Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Uliyosema ni kweli....watu waliooa wachaga wanapelekeshwa hivyo...


Watu wanatafuta pesa hadi wamasahau kuishi....

Maisha hayako hivyo...hatuoi tu ili tupate pesa...tunaoa tusaidianee kimaisha na kuenjoy uumbaji
Demu wakati unamt*mba macho makavu au anakuactia kuwa anasikia utamu kumbe mwenzako yupo huko Dunia ya kuwaza hela atatoa wapi pesa nyingi za kuringishia mwezi wa kumi na mbili ili awe na heshima kila mwaka anapokwenda.
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
kabla ya ndoa, ni wanyenyekevu, wasikivu,
Mungu, Mungu nyiiingi, yesu na maria za kutosha,
SASA INGIA NAO KWENYE NDOA, NDIO UTAJUA SHETANI NI MCHAGA KWA KABILA!!

KAA MBALI NA HAO WATU, ACHENI WAOANE WAO KWA WAO.
KWA SASA WANAUA KISAIKOLOJIA, WANAUA UTU WAKO WA NDANI.
UNAKUJA KUJIONA WEWE SIO MTU, WEWE SIO WA THAMANI, WEWE BILA YEYE HAKUNA MAISHA.

#HUJACHELEWA, TOKA NJE
 
Ulitakaje Sasa?? Natunasemwa vibaya ????
Yaani hapo ulichofanya ni kama umenijeruhi halafu nakulalamikia wewe unasema ndio sasa nimeshakuumiza fanya lolote. Badala ya kunipa comfort. Unajua Unique Flower sisi wanaume tuna umia sana kuwapenda watu ambao hamueleweki.

Hebu acheni upuuzi badilikeni mfute history chafu iliyoachwa na mama zenu, dada zenu , mashangazi zenu na sasa ninyi. Hebu muache bwana mnatuumiza, sisi tunataka kuwapenda kuishi na nyie kuwatomba na kufurahia ujana hadi uzee utukute. Pesa hata uitafute vipi hauwezi kuwa namba moja kwenye hii Dunia. So its better tufurahie kidogo tunachokipata ili maisha yawe rahisi.
 
Ila ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Ameolewa huyu ndugu yetu? Naomba nije niwasalimu hapo jamani mkiwa na shost!
 
Wamasai.. kwa niliobahatika juana nao ni [emoji3590]

Pia kuna Waarusha.. hawa siwaelewagi, umasaini wanajitoa, uchagani hawapo.
Hao ni wamasai wazawa wa mjini ndo wanajiita waarusha. Hata hivyo hakuna kabila linaitwa Waarusha hapa Tanzania
 
Wawapi ndio hawajashindikana ndugu tukaoe huko?
Unamzungumzia mwanamke alieumbwa na Mungu au ni wanawake mabinti aliejiumbw mwenyewe?
Acha kueneza chuki kuna watu wamewaoa na wanaishi nao, wana watoto na vijukuu.
Acha ukanda na ukabila sio silika yetu Watanzania
Wewe hebu acha uongo bana.
 
😂😂😂😂
Shem wako huwa anajua kuninyoosha jamani, hapo si angeniambia tu in a very romantique way, naisoma natabasamu huku nimemkumbatia 'mwamposa' (mdoli wangu).?
Unapenda uromantic wewe 🤣
Nakutafutia story, nitakayokuja direct bila chembe ya uromantique.

Sometimes unatakiwa upate vyote 🥰 ile sms ukiisoma ni kucheka na sio kutabasamu. Unacheka mpaka unagonga Hi 5 na mdoli 😂😂
 
kabla ya ndoa, ni wanyenyekevu, wasikivu,
Mungu, Mungu nyiiingi, yesu na maria za kutosha,
SASA INGIA NAO KWENYE NDOA, NDIO UTAJUA SHETANI NI MCHAGA KWA KABILA!!

KAA MBALI NA HAO WATU, ACHENI WAOANE WAO KWA WAO.
KWA SASA WANAUA KISAIKOLOJIA, WANAUA UTU WAKO WA NDANI.
UNAKUJA KUJIONA WEWE SIO MTU, WEWE SIO WA THAMANI, WEWE BILA YEYE HAKUNA MAISHA.

#HUJACHELEWA, TOKA NJE
Acha uongo wewe mzee
 

Japo mke wangu ni mchaga na hana sifa tajwa hapo, ila kuna ukweli kwa asilimia nyingi katika uliyosema.

Kiuhalisia mabinti wa hayo maeneo hawapo 'romantic' na hii ni kwasababu wanaangalia zaidi kesho. Hii kuangalia zaidi kesho(pesa) inawafanya wawe wabinafsi mno.

Kiburi, ubabe na ujuaji mwingi pia ni sifa yao inayofanya wasiwe watu sahihi kwenye maisha ya kimapenzi.

Kwa kifupi ili uwe na binti wa kanda hiyo ni lazima uwe mwanaume kweli kweli. Mtu mnyoofu na usieweza kuyumbishwa. Kwakuwa ni wazuri sana, kuwakwepa kabisa sio rahisi.
Bora muendelee kusema huu ukweli watu wapone
 
Mzee alinionya utafikiri alikuwa ananiona kichwani mwangu..nikabisha... uzuri sikuwa na maamuzi ya haraka ya kuoa...baada ya kumchubguza na matukio yake..weeee nilinyooka...nikala konaaas
😄😄, NA USINGEKIMBIA, TAYARI TUNGEISHA IMBA ILE NYIMBO YA PARAPANDA ITALIA PARAPANDA.
 
Back
Top Bottom