Uongooo maendeleo gani?? Usidanganye hapa.Sidhani kama kuna kutakuwa na balaa kwani amesema ukweli. Huoni wanaume waliooa wangoni, wazaramo, wakwere n.k. walivyo na maendeleo makubwa!
UongoWACHAGA hawaepukiki kwenye kuwaoa au kuolewa nao n hv Kama kungekuwa na sensa ya makabila Basi WACHAGA wangeongoza angalia mazingira unayoishi, fanyia kazi au unapopenda kupotezea muda je WACHAGA wapo kwa asilimia ngapi? Na je status yamaisha yao ipoje? Lazima ukute anajiweza na ukimuangalia baada ya miez au miaka kadhaa unamuona ATAKUWA mbali zaidi.
Kwakua umaskini n tatzo kwenye familia zetu nyingi na kupelekea kila anaetaka kuoa au kuolewa lazima achungulie kule anapotaka kwenda kunanin ndipo hapo wengi hujikuta anakutana na mchaga.
WACHAGA Kiukweli ndio kabila lenye spirit ya kumcha MUNGU, kwenda shule na kupambana kwelikweli ndio Mana kila ofisi kila taasisi kila Biashara na kila eneo lolote like lenye pesa WACHAGA ndio umewakuta wakwanza.
Vijana wajifunze kujua Kuna malezi ya familia hvyo mtu kuwa na roho nzuri au mbaya haitokan na wewe kabila gan Bali n maadali yahuko ulipolelewa.
WACHAGA hawaepukiki Kama unataka kuendelea muhimu omba utue kwa mwelewa.
Lile kabila n kama Wanawaisraeli hata uwakatae vipi wao wamoWACHAGA hawaepukiki kwenye kuwaoa au kuolewa nao n hv Kama kungekuwa na sensa ya makabila Basi WACHAGA wangeongoza angalia mazingira unayoishi, fanyia kazi au unapopenda kupotezea muda je WACHAGA wapo kwa asilimia ngapi? Na je status yamaisha yao ipoje? Lazima ukute anajiweza na ukimuangalia baada ya miez au miaka kadhaa unamuona ATAKUWA mbali zaidi.
Kwakua umaskini n tatzo kwenye familia zetu nyingi na kupelekea kila anaetaka kuoa au kuolewa lazima achungulie kule anapotaka kwenda kunanin ndipo hapo wengi hujikuta anakutana na mchaga.
WACHAGA Kiukweli ndio kabila lenye spirit ya kumcha MUNGU, kwenda shule na kupambana kwelikweli ndio Mana kila ofisi kila taasisi kila Biashara na kila eneo lolote like lenye pesa WACHAGA ndio umewakuta wakwanza.
Vijana wajifunze kujua Kuna malezi ya familia hvyo mtu kuwa na roho nzuri au mbaya haitokan na wewe kabila gan Bali n maadali yahuko ulipolelewa.
WACHAGA hawaepukiki Kama unataka kuendelea muhimu omba utue kwa mwelewa.
Sikuzingua ila nilikueleza sababu. Hiko ndio kinanifanya nisitimizeUlizingua mbona,but ile michongo ya namna ya kuzisaka ndo usiache kunipa...ule mmoja naenda ufanyia kaz,nasubiri mavuno tu mwez June,july
Hata shetani ana wafuasi, Wala sishangaiUkiona hivyo hao sio kwa ajili yako,,,Tuache na mademu zetu tunawapenda hivyo hivyo,,,na hatutaki ushauri!!
Yaani umeshindwa kunisoma kwenye kijembe nilimchopiga? Siamini!Uongooo maendeleo gani?? Usidanganye hapa.
Kwenye maendeleo ni hao wa kaskazini. Ukweli usemweee.
mkuu ujumbe wako umeeleweka japo sio rahisi kuuelewaSidhani kama kuna kutakuwa na balaa kwani amesema ukweli. Huoni wanaume waliooa wangoni, wazaramo, wakwere n.k. walivyo na maendeleo makubwa!
Semeni ukweli watu waponeNdiyo unajua Leo. Kule wanafundishwa kuhusu VITU na si UTU.
Amekuja kutafuta ela mjini, Simon kuuza sura. Ndiyo wanavyosema.
Ukija mapenzi ni sifuri.
@to yeye bado unahisi watu wote wanawasingizia wao tu?Huyu mmeru wangu ana kiburi tu, ambacho najua hakitonishinda...
Wameru wangekua wanaua wanaume kama wachaga ningemkimbia.
Unapata faida ipi ukidanganya?Sina chembechembe, na mkoa wangu hauna ukaribu hata kidogo na Kaskazini. Ajira ndiyo ilinileta huku
Kwanza ndo hao kila siku wanaolewa kwa ndoa za gharama kubwaaa, nashangaa mie.Jamaa wenge kweli wew umegonga wangp huko hadi kufikia hitimisho mademu wote wa kaskazini hawafai kuoa?!.
Kwa taarifa yako mademu wa huko wengi ni wife material...wanajua kupambana ktk maisha sio watu wa kuremba wala kupaka paka hina muda wote!
Wewe jua kua tumeshashtukaAcha kuwaonea wivu wa kaskazini,hata wakike unawaona wivu kiasi cha kuwaziba riski kwa kuwachafua.Wewe sema tu uliingia mtumbwi wa vibwengo kwa kujitakia, watoto wa kaskazini hawana shida.[emoji848]
Kaka hata useme nini,,,kama unawachukia wachukie wewe,,,sisi tumeshaamua kuwapenda hivyo hivyo either tuwe wafuasi wa shetani au Mungu!!Hata shetani ana wafuasi, Wala sishangai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeelewa sasa, uwiiiiihYaani umeshindwa kunisoma kwenye kijembe nilimchopiga? Siamini!
Naanza kukupa pole, alafu mengine yatafataJamani nimenasa kwa mpare , vip na wao hawasomekiiiiiiiii????? Nipeni uzoefu wakuuu , kabla sjapigwa na kitu kizito
Unanijua kuliko ninavyojijua? Basi kheriiiUnapata faida ipi ukidanganya?
Ni mbinu ya kijinga hiyoMnapewa mbinu alafu mnaleta ujuaji
Tumeanza na noel gio, tunakuja kwa aggrey, anafata juma lokole. Wewe zamu yako haipo mbali, kaa square[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko mie ni Dunya?? Hebu niombe radhi plz, kwann lakiniiiii???
.........Asifiaye mvua imemnyea.Niwie radhi Mkuu wangu, nilidhani unatupa somo sisi wengine baada ya wewe kuwa muhanga wa jambo lenyewe.
Kumbe nawe umehadithiwa ubaya wa hao watu bila kuwa na ushahidi nao?
Nashauri kama haujawahi kupigwa nao tukio basi huu uzi ufutwe, manake inakuwa tunawapaka ubaya watu wasiohusika