Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Japo siyo wote,ila kuna ukweli..... nimewahi kuwa na uhusiano na binti wa kanda hiyo,Mrombo ........nikaona simuelewi nakampotezea,akapigwa mimba,kumbe mwamba alimdanganya anamke na familia,saizi amepigwa mimba ya Pili na mtu mwingine halafu saizi anaomba ushauri kwangu 😀😀
 
Ila ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Duuh usije kuwa ni wa kaloleni, coz kuna mmoja pia mixer ya Mwarusha na Mpare...mweupe mzuri balaa na pesa ipo
 
Inferiority Complex na Ujinga vinawamaliza vijana wengi

Wanawake wa kaskazini wanajitambua sana...sio wa kupelekeshwa kwa kila kitu

Wakihoji mambo yamsingi na ya kujenga hampendi mnataka wale wa kusema NDIO kwa kila kitu kama wabunge wa CCM
 
ni ukweli mtupu umeongea ni wabinafsi mno.....atakupenda tu kama kuna kitu anfaidika kutoka kwako...hawezi kukupenda unconditionally...

wana tamaa sana na hizo tamaa zao ndo huwa wanaishia kupigwa mimba halafu wanaachwa....

mademu wengi wa kaskazini ni single maza na sababu kubwa ni tamaa...
Hakuna upendo unconditionally chini ya hili jua.
 
Japo siyo wote,ila kuna ukweli..... nimewahi kuwa na uhusiano na binti wa kanda hiyo,Mrombo ........nikaona simuelewi nakampotezea,akapigwa mimba,kumbe mwamba alimdanganya anamke na familia,saizi amepigwa mimba ya Pili na mtu mwingine halafu saizi anaomba ushauri kwangu 😀😀
Toa ushauri mkuu
 
Inferiority Complex na Ujinga vinawamaliza vijana wengi

Wanawake wa kaskazini wanajitambua sana...sio wa kupelekeshwa kwa kila kitu

Wakihoji mambo yamsingi na ya kujenga hampendi mnataka wale wa kusema NDIO kwa kila kitu kama wabunge wa CCM
Hujaona mfano mwingine hata ukatutolea mfano sie wabunge wa chama cha mambuzi😩
 
Kaka hata useme nini,,,kama unawachukia wachukie wewe,,,sisi tumeshaamua kuwapenda hivyo hivyo either tuwe wafuasi wa shetani au Mungu!!
Ujitambui wakati utakapo kutupa mkono ndio Majuto huja.
 
ni ukweli mtupu umeongea ni wabinafsi mno.....atakupenda tu kama kuna kitu anfaidika kutoka kwako...hawezi kukupenda unconditionally...

wana tamaa sana na hizo tamaa zao ndo huwa wanaishia kupigwa mimba halafu wanaachwa....

mademu wengi wa kaskazini ni single maza na sababu kubwa ni tamaa...


Ni Mungu pekee na wanadam wachache wanaomcha Mungu wanaweza kukupenda unconditionally
 
Ila ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Connection please PM me her number, sio mchoyo
 
Back
Top Bottom