Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Why Not.

Kwa mujibu wa wanachuoni wa karne hii. Mwanamke yyt aliyepitiliza miaka 45 anaruhusiwa kuongoza taasisi yyt.

Mke wa mtume (s) bi Aisha aliwahi kuongoza jeshi ktk historia ya uislam.

Hata hivyo hiyo ni mada mpya, fungua threat yako.
Mbona hakuna watawala wanawake Saudi Arabia, Jordan, UAE, Kuwaiti, Qatar, Morocco, Oman na Iran.
 
Hata katika mfumo wa majimbo jeshi haliwezi kuwa suala la kimajimbo, jeshi litabakia kuwa federal tu, la kitaifa.
Ni ujuha kutamani majimbo ili mwanao tu asivae bukta jeshini.
Soma zaidi, ona zaidi.

Switzerland yafaa kuwa case study ya katiba yenye mfumo wa majimbo yenye uhuru zaidi au uhuru kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

 
Mbona hakuna watawala wanawake Saudi Arabia, Jordan, UAE, Kuwaiti, Qatar, Morocco, Oman na Iran.
No reasech no right to speak.

Pamoja na kutokuwa na viongozi wanawake ktk nchi ulizozitaja ziko nchi zenye waislam wengi zina viongozi wanawake ikiwa ni pamoja na Indonesia, Malasia, Utiruki, Bangladesh.

Kwa mfano. Indonesia ina wakuu wa taasisi, mamlaka wanawake wafanya maamuzi wengi kuliko ilivyo kwa Marekani
 
Sheria na taratibu za pamoja nyinyi mtakubali kuvumilia ikiwa taratibu na sheria hivo sio universal kwa maana haziakisi value zenu.

Ktk mataifa yanayojali haki kama sheria na taratibu hauko universal kila society inawekewa taratibu zake.

Case study ni hijab kwa wanafunzi tz. Kama ninyi hamuumii wanafunzu wa kike kuvaa hijab, kwa jkt mnapaswa kuvumilia pia. Kinyume chake tusilazimishwe watu wa imani nyingine kupractice imani ya kipagani. Kama ambavyo wapagani wasilaximishwe kufata Uislamu. Tupo ktk taifa au tunataka kutengeza taifa la free society
 
Bila kusahau pia mashoga wanaruhusiwa katika jeshi la Marekani na Africa Kusini.
sina hakika kwa africa kusini. Hata hivyo makundi hayo hatahusishi kwa mataifa kama turkey, saudi arabia..

Hoja hata taifa la tz halihusishi, kwa sababu lina percentage ndogo.

Ktk nchi ya kidemokrasia walio wengi ndio hufunga sheria. Na wachache huvumilia. Kwa tz waislam ni miongoni mwa jamii ya walio na idadi kubwa ya population lkn wenyewe wamelala na ndio hivyo hawapewi umuhimu na wenye wafanya maamuzi
 
Hizi nchi ulizozitaja hapa zinafuata mfumo wa demokrasia wa magharibi zaidi kuliko sharia.
 
Mimi sishauri mtu kwenda kujiunga huko hii wanayooiitaga sijui operesheni kitu gani.. Full stop
Labda kama ni ajira
 
Kuna mambo ambayo nchi hii imeyakosea sana ikiwemo kuruhusu hijabu mashuleni, kuweka vipindi vya dini na tahasusi za kidini katika shule za umma.
 
Kuna mambo ambayo nchi hii imeyakosea sana ikiwemo kuruhusu hijabu mashuleni, kuweka vipindi vya dini na tahasusi za kidini katika shule za umma.
Kipengele gn cha katiba kimekiukwa.


Mimi natumia haji ya uhuru wa kuabudu uliomo ndani ya katiba
 
Tumia akili hao juu ni wanajeshi kamili hao wa chini ni wanafunzi. Umesha ona us marine soldiers wanavyo kuwa trained kwenye extreme conditons? Atagalagala kwenye yope na hijabu? Atapita chini ya nyavu zenye miiba akiwa ametundika hijab?
 
Kila Uhuru Una mipaka yake. Unazungumzia Uhuru huo katika katiba Yani Uhuru wa kuabudu. Uhuru huo unaishia uraini na si kwenye mafunzo ya jeshi.
 
Kwa misingi ya ulicho kiandika hata kwenda JKT kwa wasichana ni dhambi. Na kama wakienda wafanye mazoezi wakiwa wamevaa magauni marefu. Kutokufunika nywele nayo ni dhambi. Je wafanye mazoezi wakiwa wamefunika nywele na nyuso. Michezo nayo inahitaji nguo za michezo na nadhani aina ya nguo hizi nazo ni dhambi.

Mtoa Mada tuelekeze namna ya kuvuka hivi vihunzi bila kutenda dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…