Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #81
Huwa nasemaga mara nyingi jf Kuna wajinga wengi mno. Kupambana nao kuwamaliza ni kazi, lakini tutaenda nao mdogomdogo hadi waisheAfu usipojisimama vyema,hii sumu inasambaa sana wangu
Na mie nashangaa wanawake wa kaskazini wanaolewa kwa ndoa tena za gharama kila siku.Twende mbele turudi nyuma
Hao hao mabinti wa kaskazini wanaongoza kuolewa tena kwa sherehe kubwa za gharama
Kabla ya kuendelea kuwashambulia, mabinti wengine wajifunze mazuri ya hawa mabinti wa kaskazini na yale mabaya wayaache
Hata ww mtoa mada una mazuri yako na mabaya yako
Manka wa kichagga siku hizi wamekengeuka, hawasikii la muadhini wala la mnadi swalaNje ya Box Lyrics
House of music A city in tha house
Mpeleke joh makini nikki wa pili wara wara
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane
Nje ya kumi na nane
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane
(VERSE1: Niki wa pili)
Mungu nijalie demu mpenda pesa
Kila siku nipigane kuwa bakhresa
Asinipende mimi apende verosa
Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa
Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa
Demu wa shida na raha na misoto sana
Huyo demu hanifai changamoto hana
Ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa kigogo
Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda changu
Sitaki demu wa kitanga jioni moja kanga
Tayari amejipanga kwa mabusu mangapi
Demu nayemtaka Manka wa kichaga jioni anaulizaga umeingiza shingapi
CHORUS (G Nakko)
Mpeleke nje nje nje nje ya kumi nane
Nje nje nje nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje nje ya box nje ya box
Nje ya kumi na nane
(VERSE2: Joh Makini)
Namtoa nje ya box ndio nampe cha ndani ya boxer
Aulizie ferrari jo ni kitu gani verosa
Demu boda boda kwenye bajaj anasinzia
Itaua kipaji na uwezo kufikiria
Asinipende kama joh anipende kama star
Super kabisa ile gumzo ya kitaa
Hili nikaze asinilemaze nikadumaa
Sio demu anayehitaji kuwa na ndoa
Bali mwanamke anayehitaji mahitaji ya ndoa
Na sheria mikononi simpigi demu
Nachukua sheria kiunoni joh me killin them
Asiyefanya kazi na asile ndio neno lenye uhai
Asishike neno ashike maneno yenye maslahi
My lips don’t shy when yo hips don’t lie
Sio gifti, shopping, lifti, vocha, chips mayai
Demu cheap me hanifai
Habari gani afanye niwaze milioni
Kumwhonga laki mbili tatizo nisione
Flow na mdundo ni mapene ya mweusi n
Sio miaka thelethini na tano driving school
Hapendi mimi niendeshe magari mazuri yea that’s cool
Hao ndio worst kuliko wote. Wale sijui kwenye DNA wana shida ganihasa wameru ni hatari sana
Chapa alafu sepa. Usiweke mahusianoNa Mimi niliyepanga kwenda huko Arusha kuopoa pisi Sasa mnanishauri vipi?
Ilo ni kweli. Kwasababu wana pesa.. huwezi fananisha na mikoa mingine, mwanaume ndiye ana pesa. Mke apeche aloloNa mie nashangaa wanawake wa kaskazini wanaolewa kwa ndoa tena za gharama kila siku.
Afu huku wana kandiwa sielewagi yaan
😂😂🤣🤣😂Manka wa kichagga siku hizi wamekengeuka, hawasikii la muadhini wala la mnadi swala
Fafanua vizuri hapa. Dark skin wapo wengi tu, na light skin wapo wengi tuZamani nilikuwa najua hakuna mchaga dark skin.
Mtu mwenye dark skin alikuwa akinambia ye mchaga namkatalia [emoji23] mpaka nilipopewa somo.
Sio kweli.Twende mbele turudi nyuma
Hao hao mabinti wa kaskazini wanaongoza kuolewa tena kwa sherehe kubwa za gharama
Kabla ya kuendelea kuwashambulia, mabinti wengine wajifunze mazuri ya hawa mabinti wa kaskazini na yale mabaya wayaache
Hata ww mtoa mada una mazuri yako na mabaya yako
inbreeding nasikia ndio shida kubwa hata pale machame nako shida ni hiyo piaHao ndio worst kuliko wote. Wale sijui kwenye DNA wana shida gani
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini
Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini
Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini
Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini
Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu
Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.
Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
To yeye huwa kuna jambo nilipenda nikufanyie au nikupe muongozo. Sema ni vile nashindwa kwa sababu maalumKabisa,usisahau kuendelea kunipa michongo mkuu
Sikuwahi dhani kama panaweza kuwepo mchagga mweusi mf wa Mwijaku.Fafanua vizuri hapa. Dark skin wapo wengi tu, na light skin wapo wengi tu
Au unamaanisha kile kichotokea kwa wajaluo weupe?
Mimi ni wa kaskazini tena ile kaskazini haswaa, lakini mikono nimenyoosha juu mwendo wa matekaAnamaanisha milenda kama wewe na wanaokuunga mkono, Kaskazini hamwezi ku fit! Kaskazini ya wachapakazi, sio ya washirikina na wapunga pepo, wala ya waganguzi...WACHAPAKAZI, WANAOJITAMBUA, HAWAYUMBISHISHWI, USIPOMUOA WEWE, ANAOLEWA NA mchapakazi[emoji35]
Ulizingua mbona,but ile michongo ya namna ya kuzisaka ndo usiache kunipa...ule mmoja naenda ufanyia kaz,nasubiri mavuno tu mwez June,julyTo yeye huwa kuna jambo nilipenda nikufanyie au nikupe muongozo. Sema ni vile nashindwa kwa sababu maalum
Sijui nafanyaje but nilipenda kabisa kukufanyia hivyo
Mpo hivyo. Safari hii tumeshtukaSi wote jamani wengine hatupo hivyo
Dah sasa antena za nini! Hawana tv na wanaishi poriniAisee..
Mbona nasikia wamasai wanafaa ni vile tu hawana antenna?!
Bora uoe dunya kama hili, ijulikane tu umeoa dunya. Kuliko kuoa kaskazini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu wimbo ni pendwaa kwangu,
Nilikua nauimba mwanzo mwsho. Mweeeeh