Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa na misimamo ya dini hadi kero kuna siku akaniambia ni vema nisilishwe kama anampango wa kwenda peponi nikamtwanga swali:
Je wewe ni muumini wa dini hiyo ili uende peponi au ni vile baba yako alikuwa wa dini hiyo nawe ukajikuta ni muumini?
Akajibu ukweli ni kwamba hii dini nimeikuta kwa baba lakini ndo dini ya kweli, nitamuuliza ni nani alikwambia kama hiyo dini ni ya kweli ni huyo huyo babako au mtu mwingine.........
 
Hakuna lolote hapa, nilichoona mabinti zenu wakikaribia kuingia huko ndio mnaanza kuingiwa na fikra za ajabu.
 

Hawa akina kahtaan ni shidaa. Wenyewe badala ya kutoa elimu (education) ya dini, wanahimiza itikadi (ideology). Matokeo yake hawatumii uwezo wao wa kufikiri vizuri.
 

Wenyewe wanafikiri hiyo ni dini, kumbe ni utamaduni na desturi za kiarabu. Ndiyo maana kuanzia majina, mavazi, lugha, vyakula vyote ni tamaduni za waarabu. Lakini waislam ukiwaambia hili wanaona unakufuru.

😂
 

Hawa wavaa kobazi wa tabata matumbi hawajui hata wanacho abudu ni Mungu au tamaduni za kiarabu. Hata kule Iran 🇮🇷 kuna mambo wanaanza kuyatupa huko. Mfano rais wao aliyekufa kwenye ndege iliyoanguka, amezikwa kwenye jeneza. Sasa sijui hawa waislam wa buza wanasemaje kwenye hili.
 

Hawajielewi hawa, eti sisi ni wengi kuliko sijui wengine. Lkn ukiangalia wanachoweza kufanya ni kuongeza umasikini nchini. Maana wengi wao hawatumii family planning, hivyo huzaa idadi kubwa ya watoto wasio kuwa na uwezo wa kuwatunza. Matokeo yake tunakuwa na masikini wengi. Hilo linaonekana kwenye mikoa ambayo wame dominate wenyewe.
CC: kahtaan
 

Ungekuwa uislam uko kama unavyojaribu kuupaka mafuta hapa, basi mambo yangekuwa tofauti sana huko Sudan 🇸🇩,, Syria 🇸🇾, Iraq 🇮🇶 na nchi nyingine nyingi za kiislam zenye machafuko.
 
Kifungu Gani katika katiba kinakataza watoto wa kike wenye kuaminika dini ya kiislamu wakiwa jkt katika mwelendezo wa kulifanya taifa la kizarendo wasiruhusiwe kuvaa bukta?
 
Kwa hiyo huyo mwanajeshi wa kike hata akienda vitani avae hijabu ili uislamu uzidi kudumu au sio mzee baba...
 
Kwa maana hiyo sisi ni wengi kuzidi nyinyi mnaomwaga nje
Sasa huu upupu wa wagalatia ndio mmejazano bongo mnautoa wapi
Mbuzi nyinyi mnaletwa mijini na Necta, mkilowea mnasahau umasikini wenu wa maporini, mnaanza kulinganisha Masaki na Tandale
kwanini usilinganishe Mbagala na huko ulikotokea Ibadakuli au Mwakaleli
 
Mtaani kwangu wapo mabinti wengi wa kiisilamu wamevaa suruali na bukta, pia kwenye mazoezi wanavaa bukta.
Tatizo lako ni kujifanya unaielewa sana dini kwa kutuwekea picha za waarabu wakati hizo hijabu za wanafunzi zimeanza hivi karibuni na si wote wansovaa kwa hiyari zao.
Jeshini hakuna kuvaa hijabu wala madela.
 

Vizuri. Sasa leta link za wanajeshi wanawake wasio waislam kwenye nchi za kiislam tuone haki zao zinavyozingatiwa as well sijui kama wanaruhusiwa kujiunga at all. Mfano, Saudi Arabia, Iran, Egypt nk.
 
Tafuteni sayari yenu ikiwezekana mkaishi huko na huyo Allah wenu mkazitii vizuri sheria zake za ajabuajabu.Mnatusumbua sana huku duniani.
 

Nyie watu huwa wasumbufu sana..mnataka na wamang'ati na Wamasai nao watake binti zao waende na yale mashuka yao n.k??
Kwa hiyo wewe ukiona hizi bukta wanazovaa hao mabinti wadogo akili yako inavurugwa kabisa.....kichwa cha chini kinaamka??
Kwani tz ni nchi ya kikristo. Au kama saudia hawataki haki hiyo na tz isitoe pia
 

Attachments

  • 1717002628087.gif
    42 bytes · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…