninae mmoja bado sijamchakata
 
Ili niliye nae nipige tu alafu nipite hv
 
 
Thread closed.
 
Kaskazini watamu sana ila sio wake
Hakuna eneo au ukanda usio kua na wanawake watamu bhana we nae

Na katika hili nashauri pia vijana, msiende kuoa wa Meru, acha kabisa, wana laana wale si bure
 
Msipo zingatia maneno haya basi maisha yenu yote lazima yawe motoni

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Mimi sishauri mtu kuoa hawa dada zangu.
 
Mshikaji alimpa mimba manka, akazaa....kurudi home ana mtoto, wazee wakamhoji binti, binti kaelezea stori. Mwamba kweli kwao apeche alolo hta hyo chuo nadhani ye ndio wa kwanza kufika. Kwahyo bdo ajitafute ndio aje aweke mambo sawa. ...

Nilikuaga najua jamaa anazngua mbaka pale nilipoona kwa macho na kuskia kwa masikio yangu wanamcheka hawezi oa kwao kisa pesa. Alooo hizi zinatia doa snaa kina mangi na manka wao...

Nawakubali though kwny fursa tu mpo vzur mnoo ila viuno na mapnz watuachie sie wa pwani
 
Inferiority Complex na Ujinga vinawamaliza vijana wengi

Wanawake wa kaskazini wanajitambua sana...sio wa kupelekeshwa kwa kila kitu

Wakihoji mambo yamsingi na ya kujenga hampendi mnataka wale wa kusema NDIO kwa kila kitu kama wabunge wa CCM
50/50 sio?
 
Demu za Chuga, Moshi, Upareni kote wanakula pombe kali kama K.Vant, Highlife, Konyagi, Shujaa, guard spirits. Huwezi kutana na mtu mwenye akili sawa hapo.

Regards!
Na vitambi flani hivi vya kmoo na safarii lager....shiiiiida
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…